Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Patrice Evra on the #Arsenal vs Manchester United game this weekend: "Arsenal are in great form, they are winning ugly games and that’s what is scaring me. Against Fulham, it wasn’t a good game but they won.

‘Let’s be clear, Arsenal fear Man United, there’s a massive history between the two. I used to call them “our babies”, now it’s the other way round and we’re looking more like the babies."
 
Naona hamjifunzi tu, January hakuna usajili wa striker ona ikatucost top 4.

Msimu huu hakuna DM wa kueleweka maana partey ni injury prone na pia ana kesi so anaweza asimalize msimu hapo hapo Eleneny sio reliable back up kama unataka kuchallenge for titles!!

Mtakuja hapa kulialia baada ya msimu kuisha tukiwa nafasi ya 8 huku DM ikitucost.

We need a CDM Hilo lilifahamika ni ujeuri tu wa Arteta kudhani timu ni perfect kisa ipo top. Jamaa akifeli this time atimuliwe tu maana naona hajifunzi tu kwa makosa yake.
Target yako ni ip sasa Uefa spot / tittle?


Ni upumbafu kuamini Arsenal ilikosa top four kwa kumkosa Thomas partey pekee.

Arsenal tulikosa top four cuz tulistruggle kwenye maeneo mengi ya build up baada ya majeruhi, sio #6 tu.

Ben white/ Tomiyasu/ Tierney/ TP wote walipata injury kwa wakati tofauti na waliturudisha nyuma kwa namna moja au nyingine.

Hao wachezaji nafasi zao ilibidi zijazwe na Cedric/ Holding/ Tavares/ angalia utofauti wa quality btn them.

Uwepo wa TP usingemzuia Rob holding kufanya aliyofanya dhidi ya Spurs.

Kwa sasa tumeimprove maeneo mengi Saliba/ Zinchenko/ Jesus/ Fabio. Hatuwezi kumaliza 8th km unavyodhani.
 
Punguza makasirikio
Arteta na edu ndo wanaifahamu arsenal kuliko tunavoijua sisi..
Mbona sasa wali panic kumsajili Douglas Luiz dakika za lala salama ilihali shabiki tuliona Hilo hitaji tokea msimu uliopita?

Hao sio perfect ila wanapenda tu ku assert authority Ili waonekane hawafanyi kazi kwa pressure ya watu na media!!

Akifanikiwa atasifiwa ila akifeli ndio mwisho wake huu kisa stubbornness
 
Mikel Arteta on what it would mean to win at Old Trafford: “It’s not something new. We’ve done it, we have to do it again.” #afc

#COYG
 
Target yako ni ip sasa Uefa spot / tittle?


Ni upumbafu kuamini Arsenal ilikosa top four kwa kumkosa Thomas partey pekee.

Arsenal tulikosa top four cuz tulistruggle kwenye maeneo mengi ya build up baada ya majeruhi, sio #6 tu.

Ben white/ Tomiyasu/ Tierney/ TP wote walipata injury kwa wakati tofauti na waliturudisha nyuma kwa namna moja au nyingine.

Hao wachezaji nafasi zao ilibidi zijazwe na Cedric/ Holding/ Tavares/ angalia utofauti wa quality btn them.

Uwepo wa TP usingemzuia Rob holding kufanya aliyofanya dhidi ya Spurs.

Kwa sasa tumeimprove maeneo mengi Saliba/ Zinchenko/ Jesus/ Fabio. Hatuwezi kumaliza 8th km unavyodhani.
Wapi nimesema tumekosa top 4 sababu ya partey? Kwani shida yetu ilikua defense au kufunga? Nimesema kushindwa kusajili striker ilitucost pakubwa.

This time tupo fit huko mbele ila huko kati tupo kweupe hasa number 6!! Turudi hapa April mtakapokua mnalaumu kuwa position ya 8 kisa kukosa midfield imara.

NB: umekiri kuwa tulikosa top 4 kisa majeruhi na ndio maana ya usajili Ili uwe na depth kubwa yaani kwa timu hupaswi kuwa na first team imara pekee unapaswa kuwa na benchi Pana Ili pakitokea emergency basi unaziba nyufa. Sasa arsenal hata akiumia Jesus unadhani kuna hope ya kupata goli? Tuweni serious jamani msimu Una mechi zaidi ya 50 huwezi expect Partey au Jesus kuwepo zote.
 
