Arsenal 3 Man U 1. Sunday 4th Sept, 2000hrs
JESUS IS LORD
Man u wanacheza pale Kati na Eriksen na Kiungo mmoja mkabaji either Mactominay au Casemiro , na juu wanakuwa na Bruno Kama namba 10, winga zao huwa sio nzuri ku track back
Maana yake Hawa jamaa Ni rahisi Sana kuwatawala Kiungo na kuwafunga , Kama tutatumia nafasi mapema na kuwavuruga
Silaha yao kuu Ni counter attack
Man u mbele ya Arsenal yenye Martinell , Jesus na Saka kamwe hawez kuanzia mpira nyuma tutamuua
Arsenal tayari tuna system ya kupress zipo mbili ipo ya wanaenda wote watatu wale wa mbele kuwafata mabeki ipo ya pili anaenda mmoja ambaye huwa Ni Jesus huku Saka na Martinell wakiziba njia za mabeki kupiga pass
Hivo Man u lazima atatumia mipira mingi ya kupiga kugombania ,hapa tunatakiwa tuwe vzr kwenye 50/50 za Second ball kuziwin
Hakuna raha kucheza na man u inayomtumia Eriksen ,Bruno na winga zao ambazo hazikabi ,ndio maana game 2 zilizopita pamoja na kucheza na timu za kawaida ,man u amekuwa akikaa nyuma
Kwasababu Kuna watu wao sio wakimbiaji wanapopoteza mpira
Hii naiona Ni advantage kwetu kuitumia
Man u Bado wanakaba kwa individual ndio maana pamoja na kumleta Casemiro Bado wanajikuta wapo kwenye presha hata anapoingia
Arsenal tunakaba kwa structure nzima
MWISHO MAN U SILAHA YAKE KUU NI COUNTER ATTACK HANA KINGINE