Kwasasa matako yanalia mbwata , baada ya mechi 3 Arsenal atakuwa nafasi ya tatu nyuma ya Man city na Tottenham.Vp baridi huko kileleni
Lengo la Arsenal msimu huu ni top 4 si vinginevyo.
Your a naked stupid
Ndivyo ligi ilivyo, wengi tulifahamu kuwa matokeo ya leo yaliigemea zaidi Manchester United.Yaani kuongoza ligi kwa points 3 dhidi ya Man U ni kama mko sawa ndio yale yale ya Chelsea msimu uliopita ni swala la muda tu mtatoka hapo juu na mtapoteza kujiamini maana wachezaji wenu wengi ni watoto.
sema tawile kwa kisukuma mkuu.amka acha kuotaKwasasa matako yanalia mbwata , baada ya mechi 3 Arsenal atakuwa nafasi ya tatu nyuma ya Man city na Tottenham.
Mchezaji wa miilioni 90 aje kushindania na Hawa wa mil 30 kweli!Anthony
na kuna mtu atadondosha pointNdivyo ligi ilivyo, wengi tulifahamu kuwa matokeo ya leo yaliigemea zaidi Manchester United.
Lakin ihuo ndo mpira na Arsenal ni timu pekee ambayo ilikuwa haijapoteza game.
Hivyo twaendelea na ligi next Everton jumapili, at home Emirates tutapata nafasi ya kuongeza points at the summit.
Huyu asiruhusiwe kukaa peke yake.
wakumbushe mkuu na hatushukiBado tupo juu
Mashabik Wa Manchester United Mjue Leo Tutawakanda Kama Kawaida Yetu,Litapigwa Ball La Electric, Pressing,Atasakamwa Mtu Dakika Zote Tutashambulia Kwa Kimbunga Na Tufani..!
Wapenzi wa Arsenal twaamini safari hii lazima timu ifaulu kucheza CL.Heeeee sio taito kontenda tena?
Kweli hii ni baiskeli ya barafu.
kwani hukuona mkuu na hizo emoji zako?
wanajisahau mno hawa mamluki wanaokuja kutunanga japo tumepoteza dhidi ya timudhaifuWapenzi wa Arsenal twaamini safari hii lazima timu faulu kucheza CL.
Hiyo ya Ubingwa si priority kwani ni mapema mno kuzungumzia ubingwa.
Ubingwa huangaliwa baada ya 20 games.
Mnatakiwa muijue nafasi yenu, sio mnaanza ligi na vitimu vya kijinga halafu mnavimba vichwa.
Isikufanye uamini kuwa una kikosi kibaya ila ikukumbushe kuwa, una timu ya kawaida sana.kwangu mimi haya ni matokeo kama matokeo mengine.yaani kufungwa na man u niamini nna kikosi kibaya?!!!.big no