@Aaron Arsenal wote sisi tunaipenda team yetu but wewe umeweka mahaba kuliko facts kuna muda ulipotea miezi humu after vipigo vya mfululizo last season tulipiga kelele asajiliwe forward na Arteta na Edu wakakausha uliona end of the season nini kilitokea?partey ni injury prone pale league itakavyoanza kuchanganya utakuja kuona replacement yake jinsi ilivyo muhimu (nakukumbusha Arsenal ilikosa top 4 sababu yake pia) kumbuka last season hatukuwa na any European competition na kumbuka November ni world cup now tupo Europa league na hakuna kupumzika ni week after week tutakuwa tunacheza na uhakika kwa middle ya Partey lazima atarudi upya kwenye majeruhi na pia inawezekana hata kina Saka pia wakarudi huko usijidanganye kuwa last season ilikuwa hivi now itakuwa hivi no way

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Safi sana Mkuu, ushabiki wenye reasoning kama wako ndio unatakiwa humu. Kuna wakati mahaba yakizidi mtu haoni uhalisia kabisa.
 
@Aaron Arsenal wote sisi tunaipenda team yetu but wewe umeweka mahaba kuliko facts kuna muda ulipotea miezi humu after vipigo vya mfululizo last season tulipiga kelele asajiliwe forward na Arteta na Edu wakakausha uliona end of the season nini kilitokea?partey ni injury prone pale league itakavyoanza kuchanganya utakuja kuona replacement yake jinsi ilivyo muhimu (nakukumbusha Arsenal ilikosa top 4 sababu yake pia) kumbuka last season hatukuwa na any European competition na kumbuka November ni world cup now tupo Europa league na hakuna kupumzika ni week after week tutakuwa tunacheza na uhakika kwa middle ya Partey lazima atarudi upya kwenye majeruhi na pia inawezekana hata kina Saka pia wakarudi huko usijidanganye kuwa last season ilikuwa hivi now itakuwa hivi no way

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
We ni Man utd na PSG tunajua, mnashinda ngapi dhidi ya vibonde Arsenal?
 
Lokonga akiwa na mpira anafanya kila kitu anachofanya Thomas Partey, utofauti wao ni experience.

Kiufundu lokonga anatabia ya kuhide( no tackles/ no interception/ no marking) timu inapokuwa underpressure, akipata confidence ya kuexcel off the ball ni holding mid mzuri kuliko unavyodhani.
Upo sahihi asilimia 100, laiti looking angekuwa ligue 1 huenda angeuzwaje Bei za kina Touchmen ,

Ila sababu kuna watu hawamuamin kiss yupo Arsenal ,dogo kashacheza mech kibao na kazikamata vzr TU

Kama hiyo #6 ya partey hata yeye awali ilimshinda had akasema anajipa 4/10 ,, baada ya kutulia kuwekwa sawa na Arteta akawa huyu Partey ambaye watu wanamlilia humu

Naamini Albert anaenda kuwa turning point ya kumsahau Partey japo anarud wiki mbili zijazo,

Ilishatokea huko nyuma had kina saka , Martinell,Rowe,n.k wakaaminiwa Ni baada ya watu kuumia, au kuwategemea wasitusaidie

Ni ujinga kumtegemea Partey ambaye anacheza game 3 anarud wodini
 
@Aaron Arsenal wote sisi tunaipenda team yetu but wewe umeweka mahaba kuliko facts kuna muda ulipotea miezi humu after vipigo vya mfululizo last season tulipiga kelele asajiliwe forward na Arteta na Edu wakakausha uliona end of the season nini kilitokea?partey ni injury prone pale league itakavyoanza kuchanganya utakuja kuona replacement yake jinsi ilivyo muhimu (nakukumbusha Arsenal ilikosa top 4 sababu yake pia) kumbuka last season hatukuwa na any European competition na kumbuka November ni world cup now tupo Europa league na hakuna kupumzika ni week after week tutakuwa tunacheza na uhakika kwa middle ya Partey lazima atarudi upya kwenye majeruhi na pia inawezekana hata kina Saka pia wakarudi huko usijidanganye kuwa last season ilikuwa hivi now itakuwa hivi no way

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sasa wewe Kwanza sio mshabiki wake arsenal ulihama ulikiri humu

Pili Mimi huwa nakuwepo nakutoka humu hata timu Ikiwa inafanya poa sababu ya majukumu, hapa Nina mech karibu 2 sikuwepo humu na tumeshinda ,


Pili kamsikilize Arteta alichosema ,usiniambie mm na mahaba ,

Hoja zako zote kocha alizijibu kwapress nying

January hatukukosa top 4 kisa Partey huu Ni uwongo mnadanganya sana


Waliumia Partey ,KT na Tomiyasu

Pengo la Partey aliziba Elneny had akapewa mkataba mpya

Mapengo mawili hayakuzibwa vzr la KT ambalo Tavares alituchoma Sana ,na Tomiyasu ambalo Cedric alikuwa njia


Kwahiyo unaposema pengo la Partey lilitunyima top 4 Ni uongo ,inaonesha huofatilii Arsenal sababu ulihamia Psg

Arsenal ilijaribu January kumsajiri Dusan ikashindwa ,ulitaka wafanyaje?

