Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,211
Huyu diaby kapataje namba leo?
all in all B'Pool ndo wamedominate game....ila kwetu sisi kama kawaDiaby anagawa maboko kama sio professional...
maboko Diaby kascore.......1-0.....
Nafasi nyingine ya wazi,tutakuja kujuta
Tunalemba sana
Mimi ntangoja mpaka dakika 93 ziishe.
Arsenal wanaitwa unpredictable".
Hawa Blackpool chini ya uangalizi wa mzee Ferguson wanaweza kukandamiza jitihada zote.