Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi Will Jr mbona haonekani siku hizi?
Au ndio ameenda kuungama na kutubu dhambi ya kumsema Partey ana Ziro IQ?
Mwanangu Will Jr wewe ndio hua unalichangamsha hili jukwaa kwa matusi.
Tunakuomba tafadhali tupo chini ya miguu yako usilikimbie jukwaa la mabingwa watarajiwa wa Europa, Epl, FA, Carabao na CECAFA.
 
Ødegaard on Partey: "I would say Partey (best african player he's played with).He's an amazing player.The job he does, sometimes you don't see,it's so important ; he gives me & other players a lot of freedom because he's always there to protect us & win balls"


Kesho pale dimbani patakua kwa moto sana
 
Jesus confidence imeshukaa baada ya kukaa mda hajafunga , hope game na chelsea ataingia kambani. Nketiah hapana huyu asepe tu hana maendeleo yoyote yupo toka kipindi cha wenger lakini hamna anachofanya. Msimu uliopita mwishoni nikajua labda amefufuka mpaka new deal akapewa. Kina saka, martineli wamemkuta now wapo level ya mbali kuliko yeye. Huyu Nketiah hakuna kumpa muda asepe tu japo ametoka kutia signature juzi juzi
Huyo jamaa ni fundi sana, mpeni muda aonyeshe maajabu yake.
 
OK ok
Screenshot_20221105-145836_Instagram.jpg
 
Hivi Will Jr mbona haonekani siku hizi?
Au ndio ameenda kuungama na kutubu dhambi ya kumsema Partey ana Ziro IQ?
Mwanangu Will Jr wewe ndio hua unalichangamsha hili jukwaa kwa matusi.
Tunakuomba tafadhali tupo chini ya miguu yako usilikimbie jukwaa la mabingwa watarajiwa wa Europa, Epl, FA, Carabao na CECAFA.
Nyumbu
 
Back
Top Bottom