HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Friendly match zisizo za lazima. Wote humu walifurahia maana tuliwahitaji. Zile performances zao na Arsenal zinawabeba vizuri tuJuzi kati waliwaacha.....what happened over there?
Friendly match zisizo za lazima. Wote humu walifurahia maana tuliwahitaji. Zile performances zao na Arsenal zinawabeba vizuri tuJuzi kati waliwaacha.....what happened over there?
ARSENAL ina big player yupi kwa sasa?Auba hajakosea but inawezekana Arteta anaweza kuhandle players kama wa sasa wa Arsenal na team ikapata results unafikiri kuhandle big players ni easy?refer to Ten Hag kwa Ronaldo anavyopata tatizo au coach wa PSG kwa sasa so which is which?Auba hajakosea but for my opinion ni heri uwe na team ya kawaida kama yetu unaweza pata good results last season tumekuwa namba 5 you never know what is going to happen this season so wote wanaomsema Auba ni wapumbavuAntonio Cassano kuhusu Auba kumsema Arteta:
“Sasa Aubameyang anathubutu kusema kwamba Arteta hajui jinsi ya kushughulikia wachezaji wakubwa, Aubameyang anajiona kuwa bingwa? .
“When Arteta took Arsenal, in a general disaster, there were many players among that and he was there too. Try to play football instead of talking about Arteta, who is first in the most important league in the world. For me, it’s madness.” #afc
Sasa Auba ni big player, kaachive Nini so far kimafanikio ya kimpira?? Mpaka Casano anahoji huo ubingwa wa Auba ni upi??ARSENAL ina big player yupi kwa sasa?Auba hajakosea but inawezekana Arteta anaweza kuhandle players kama wa sasa wa Arsenal na team ikapata results unafikiri kuhandle big players ni easy?refer to Ten Hag kwa Ronaldo anavyopata tatizo au coach wa PSG kwa sasa so which is which?Auba hajakosea but for my opinion ni heri uwe na team ya kawaida kama yetu unaweza pata good results last season tumekuwa namba 5 you never know what is going to happen this season so wote wanaomsema Auba ni wapumbavu
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa unashangaa Sana , ndio maana wengi wamehoji je Auba ana ukubwa gani kuzidi kina XHAKA ,Partey ,Jesus ?ARSENAL ina big player yupi kwa sasa?Auba hajakosea but inawezekana Arteta anaweza kuhandle players kama wa sasa wa Arsenal na team ikapata results unafikiri kuhandle big players ni easy?refer to Ten Hag kwa Ronaldo anavyopata tatizo au coach wa PSG kwa sasa so which is which?Auba hajakosea but for my opinion ni heri uwe na team ya kawaida kama yetu unaweza pata good results last season tumekuwa namba 5 you never know what is going to happen this season so wote wanaomsema Auba ni wapumbavu
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hawa watoto wanatakiwa kujua value ya kweli kwenye mpira unaipata unapokuwa loyal na kuachieve something kabla ya kufikiria kuondoka.Chelsea was interested in signing Gabriel Martinelli, but he wants to extend his contract at #Arsenal, reports
@cfbayern. #afc
Auba ni mchezaji mkubwa kwa kutumia kigezo gani?ARSENAL ina big player yupi kwa sasa?Auba hajakosea but inawezekana Arteta anaweza kuhandle players kama wa sasa wa Arsenal na team ikapata results unafikiri kuhandle big players ni easy?
Kuna sehemu nimesema Auba ni big player?niquote niioneSasa Auba ni big player, kaachive Nini so far kimafanikio ya kimpira?? Mpaka Casano anahoji huo ubingwa wa Auba ni upi??
Malengo msimu uliopita ilikuwa Arteta aingie ndani ya timu6 , akawa wa 5, akapewa mkataba mpya ,na msimu uliopita ilikuwa ku establish Style of play ,ARSENAL ina big player yupi kwa sasa?Auba hajakosea but inawezekana Arteta anaweza kuhandle players kama wa sasa wa Arsenal na team ikapata results unafikiri kuhandle big players ni easy?refer to Ten Hag kwa Ronaldo anavyopata tatizo au coach wa PSG kwa sasa so which is which?Auba hajakosea but for my opinion ni heri uwe na team ya kawaida kama yetu unaweza pata good results last season tumekuwa namba 5 you never know what is going to happen this season so wote wanaomsema Auba ni wapumbavu
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Xhaka partey???? Bro Arsenal ya sasa haina big player wote ni wa kawaidaWewe jamaa unashangaa Sana , ndio maana wengi wamehoji je Auba ana ukubwa gani kuzidi kina XHAKA ,Partey ,Jesus ?
