DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Mpira tuliutawala kwa kiasi kikubwa nini hoja yako?tulifunga goli halali wakakataa nini hoja yako,Nilitazama mechi mkuu.
Xhaka na Odegaard kiushauri sio wa kusema una midfielders wa kupambana na Club vigogo
Fikiria kipindi Real Madrid Modric ana umri wa miaka ishirini na kitu hapo hapo yupo na Kroos ,hali kadhalika Barca kipindi Xavi ,Iniesta na Busquets wana miaka ishirini na kitu leo hii Arsenal inategemea Xhaka na Odegaard wakiwa wanaanza kwa pamoja
Saka alikwatuliwa ktk penat box,nketia alichezewa rafu kwenye penat box zote zilikuwa tuta ,nini hoja yako....refa angekuwa fair nyumbu angekufa 4 sema mbeleko na bahati iliwabeba
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app