Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Erik ten Hag
Ten hagg Hana uwezo waku dominate mpira , ukiacha magoli ya kaunta ,pale kwenu Arsenal tulitawala mpira kwa kiwango kikubwa

Kwakuwa mashabiki hamfanyii analysis mech mnaangalia matokeo tu utaona Ten hagg bonge la kocha

Kwa timu iliyotumia £250m dirisha moja, halafu inacheza vile ,mnatakiwa muwe macho mapema

Mmemsajiri kutoka Ajax mkiamin atawaletea ule Mpira mzuri wa Ajax

Mlituwin kwa kaunta , but sikuzote hutaweza kushinda kwa ujanja ujanja

Mpira wasasa unahitaji total control ya game ,

Kama unaamin ule Mpira mtakuwa mnashinda ,subiri kesho kwa City,
 
Nilimshauri Arteta mapema na amefanyia ushauri wangu kazi.

cc. Castr Will Jr
 
Mikel Arteta on making 22 passes before Partey’s goal:


“If we can score in one, I would prefer it! It’s the way we play that we trained for every single day, but I think as a team, that connection & understanding of what we want to do is reflected in that action.” #afc
 
Mtu anakaa anakomaa kabisa, Spurs Ni title contender ,mara Spurs atamfunga Arsenal

Hapo ndipo niligundua kuna watu wanaangalia mpira livescore

Spurs haina tofaut uchezaji wake na Burney , tofaut yao Spurs wanasafu nzuri ya ushambuliaji

Mechi karibu zote za Spurs ,anakaa nyuma hata dhidi ya weak opponent

Kiukweli naboreka Sana na timunzinazokaa nyuma ,nimefurahi mech ya Liverpool vs Brighton timu zinapishana , hakuna anayekaa nyuma
 
Kabla ya lile goal la partey zilipigwa pasi 21 naisi kama wenger yuko nyuma ya pazia pale arsenal ni awataki kutuweka wazi
Hiyo cha mtoto game na Brentford toka mpira uanze mpaka inakaribia dk ya 2 walikuwa hawajagusa boli kisha tukawakosa goli, martineli alikosa, angefunga ilikuwa ni balaa.
 
Ambae hajafungwa mpaka sasa ni City, ambae tunaenda kumkalisha akiyakanyaga.
Tusimpuuze city kiasi hicho...

Kuuthibitishia umma kuwa tuko serious, tumfunge huyu Liverpool nusu, tukishindwa kumfunga Liverpool kiwete tutakuwa hatuko serious na ule ugonjwa wetu wa big games utakuwa haujaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…