Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jesus na Nketiah mhhh frequently wanakosa sana magoli sana thanks Tierney umeiokoa team yetu angalau tutapumzika na mitoano

Jesus confidence imeshukaa baada ya kukaa mda hajafunga , hope game na chelsea ataingia kambani. Nketiah hapana huyu asepe tu hana maendeleo yoyote yupo toka kipindi cha wenger lakini hamna anachofanya. Msimu uliopita mwishoni nikajua labda amefufuka mpaka new deal akapewa. Kina saka, martineli wamemkuta now wapo level ya mbali kuliko yeye. Huyu Nketiah hakuna kumpa muda asepe tu japo ametoka kutia signature juzi juzi
 
Jesus confidence imeshukaa baada ya kukaa mda hajafunga , hope game na chelsea ataingia kambani. Nketiah hapana huyu asepe tu hana maendeleo yoyote yupo toka kipindi cha wenger lakini hamna anachofanya. Msimu uliopita mwishoni nikajua labda amefufuka mpaka new deal akapewa. Kina saka, martineli wamemkuta now wapo level ya mbali kuliko yeye. Huyu Nketiah hakuna kumpa muda asepe tu japo ametoka kutia signature juzi juzi
Mechi zetu zinaamuliwa na Midfielders sio kitu kibaya but sometimes washambuliaji lazima wascore kwa kweli kama game ya leo or vs PSV tunaweza tukasema Xhaka na Tierney wamescore magoli muhimu sana bila wao inawezekana tungeenda round ya 32
 
Mechi zetu zinaamuliwa na Midfielders sio kitu kibaya but sometimes washambuliaji lazima wascore kwa kweli kama game ya leo or vs PSV tunaweza tukasema Xhaka na Tierney wamescore magoli muhimu sana bila wao inawezekana tungeenda round ya 32
Nketiah soon atauzwa , Arteta amesema kwa ilipofikia timu Sasa wanahitaji another level ya players

Unajua Nini ipo hivi, Nketiah atajiondoa automatically , soon Arsenal wataleta winger , kwa hiyo pale mbele nafasi yake itazidi kuwa finyu,

Lokonga anajulikana Ni chaguo la 3 , Jana kacheza sababu Xhaka alikuwa suspended

Kurejea kwa Elneny , automatically looking anakuwa 3rd choice

Kumbuka Arsenal ipo njian kuleta DM mwingine , hivo lokonga atakuwa 4th choice pamoja na nketiah

Mwisho lokonga ataenda loan , nketiah timu kibao zinamtakaga ,Mwaka Jana Arsenal aligoma kumuuza kwa £15m ,

Safari hii atauzwa

Tunahitaji madirisha mawili tu ili kuwaondoa Nketiah, lokonga loan , holding , Cedric

Kisha tushushe Quality 3 tu zinazocheza Nafas 2-3 kila mmoja ,


Wakati msimu unaanza Edu alisema Msimu Jana ilikuwa Ni ku cement Aina ya uchezaji , akasema phase inayofata Ni kusajiri Quality player

Akasema soon tutafikia hatua tutakuwa tunasajiri mchezaji mmoja au wawili katika dirisha moja .


Jana Arteta akasema pia

| Mikel Arteta on the January window:

“With the position that we are in right now as well, it demands as well another level of player - and that player has to be available. We will look at everything and let’s see what we can do."
 
Nketiah wakuuza kabisa, lukonga aende kwa mkopo akakomae,

January Arteta na Edu wafanye kweli waache mambo ya kujiona ma sterling kutaka kukata mbuyu na panga, chukua chain saw fasta tumalize kazi

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Ndio kinachofata hicho, nketiah soon atakuwa 3rd au 4th choice ,then atauzwa sawa na lokonga


Kuna wachezaji hawana muda mrefu wataondoka

Cedric, Elneny japo huyu alishajisemea yeye hata asipocheza fresh ,na anakubalika Sana na Arteta , Kuna nketiah ,holding na lokonga

Tukishift hao wachezaji na kuongeza wengine wawili , tutakuwa na depth yenye Quality kwa 80%
 
Arsenal have ‘already’ signed Shakhtar’s Mykhailo Mudryk, according to his teammate.

Shakhtar ‘keeper Anatoliy Trubin:

“… we can tell him; ‘well, you’re already at Arsenal, let’s all go!”

Deal could be worth £80m.
 
Gabriel naamin Ni finisher mzuri tu, nadhani Ni kipindi ambacho ma CF wengi hukipitia ,

Soon ataanza kufumania nyavu

Pamoja na yote wiki hii alikuwa MOTM ,
Screenshot_20221102-112906.jpg
 
Wachezaji 7 kati ya 11 walioanza jana hawataanza game ya chelsea, so tutarajie amsha amsha ya kutosha stamford Bridge.
sio amshaamsha tu, weka wazi kua kipigo kinawahusu ndani ya dimba la Stamford Bridge.
Lazima mchapwe na mikia ya kenge mbuzi nyie.
 
Back
Top Bottom