Patrice Evra on the #Arsenal vs Manchester United game this weekend: "Arsenal are in great form, they are winning ugly games and that’s what is scaring me. Against Fulham, it wasn’t a good game but they won.Target yako ni ip sasa Uefa spot / tittle?Naona hamjifunzi tu, January hakuna usajili wa striker ona ikatucost top 4.
Msimu huu hakuna DM wa kueleweka maana partey ni injury prone na pia ana kesi so anaweza asimalize msimu hapo hapo Eleneny sio reliable back up kama unataka kuchallenge for titles!!
Mtakuja hapa kulialia baada ya msimu kuisha tukiwa nafasi ya 8 huku DM ikitucost.
We need a CDM Hilo lilifahamika ni ujeuri tu wa Arteta kudhani timu ni perfect kisa ipo top. Jamaa akifeli this time atimuliwe tu maana naona hajifunzi tu kwa makosa yake.
Mbona sasa wali panic kumsajili Douglas Luiz dakika za lala salama ilihali shabiki tuliona Hilo hitaji tokea msimu uliopita?Punguza makasirikio
Arteta na edu ndo wanaifahamu arsenal kuliko tunavoijua sisi..
Wapi nimesema tumekosa top 4 sababu ya partey? Kwani shida yetu ilikua defense au kufunga? Nimesema kushindwa kusajili striker ilitucost pakubwa.Target yako ni ip sasa Uefa spot / tittle?
Ni upumbafu kuamini Arsenal ilikosa top four kwa kumkosa Thomas partey pekee.
Arsenal tulikosa top four cuz tulistruggle kwenye maeneo mengi ya build up baada ya majeruhi, sio #6 tu.
Ben white/ Tomiyasu/ Tierney/ TP wote walipata injury kwa wakati tofauti na waliturudisha nyuma kwa namna moja au nyingine.
Hao wachezaji nafasi zao ilibidi zijazwe na Cedric/ Holding/ Tavares/ angalia utofauti wa quality btn them.
Uwepo wa TP usingemzuia Rob holding kufanya aliyofanya dhidi ya Spurs.
Kwa sasa tumeimprove maeneo mengi Saliba/ Zinchenko/ Jesus/ Fabio. Hatuwezi kumaliza 8th km unavyodhani.
Labda wameona Marquinhos Anaweza provide cover mambo yakiwa Tete.Kutosajili Natural wide forward dirisha hili inaonesha Arsenal haikutaka Winger, Arsenal ilimtaka Raphinha.![]()
Safi sana Mkuu, ushabiki wenye reasoning kama wako ndio unatakiwa humu. Kuna wakati mahaba yakizidi mtu haoni uhalisia kabisa.@Aaron Arsenal wote sisi tunaipenda team yetu but wewe umeweka mahaba kuliko facts kuna muda ulipotea miezi humu after vipigo vya mfululizo last season tulipiga kelele asajiliwe forward na Arteta na Edu wakakausha uliona end of the season nini kilitokea?partey ni injury prone pale league itakavyoanza kuchanganya utakuja kuona replacement yake jinsi ilivyo muhimu (nakukumbusha Arsenal ilikosa top 4 sababu yake pia) kumbuka last season hatukuwa na any European competition na kumbuka November ni world cup now tupo Europa league na hakuna kupumzika ni week after week tutakuwa tunacheza na uhakika kwa middle ya Partey lazima atarudi upya kwenye majeruhi na pia inawezekana hata kina Saka pia wakarudi huko usijidanganye kuwa last season ilikuwa hivi now itakuwa hivi no way
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
We ni Man utd na PSG tunajua, mnashinda ngapi dhidi ya vibonde Arsenal?@Aaron Arsenal wote sisi tunaipenda team yetu but wewe umeweka mahaba kuliko facts kuna muda ulipotea miezi humu after vipigo vya mfululizo last season tulipiga kelele asajiliwe forward na Arteta na Edu wakakausha uliona end of the season nini kilitokea?partey ni injury prone pale league itakavyoanza kuchanganya utakuja kuona replacement yake jinsi ilivyo muhimu (nakukumbusha Arsenal ilikosa top 4 sababu yake pia) kumbuka last season hatukuwa na any European competition na kumbuka November ni world cup now tupo Europa league na hakuna kupumzika ni week after week tutakuwa tunacheza na uhakika kwa middle ya Partey lazima atarudi upya kwenye majeruhi na pia inawezekana hata kina Saka pia wakarudi huko usijidanganye kuwa last season ilikuwa hivi now itakuwa hivi no way
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app

Upo sahihi asilimia 100, laiti looking angekuwa ligue 1 huenda angeuzwaje Bei za kina Touchmen ,Lokonga akiwa na mpira anafanya kila kitu anachofanya Thomas Partey, utofauti wao ni experience.
