Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Antonio Cassano kuhusu Auba kumsema Arteta:

“Sasa Aubameyang anathubutu kusema kwamba Arteta hajui jinsi ya kushughulikia wachezaji wakubwa, Aubameyang anajiona kuwa bingwa? .

“When Arteta took Arsenal, in a general disaster, there were many players among that and he was there too. Try to play football instead of talking about Arteta, who is first in the most important league in the world. For me, it’s madness.” #afc
ARSENAL ina big player yupi kwa sasa?Auba hajakosea but inawezekana Arteta anaweza kuhandle players kama wa sasa wa Arsenal na team ikapata results unafikiri kuhandle big players ni easy?refer to Ten Hag kwa Ronaldo anavyopata tatizo au coach wa PSG kwa sasa so which is which?Auba hajakosea but for my opinion ni heri uwe na team ya kawaida kama yetu unaweza pata good results last season tumekuwa namba 5 you never know what is going to happen this season so wote wanaomsema Auba ni wapumbavu

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
ARSENAL ina big player yupi kwa sasa?Auba hajakosea but inawezekana Arteta anaweza kuhandle players kama wa sasa wa Arsenal na team ikapata results unafikiri kuhandle big players ni easy?refer to Ten Hag kwa Ronaldo anavyopata tatizo au coach wa PSG kwa sasa so which is which?Auba hajakosea but for my opinion ni heri uwe na team ya kawaida kama yetu unaweza pata good results last season tumekuwa namba 5 you never know what is going to happen this season so wote wanaomsema Auba ni wapumbavu

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sasa Auba ni big player, kaachive Nini so far kimafanikio ya kimpira?? Mpaka Casano anahoji huo ubingwa wa Auba ni upi??
 
The Kroenkes are reportedly prepared to invest more money if Mikel Arteta wishes to strengthen his squad in the January transfer window. 🔴

#AFC #Arsenal https://t.co/YOyCdaZnk1
IMG_20221012_201621.jpg
 
ARSENAL ina big player yupi kwa sasa?Auba hajakosea but inawezekana Arteta anaweza kuhandle players kama wa sasa wa Arsenal na team ikapata results unafikiri kuhandle big players ni easy?refer to Ten Hag kwa Ronaldo anavyopata tatizo au coach wa PSG kwa sasa so which is which?Auba hajakosea but for my opinion ni heri uwe na team ya kawaida kama yetu unaweza pata good results last season tumekuwa namba 5 you never know what is going to happen this season so wote wanaomsema Auba ni wapumbavu

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa unashangaa Sana , ndio maana wengi wamehoji je Auba ana ukubwa gani kuzidi kina XHAKA ,Partey ,Jesus ?

Auba mwenyewe kaomba msamaha kasema aliongea hayo akiwa Barcelona kipind amefurumushwa Arsenal akiwa na hasira.

🎙️| Arteta on Auba's video :

"People are free to discuss what they want"
 
Arsenal boss Arteta refuses to be drawn on Aubameyang:


“People are free to discuss what they want.”

He adds:

“I have never been in a better dressing room…it’s an absolute pleasure to be in this group.”
 
Chelsea was interested in signing Gabriel Martinelli, but he wants to extend his contract at #Arsenal, reports

@cfbayern. #afc
Hawa watoto wanatakiwa kujua value ya kweli kwenye mpira unaipata unapokuwa loyal na kuachieve something kabla ya kufikiria kuondoka.

Wengi pale ni wazuri kwenye mfumo wa sasa, anaweza kwenda mahali pengine akashangaa ameflop.

Angalau wawaze kuondoka wakiwa wamekomaa kwenye 26yrs wakapate mikataba ya hela ndefu.
 
ARSENAL ina big player yupi kwa sasa?Auba hajakosea but inawezekana Arteta anaweza kuhandle players kama wa sasa wa Arsenal na team ikapata results unafikiri kuhandle big players ni easy?refer to Ten Hag kwa Ronaldo anavyopata tatizo au coach wa PSG kwa sasa so which is which?Auba hajakosea but for my opinion ni heri uwe na team ya kawaida kama yetu unaweza pata good results last season tumekuwa namba 5 you never know what is going to happen this season so wote wanaomsema Auba ni wapumbavu

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Malengo msimu uliopita ilikuwa Arteta aingie ndani ya timu6 , akawa wa 5, akapewa mkataba mpya ,na msimu uliopita ilikuwa ku establish Style of play ,

Japo nakumbuka ulidai timu itashuka daraja

Huyo Auba angeachwa alishakuwa kirusi ,wote mashahid humu, anatukosesha goli na Newcastle, man u ,n.k hajitumi, anafika mazoezin muda anaotaka yeye

Ndio ukubwa huo?


