Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Upo sahihi kabisa, top six ina mechi kama kumi hivi home-away. Basi tuwe na 50% wins, 30%loss na 20%draws. Tukifikia stage hii naamini tunakuwa mabingwa watarajiwa.
BTW, Mimi ni shabiki wa Man U mkuu

Kinachonishangaza mm ni kuona baadhi ya mashabiki wa Arsenal wanalalamika mapema ivii. Yani timu ina structure kabisa with and without the ball. Timu ina press vzr, wachezaji wanacheza for a purpose wakiwa wanajiamini...
Every time Arsenal have the ball, unakuwa unahisi something is going to happen! Na bado watu wanalalama

Hivi kuna mtu anakumbuka Man U ilivokuwa wakati wa Ralf Rangnick. Ile kitu imenifunza ku appreciate progress siyo kulalamika au kuwa na expectations ambazo ni unrealistic.
 
Ni Kawaida Mkuu ukiwa unacheza na timu unaona kama muda wote wamebana,wanataka kuwafunga.
 
.
 
Sasa kama anatawala possesion why uwaunderrate viungo wa arsenal?wakati mpira wametawala na bahati imeamua

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Bahati imeamua? Magoli yote mmefungwa kwa mtindo mmoja utasemaje bahati iliamua? Pale mlizidiwa mbinu mzee, magoli yote matatu hakuna hata moja la kubahatisha (yamesukwa kabisa).
 
Wazee inatosha sasa Jukwaa limevamiwa hili inatosha let's focus katika game ijayo Vs Everton

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mkuu tuache tusherehekee mbio za mwenge, humu tuliaminishwa mwaka huu mwenge hauvuki kijiji.
Wadau jana kipigo kiliwalevya mpaka wakajikuta wameenda kazini.
 
Bahati imeamua? Magoli yote mmefungwa kwa mtindo mmoja utasemaje bahati iliamua? Pale mlizidiwa mbinu mzee, magoli yote matatu hakuna hata moja la kubahatisha (yamesukwa kabisa).
Wacha uwongo labda kama kuna mechi nyingine ulikuwa unaangalia
 
Nyie majibwa mmeshindaje? Sasa mnalalamika nn? Tangu lini Arsenal kufungwa na man u ikawa jambo la ajabu?

Sasa sikilizeni Man u ndiye bingwa msimu huu mtake msitake, mnaona mpira tunaocheza kwa ss? Yani kwa mpira huu ubingwa upo wazi kabisa msimu huu hakuna wa kutuzuia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…