Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ulitaka nijibu vipi? Nani anajiropokea?

Maana jamaa yako amejibu kama vile yupo kwenye akili ya Arteta.

Nikuulize swali dogo tu, kwa mfano ikatokea Arteta akamsajili Sangare January mtasemaje??
Over my dead body, hata tetes umeshazisikia?
 
Ok elewa hivo, but Bissouma kwa £25m alisubiri ofa ya arsenal na top clubs zikamchunia ,mwisho mezan akawa na ofa moja tu kutoka Spurs

Akaona aende, na bado anasugua bench mbele ya bentacur na hoijeberg.

Top clubs zinaachana na viungo wagumu , hata Chelsea waliacha kumtumia Kante Kama DM msimu wa 5 huu ,

Top clubs hazitegemei Tena ziwe na mtu maalumu wakukaba ,Zina defend kwa unit na structure maalumu .

Viungo wakabaji utawakuta middle teams ,

Mfano kilichomtokea Spurs against United , 3DMs vs 1DM akazidiwa dk zote 90
Haya naomba na wewe utambue hivi, Yvone Bissouma alikuwa kwenye list ya wachezaji wanaotakiwa na Arsenal kwa dirisha lililopita, ni Spurs tu ambao wali rush kumaliza dili wakijua watambania Arsenal- nasema hivyo kwa sababu Spurs haikuwa na haja sana na Bissouma maana wana viungo wengi kama yeye: kuna huyo Bentancur, Hojgberg na Skipp. Maybe angewapa other options kama box-to-box mana mara kadhaa alikuwa akifanya hivyo kipindi yupo BHA huku Alzate akiwa kama DM.

Kuhusu kusugua benchi Spurs sishangai kwa sababu kila kocha ana namna yake ya uchezaji. Mfano mzuri ni Pulisic wa Tuchel na huyu Pulisic wa sasa wa Potter, ni watu wawili tofauti.

Halafu fans wenzangu wa Arsenal sometimes tunafurahisha sana, kwa mfano huyo Bissouma wakati yupo BHA kila mtu alikuwa anataka asajiliwe, na alivyoenda Spurs watu waliumia sana. Eti leo yupo Spurs ndo wanamuita mvunja kuni!

Haya naendelea kujiuliza hapa, umesema viungo wakabaji wapo middle teams tu? Hivi Fabinho 🤔..... au basi ngoja nisiendelee.
 
Haya naomba na wewe utambue hivi, Yvone Bissouma alikuwa kwenye list ya wachezaji wanaotakiwa na Arsenal kwa dirisha lililopita, ni Spurs tu ambao wali rush kumaliza dili wakijua watambania Arsenal- nasema hivyo kwa sababu Spurs haikuwa na haja sana na Bissouma maana wana viungo wengi kama yeye: kuna huyo Bentancur, Hojgberg na Skipp. Maybe angewapa other options kama box-to-box mana mara kadhaa alikuwa akifanya hivyo kipindi yupo BHA huku Alzate akiwa kama DM.

Kuhusu kusugua benchi Spurs sishangai kwa sababu kila kocha ana namna yake ya uchezaji. Mfano mzuri ni Pulisic wa Tuchel na huyu Pulisic wa sasa wa Potter, ni watu wawili tofauti.

Halafu fans wenzangu wa Arsenal sometimes tunafurahisha sana, kwa mfano huyo Bissouma wakati yupo BHA kila mtu alikuwa anataka asajiliwe, na alivyoenda Spurs watu waliumia sana. Eti leo yupo Spurs ndo wanamuita mvunja kuni!

Haya naendelea kujiuliza hapa, umesema viungo wakabaji wapo middle teams tu? Hivi Fabinho 🤔..... au basi nisiendelee.
Bissouma ulimtaka wewe labda na mashabik wenye mihemko , Bissouma had dk za mwisho anasema aliisubiri Arsenal had akachoka mwisho akaona aende Spurs

Arsenal dirisha hili hawakuwa na mpango wa kusajiri DM had alipoumia elneny wakamtaka dogras Luiz
 
Bissouma ulimtaka wewe labda na mashabik wenye mihemko , Bissouma had dk za mwisho anasema aliisubiri Arsenal had akachoka mwisho akaona aende Spurs

Arsenal dirisha hili hawakuwa na mpango wa kusajiri DM had alipoumia elneny wakamtaka dogras Luiz
Basi kitu ambacho ulikuwa hujui ni kwamba ilikuwa asajiliwe DM kisha Lokonga atolewe kwa mkopo.
 
