Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ulitazama mech mkuu?
 
Wanaona aibu sasa hivi yaani wamepishana points 3 tu Man U.

Sasa hivi Hawana tena jeuri ya ubingwa tofauti ya points 3 dhidi ya Man U unasemaje unachukua ubingwa hizo timu za katikati vipi?
kwani tofauti ya bingwa na mshindi wa pili ilikuwa ngapi kwa msimu uliopita.
 
kwangu mimi haya ni matokeo kama matokeo mengine.yaani kufungwa na man u niamini nna kikosi kibaya?!!!.big no
Watu wamesahau Arsenal ilifunga goli na kama lingesimama hadithi ingekuwa ingine.

Ligi ya msimu huu ndo ligi khasa maana kila timu haitaki upuuzi.

Ila Arsenal wanatakiwa wawe wanamaliza game mapema pale wanaposhambulia kwa kupiga goli mbili za kushtukiza kisha wacheza kawaida.
 
sitaki kuwa personal,hivi unafahamu tofauti ya shabiki na mpenz wa mpira kweli?
Unataka jibu lipi wakati results ni zile zile every season vs top 6 hata Wenger alikuwa anamiliki mpira na anafungwa so unataka nikujibu nini?game ya leo dunia nzima ilikuwa inasubiri kama kuna changes but hakuna changes so tuseme nini?tumezoea kutake L kwenye games za top 6 hasa away games sina la kukujibu

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
yes hasa unapocheza na timu kama man u halafu ukadhulumiwa kuna namna wachezaji wanakata tamaa
 
Vipi saliba hapo nyuma eti martinez mfupi yule hawezi kitu


Msimu huu nyie tuna piga in_out
 
kwako changes ni kuifunga man u pekee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…