Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpira tuliutawala kwa kiasi kikubwa nini hoja yako?tulifunga goli halali wakakataa nini hoja yako,
Saka alikwatuliwa ktk penat box,nketia alichezewa rafu kwenye penat box zote zilikuwa tuta ,nini hoja yako....refa angekuwa fair nyumbu angekufa 4 sema mbeleko na bahati iliwabeba

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Always arsenal anatawala possesion akicheza na man u. Lakin kuna weakness moja ambayo arsernal miaka nenda miaka rudi hamuofanyii kazi.. mko so exposed kwa counter attack.
Na hapa man u ndipo wanawawezea
 
Mbona timu yako haipo hata top 5 kabs
 
Always arsenal anatawala possesion akicheza na man u. Lakin kuna weakness moja ambayo arsernal miaka nenda miaka rudi hamuofanyii kazi.. mko so exposed kwa counter attack.
Na hapa man u ndipo wanawawezea
Sasa kama anatawala possesion why uwaunderrate viungo wa arsenal?wakati mpira wametawala na bahati imeamua

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama anatawala possesion why uwaunderrate viungo wa arsenal?wakati mpira wametawala na bahati imeamua

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Haha dogo it takes more than possesion kupata bao.
Hakuna mahali ni wa underrate viungo wa arsenal. Ili kimbinu bado sana
Possesion haikupi point, kucheza vizur hakukupi point, magoli tu
 
Nyie Kenge kama mmemaliza kutukana mtupishe sasa
Tuanze kuweka mikakati yetu sawa

Chelshit, mnapata wapi nguvu za kumcheka baba yenu wa london!?
 
Unajisifia kukaa kwa muda au ?
Angalia table mtu wa pili mpaka wa tatu mmeacha point moja. Halaf ni city na tot nafasi zifuatazo mmewaacha point mbili.

Do you realy think mta last? Kwa epl hii?
Ni gap LA point 1 tu kati ya arsenal na city-&spurs
 
Haha dogo it takes more than possesion kupata bao.
Hakuna mahali ni wa underrate viungo wa arsenal. Ili kimbinu bado sana
Possesion haikupi point, kucheza vizur hakukupi point, magoli tu
Mfano mzuri kipindi Cha kocha Sarri ndani ya Chelseafc tulipigwa goal 4 bila na bournemouth tukiwa tuna possession ya 84 kwa 16 hata manyumbu walitupiga goals 2 tukiwa na possession ya 70 kwa 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…