Auba mwenyewe kaomba msamaha kasema aliongea hayo akiwa Barcelona kipind amefurumushwa Arsenal akiwa na hasira.
| Arteta on Auba's video :
"People are free to discuss what they want"
Uliposema Auba hajakosea ,ina maana umeunga mkono maneno yake ambayo Auba kadai ugomvi wake na Arteta Ni sababu alishindwa kuhendo big player akimaanisha yeye na kina ozil,Kuna sehemu nimesema Auba ni big player?niquote niione
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Big players ndio kina Auba ,ozil? Au kina Nan hao ?Xhaka partey???? Bro Arsenal ya sasa haina big player wote ni wa kawaida
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
We unaongeaga upupu sana mean mfuata upepo unamchukuliaje Auba?sababu kaondoka Arsenal leo unamponda? Mtu aliyescore more than 70 goals na ana kiatu cha dhahabu unamtumkana?are you mentally fit kweli?Arsenal ilikaa zaidi ya 10 years haina mfungaji auba akatupa credit leo unamkataa? We jamaa sio mzimaMalengo msimu uliopita ilikuwa Arteta aingie ndani ya timu6 , akawa wa 5, akapewa mkataba mpya ,na msimu uliopita ilikuwa ku establish Style of play ,
Japo nakumbuka ulidai timu itashuka daraja
Huyo Auba angeachwa alishakuwa kirusi ,wote mashahid humu, anatukosesha goli na Newcastle, man u ,n.k hajitumi, anafika mazoezin muda anaotaka yeye
Ndio ukubwa huo?
Bila Arteta kulitimua Hilo sharobaro timu isingekuwa hapa ilipo
Nidhamu popote pale inazungumziwa
Wewe Kama timu AUBA sioni aibu kukuona unapingana na Arteta ,na Toka awali unampinga Arteta hivo lazima utamsapoti Auba ,
Hata Ozil aliondoka kwa jazba ,akawa anamponda Arteta mitandaon kipind Arteta anatengeneza timu hafanyi vzr, lkn siku hizi amekuwa sapota mkubwa
Hata Auba kasema ilikuwa hasira tu, Cha ajabu wewe unaona sawa
Katoa opinions zake na ni among players ambao kaipa heshima Arsenal ana kiatu cha dhahabu siwezi kumjudge never ever mawazo yake yaheshimiweUliposema Auba hajakosea ,ina maana umeunga mkono maneno yake ambayo Auba kadai ugomvi wake na Arteta Ni sababu alishindwa kuhendo big player akimaanisha yeye na kina ozil,
Wale wote walioipa Arsenal achievements haina hana ya kuwatusi eti kisa Arteta wakitoa opinions zao take it unasonga mbele life goes on broUliposema Auba hajakosea ,ina maana umeunga mkono maneno yake ambayo Auba kadai ugomvi wake na Arteta Ni sababu alishindwa kuhendo big player akimaanisha yeye na kina ozil,
Yaan wewe jamaa ,ok ndio maana ulihamia Psg ,then umerud ArsenalWe unaongeaga upupu sana mean mfuata upepo unamchukuliaje Auba?sababu kaondoka Arsenal leo unamponda? Mtu aliyescore more than 70 goals na ana kiatu cha dhahabu unamtumkana?are you mentally fit kweli?Arsenal ilikaa zaidi ya 10 years haina mfungaji auba akatupa credit leo unamkataa? We jamaa sio mzima
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wapi Kuna tusi limetolewa? Hakuna mchezaji mkubwa kuliko klabu, mm nakushauri mfate Auba yupo Chelsea,yakikushinda utarudi Kama ulivyoenda PSG,Wale wote walioipa Arsenal achievements haina hana ya kuwatusi eti kisa Arteta wakitoa opinions zao take it unasonga mbele life goes on bro
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app