Kiufundu lokonga anatabia ya kuhide( no tackles/ no interception/ no marking) timu inapokuwa underpressure, akipata confidence ya kuexcel off the ball ni holding mid mzuri kuliko unavyodhani.
Sasa wewe Kwanza sio mshabiki wake arsenal ulihama ulikiri humu@Aaron Arsenal wote sisi tunaipenda team yetu but wewe umeweka mahaba kuliko facts kuna muda ulipotea miezi humu after vipigo vya mfululizo last season tulipiga kelele asajiliwe forward na Arteta na Edu wakakausha uliona end of the season nini kilitokea?partey ni injury prone pale league itakavyoanza kuchanganya utakuja kuona replacement yake jinsi ilivyo muhimu (nakukumbusha Arsenal ilikosa top 4 sababu yake pia) kumbuka last season hatukuwa na any European competition na kumbuka November ni world cup now tupo Europa league na hakuna kupumzika ni week after week tutakuwa tunacheza na uhakika kwa middle ya Partey lazima atarudi upya kwenye majeruhi na pia inawezekana hata kina Saka pia wakarudi huko usijidanganye kuwa last season ilikuwa hivi now itakuwa hivi no way
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ni upumbavu mkubwa kuamini tulikosa top 4 kisa ParteyTarget yako ni ip sasa Uefa spot / tittle?
Ni upumbafu kuamini Arsenal ilikosa top four kwa kumkosa Thomas partey pekee.
Arsenal tulikosa top four cuz tulistruggle kwenye maeneo mengi ya build up baada ya majeruhi, sio #6 tu.
Ben white/ Tomiyasu/ Tierney/ TP wote walipata injury kwa wakati tofauti na waliturudisha nyuma kwa namna moja au nyingine.
Hao wachezaji nafasi zao ilibidi zijazwe na Cedric/ Holding/ Tavares/ angalia utofauti wa quality btn them.
Uwepo wa TP usingemzuia Rob holding kufanya aliyofanya dhidi ya Spurs.
Kwa sasa tumeimprove maeneo mengi Saliba/ Zinchenko/ Jesus/ Fabio. Hatuwezi kumaliza 8th km unavyodhani.
Walimtaka Luiz kwasababu ya kuumia kwa Elneny ,Mbona sasa wali panic kumsajili Douglas Luiz dakika za lala salama ilihali shabiki tuliona Hilo hitaji tokea msimu uliopita?
Hao sio perfect ila wanapenda tu ku assert authority Ili waonekane hawafanyi kazi kwa pressure ya watu na media!!
Akifanikiwa atasifiwa ila akifeli ndio mwisho wake huu kisa stubbornness
Ilitaka mbadala wa Pepe ,lkn awe right player Kama backup tu hata Pepe anafaa vzr ,ila Arteta amekuwa akisema hawapo tena kurudia upuuz wakusajiri ilimrad ,Kutosajili Natural wide forward dirisha hili inaonesha Arsenal haikutaka Winger, Arsenal ilimtaka Raphinha.![]()
Kama unasubiri Arteta atimuliwe basi utasubiri SanaNaona hamjifunzi tu, January hakuna usajili wa striker ona ikatucost top 4.
Msimu huu hakuna DM wa kueleweka maana partey ni injury prone na pia ana kesi so anaweza asimalize msimu hapo hapo Eleneny sio reliable back up kama unataka kuchallenge for titles!!
Mtakuja hapa kulialia baada ya msimu kuisha tukiwa nafasi ya 8 huku DM ikitucost.
We need a CDM Hilo lilifahamika ni ujeuri tu wa Arteta kudhani timu ni perfect kisa ipo top. Jamaa akifeli this time atimuliwe tu maana naona hajifunzi tu kwa makosa yake.
Arsenal Ina wide players wengi TULabda wameona Marquinhos Anaweza provide cover mambo yakiwa Tete.
Jack Ni kocha wa U18Hivi academy zetu zinautaratibu tofauti naona Manager ni Per lakin Kuna makocha wawili Jack na Helmer Sasa wanasimama touchline nifanunulieni apo alafu pia tunaongoza ligi baada ya mechi tano tumeanza vizur aseee