Bila Arteta kulitimua Hilo sharobaro timu isingekuwa hapa ilipo
Nidhamu popote pale inazungumziwa
Wewe Kama timu AUBA sioni aibu kukuona unapingana na Arteta ,na Toka awali unampinga Arteta hivo lazima utamsapoti Auba ,

Hata Ozil aliondoka kwa jazba ,akawa anamponda Arteta mitandaon kipind Arteta anatengeneza timu hafanyi vzr, lkn siku hizi amekuwa sapota mkubwa

Hata Auba kasema ilikuwa hasira tu, Cha ajabu wewe unaona sawa
 
Wewe jamaa unashangaa Sana , ndio maana wengi wamehoji je Auba ana ukubwa gani kuzidi kina XHAKA ,Partey ,Jesus ?

Auba mwenyewe kaomba msamaha kasema aliongea hayo akiwa Barcelona kipind amefurumushwa Arsenal akiwa na hasira.

| Arteta on Auba's video :

"People are free to discuss what they want"
Xhaka partey???? Bro Arsenal ya sasa haina big player wote ni wa kawaida

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Malengo msimu uliopita ilikuwa Arteta aingie ndani ya timu6 , akawa wa 5, akapewa mkataba mpya ,na msimu uliopita ilikuwa ku establish Style of play ,

Japo nakumbuka ulidai timu itashuka daraja

Huyo Auba angeachwa alishakuwa kirusi ,wote mashahid humu, anatukosesha goli na Newcastle, man u ,n.k hajitumi, anafika mazoezin muda anaotaka yeye

Ndio ukubwa huo?


Bila Arteta kulitimua Hilo sharobaro timu isingekuwa hapa ilipo
Nidhamu popote pale inazungumziwa
Wewe Kama timu AUBA sioni aibu kukuona unapingana na Arteta ,na Toka awali unampinga Arteta hivo lazima utamsapoti Auba ,

Hata Ozil aliondoka kwa jazba ,akawa anamponda Arteta mitandaon kipind Arteta anatengeneza timu hafanyi vzr, lkn siku hizi amekuwa sapota mkubwa

Hata Auba kasema ilikuwa hasira tu, Cha ajabu wewe unaona sawa
We unaongeaga upupu sana mean mfuata upepo unamchukuliaje Auba?sababu kaondoka Arsenal leo unamponda? Mtu aliyescore more than 70 goals na ana kiatu cha dhahabu unamtumkana?are you mentally fit kweli?Arsenal ilikaa zaidi ya 10 years haina mfungaji auba akatupa credit leo unamkataa? We jamaa sio mzima

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Uliposema Auba hajakosea ,ina maana umeunga mkono maneno yake ambayo Auba kadai ugomvi wake na Arteta Ni sababu alishindwa kuhendo big player akimaanisha yeye na kina ozil,
Katoa opinions zake na ni among players ambao kaipa heshima Arsenal ana kiatu cha dhahabu siwezi kumjudge never ever mawazo yake yaheshimiwe

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Uliposema Auba hajakosea ,ina maana umeunga mkono maneno yake ambayo Auba kadai ugomvi wake na Arteta Ni sababu alishindwa kuhendo big player akimaanisha yeye na kina ozil,
Wale wote walioipa Arsenal achievements haina hana ya kuwatusi eti kisa Arteta wakitoa opinions zao take it unasonga mbele life goes on bro

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
We unaongeaga upupu sana mean mfuata upepo unamchukuliaje Auba?sababu kaondoka Arsenal leo unamponda? Mtu aliyescore more than 70 goals na ana kiatu cha dhahabu unamtumkana?are you mentally fit kweli?Arsenal ilikaa zaidi ya 10 years haina mfungaji auba akatupa credit leo unamkataa? We jamaa sio mzima

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Yaan wewe jamaa ,ok ndio maana ulihamia Psg ,then umerud Arsenal

Hakuna sehemu Auba katukanwa, ila ukweli aliharibu dressing room , ulitaka avumiliwe

Kabla ya Auba Arsenal ilishabeba FA karibu 3 ,unazungumzia Kiatu? Hayo mafanikio binafs sio ya timu

Yaan unataka kusema Auba Ni big player kuliko kina PARTEY, Xhaka
, Jesus wanamsikiliza Arteta ?

🗣️| Mikel Arteta on the mood in the dressing room: “Phenomenal. I have never been in a better dressing room. More enjoyable, more hardworking, better relationships with the staff to players and it’s an absolute pleasure as a coach to be a part of this group.” [@arsenal] #afc
 
Wale wote walioipa Arsenal achievements haina hana ya kuwatusi eti kisa Arteta wakitoa opinions zao take it unasonga mbele life goes on bro

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wapi Kuna tusi limetolewa? Hakuna mchezaji mkubwa kuliko klabu, mm nakushauri mfate Auba yupo Chelsea,yakikushinda utarudi Kama ulivyoenda PSG,

Ulikesha hapa unamponda Jesus kusajiriwa na Arteta, leo unamfurahia🤣🤣

Yaani Auba aachwe kisa alibeba Kiatu? Pale city Wana misimu karibu minne hawajui swala la mfungaji Bora, Timu Kwanza mengine baadae, Kwa Arsenal alifurumushwa na ARTETA ,



,
 
Back
Top Bottom