hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,406
- 26,963
Ungejibu kwa hoja sio kusema nipunguze maneno, nakumbuka ndio wewe ulimponda Sana Jesus humu,Hamisi ndugu yangu nakukubali sana na unajua my friend but kwa hili punguza maneno( YOU BETTER KEEP YOUR MOUTH SHUT ) ushabiki uzivunge viwango namna hii wote tunaipenda Arsenal but kwenye ukweli lazima usemwe
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Swala la gab kukosea Ni kweli, ila Sion Kama mnavyodai , hebu wewe tueleze hayo makosa angefanyaje? Leta analysis angefanyaje kuyaondoa halafu tupime
Nimekupa mfano wa Goli dhidi ya Spurs aliyekosekana Ni Xhaka na aliomba msamaha ,Kama unabisha statement IPO
Gab anajulikana Ni mzito, Lakini Ndiye usajiri ambao Arteta humuambii kitu, anajua anampa Nini kwenye timu
Naona wengine mnadai arudi holding ,mara White acheze na Saliba
Mnasahau Arteta kamwe hawez kucheza bila LCB labda Gab awe injury
Hata Martinez alimtaka awe LB backup
Makosa kwa binadamu yapo ,niambie beki gan LCB Bora Duniani ,tukuletee makosa yake hapa .
Most of players mliwakataa Sana hamkutaka hata wasajiriwe , uzuri Arteta hasikilizi au kusajiri kwa mihemko ya mashabiki ,
Madirisha yajayo sitashangaa Nguvu kubwa ikiwekezwa kwa DM na wingers ,