We ulishawahi kusikia tetesi zinazomhusisha Fabio Vieira kutakiwa na Arsenal?
Fabio vieira ni type ya wachezaji wa Arteta , hata usiposikia tetes ,angekuja mchezaji type yake sio hao mnaowalilia Wakati hawaendan kabisa na timu inavyocheza

Kuna Danilo, Tieleman, locatell ,Caicedo hao wanatajwa Sana

Sio hao mnaowalilia mlishajiuliza watacheza wapi,

Huyo Bissouma Kama Spurs anachezea bench TU, Arsenal angefanya nn inayotaka ku control mchezo
 
Fabio vieira ni type ya wachezaji wa Arteta , hata usiposikia tetes ,angekuja mchezaji type yake sio hao mnaowalilia Wakati hawaendan kabisa na timu inavyocheza

Kuna Danilo, Tieleman, locatell ,Caicedo hao wanatajwa Sana

Sio hao mnaowalilia mlishajiuliza watacheza wapi,

Huyo Bissouma Kama Spurs anachezea bench TU, Arsenal angefanya nn inayotaka ku control mchezo
Naona umeamua kukaza kichwa mkuu.. sichangii tena maana nitakua nafanya kazi ya kurudia maneno yale yale over and over.
 
Naona umeamua kukaza kichwa mkuu.. sichangii tena maana nitakua nafanya kazi ya kurudia maneno yale yale over and over.
Utaeleweshwa Huyo Bissouma ulimtaka wewe kama mlivyomtaka Buendia ,n.k

Arsenal haikuwa hata kutuma ofa ambayo ilikuwa Ni ndogo tu kwa Bissouma

Hiyo ilipaswa ikufundishe ni Aina gan ya viungo wanahitajika kwa Mikel Arteta ,

Sasa wanataka kumrudia locatell anayeweza kucheza #6 na #8 ,passer mzuri ,box to box, sio hao wanaoparamia ovyo , control chumba na sebure

Hata Huyo Fabinho pale Liverpool sio mvunua kuni kama kina Sangare , ana jua kupiga pass, press resistant, na bado anacheza na Thiagho fundi

Ilipotokea Liverpool haina Thiago ,option yao kuu kutengeneza Nafas Ni only Fullbacks
 
naombeni analysis za jana skucheki game
Game ilikuwa nzuri tulitawala mwanzo mwisho, nafasi zilitengenezwa nyingi, nketiah alikosa za kutosha, Jesus pia alikosa ,saka two chances alikosa

Mech ilikuwa ya upande mmoja, tungeweza kushinda hata 5 ,

Wachezaji waongeze ufanisi mbele ya goli
 
Some Arsenal fans believed Granit Xhaka was not even enough to be a squad player for Arsenal

If there is a mistake that has ever been made about GX, it's relying on him as our Defensive midfielder, you can't get best out of him when he's playing as a DM

Thanks to Mikel Arteta
 
IMG_20221021_123441.jpg
 
Tunahitaji point moja dhidi ya psv ili tuongoze group
hii itasaidia kupunguza idadi ya mechi moja ya wale wanotoka ucl
pia wachezaji muhimu watapumzika kabla ya kukutana na cheltako
Kuongoza kundi kwa sasa haina mjadala. Hatuwezi kosa pointi 2 katika mechi hizo 2.
 
"I think when you see people happy,attached to what we're doing,a club that's connected from top to bottom, it's what we want. Now we need to give them the right reasons to continue to be supportive & as excited as they are right now."

- Arteta on Emirates atmosphere
Arsenal
 
Back
Top Bottom