Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Cry more

Kwanza wewe timu gani?

Mlianza mkasema Ni preseason tu, mkaja mkaandika had makala mkidai tusubiri October ,ikapita

Mnakuja na ngonjera nyingine Tena
Sema mda wenu wa kufurahi huu wasukuma husema enjoy while it lasts mliopitia ni makubwa
 
Arsenal XI: Ramsdale, White, Saliba, Gabriel, Tomiyasu, Odegaard (capt), Partey, Xhaka, Saka, Martinelli, Jesus.

Subs: Hein, Tierney, Nketiah, Holding, Soares, Vieira, Lokonga, Nelson, Marquinhos.
 
Kikosi ni kile kile

Proj j anakuambia "chuma juu ya chuma ni mwendo wa roho mkononi"
 
City ana wachezaji wangap?

City asilimia 80 wachezaji wake Ni hao hao ila wengi versatile TU

City mech na man u hakuwa na Rodri, DM anacheza Gundo akisaidiana na Bernado,

City na Arsenal Wana squad ya wachezaji 24 tu ukilinganisha na man u au Chelsea au Liverpool wenye squad ya wachezaji 30-31

Arsenal wapo karibu Sana kuwa na quality kila eneo

Soon akija winger anayecheza Nafas 3 na kiungo anayecheza Nafas 2-3 tunafunga hesabu

Kwasasa tuna upungufu wa quality eneo la DM & CM hapa analetwa mtu anayeweza kucheza Nafas zote mbili,

Niliuliza swal Kwan Pepe ana ubaya gan wakuwa backup player? Pepe Hana tofaut na Anthony wa man u

Ila Arteta alisema Arsenal haipo Tena kujaza lundo la wachezaji wasio na Quality

Baada ya kumkosa Raphina hawakutaka Tena kuokotaokota wachezaji kisa Ni winga aje TU
hamis77 unanifurahishaga sana na uchambuzi wako but for my opinion it's too early kuongea haya kwanza huwezi kufananisha kikosi cha Arsenal na Manchester City abadani tunapenda football na tunaipenda Arsenal yetu kikosi cha City kila sehemu almost ina replacement sisi tuna squad ya first eleven pekee ni wachache sana kwenye benchi ambao wana quality ya kutosha kama Tierney but wengine waliobakia wana homa ya vipindi (Nketiah Holding Lokonga )but tuendelee kuenjoy football kwa sasa
 
I expect to see a different arsenal hoping that they have by now corrected their mistakes. Looks forward to seeing the game end in the first half.
 
Back
Top Bottom