Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huy jamaa Arsenal hua ina muumiza sana, alianza kutuponda adi kushangilia, kwamba tunashangilia sana leo amekuja na hili
 
"Kazi yangu nikumtuliza kila mtu klabuni, hatutakiwi kubebwa na mafanikio ya sasa, huwa nawaambia wenzangu kufurahia ushindi ni sawa lakini kushinda mechi nyingi katika msimu ndicho tunachotakiwa kufanya, lengo ni rahisi, kushinda mechi nyingi kisha kusubiri kitakachotokea May, ama kushinda EPL au kucheza UEFA."

Gabriel Jesus.
 
HAWA NOTTINGHAM FOREST NA ASTON VILLA WANA UEFA NYIE ARSENYETO NA MAMA CITA MNAFUGA MATAKO TU WAJA LAANA NYIE
 
Kwasasa hawez leta maringo, yan deal likija mezan ni chap analichangamkia
 
Ninachosema ni kuwa soka haikupi mda wa kujipanga, ukikosea kidogo tu unakuwa unfavourable kwa mashabiki. Leo hii Klopp pamoja na achievement zote, tayari wanaanza kumchoka.

Exactly, wait and see what will happen to Klopp after next saturday game vs City. Supporters’ reaction won’t be friendly.
 
Nyie mambanga tunawasubiri novemba tuwanywe supu. Hamuna timu ya kubeba ubingwa nyie takataka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…