Summer wamempata Jesus ambaye ulikuwa humtaki humu nawengine


Klabu haisajiri kumfurahisha mtu, hi project aliianzisha Arteta ,aachwe aiendeshe mwenyewe


Ni mashabiki nyie ndio mlikuwa mwataka mbadala wa Partey lkn Arteta hana wazo Hilo kwasasa , maana Elneny alizawadiwa mkataba ili kuziba hiyo nafasi

Target zilikuwa kuziba LB ,RW na CF

CM hawawez kuleta short term ,amelisema Hilo ,
 
Target yako ni ip sasa Uefa spot / tittle?


Ni upumbafu kuamini Arsenal ilikosa top four kwa kumkosa Thomas partey pekee.

Arsenal tulikosa top four cuz tulistruggle kwenye maeneo mengi ya build up baada ya majeruhi, sio #6 tu.

Ben white/ Tomiyasu/ Tierney/ TP wote walipata injury kwa wakati tofauti na waliturudisha nyuma kwa namna moja au nyingine.

Hao wachezaji nafasi zao ilibidi zijazwe na Cedric/ Holding/ Tavares/ angalia utofauti wa quality btn them.

Uwepo wa TP usingemzuia Rob holding kufanya aliyofanya dhidi ya Spurs.

Kwa sasa tumeimprove maeneo mengi Saliba/ Zinchenko/ Jesus/ Fabio. Hatuwezi kumaliza 8th km unavyodhani.
Ni upumbavu mkubwa kuamini tulikosa top 4 kisa Partey

Wakati tuli pata injury 3 kwa mpigo ,na eneo la Partey lilizibwa vzr na Elneny

LB na RB hayakuwa na watu proper na yamefanyiwa kazi
 
Mbona sasa wali panic kumsajili Douglas Luiz dakika za lala salama ilihali shabiki tuliona Hilo hitaji tokea msimu uliopita?

Hao sio perfect ila wanapenda tu ku assert authority Ili waonekane hawafanyi kazi kwa pressure ya watu na media!!

Akifanikiwa atasifiwa ila akifeli ndio mwisho wake huu kisa stubbornness
Walimtaka Luiz kwasababu ya kuumia kwa Elneny ,

Tetes za kuwataka DM zimekuja baada ya kuumia Elneny na majerah madogo ya Partey

Arsenal dirisha hili haikuwa na mpango was kusajiri DM

Mbona mnawatwisha watu mizigo isiyokuwepo
 
Kutosajili Natural wide forward dirisha hili inaonesha Arsenal haikutaka Winger, Arsenal ilimtaka Raphinha.
Ilitaka mbadala wa Pepe ,lkn awe right player Kama backup tu hata Pepe anafaa vzr ,ila Arteta amekuwa akisema hawapo tena kurudia upuuz wakusajiri ilimrad ,

Eneo la winga bado Kuna option Jesus, Vieira,

Kuna mech 13 za EPL had January
 
Naona hamjifunzi tu, January hakuna usajili wa striker ona ikatucost top 4.

Msimu huu hakuna DM wa kueleweka maana partey ni injury prone na pia ana kesi so anaweza asimalize msimu hapo hapo Eleneny sio reliable back up kama unataka kuchallenge for titles!!

Mtakuja hapa kulialia baada ya msimu kuisha tukiwa nafasi ya 8 huku DM ikitucost.

We need a CDM Hilo lilifahamika ni ujeuri tu wa Arteta kudhani timu ni perfect kisa ipo top. Jamaa akifeli this time atimuliwe tu maana naona hajifunzi tu kwa makosa yake.
Kama unasubiri Arteta atimuliwe basi utasubiri Sana

Ni Manager anaingia vikao vya Bodi, ana power kubwa Sana ndani ya klabu Ndiye karudisha lile vibe Emirates ,Ndiye kaleta umoja Kati ya fans na wachezaji

Malengo aliyopewa msimu uliopita Ni awe ndan ya top 6 , ndio maana alilopoteza mech 3 mfululizo mwishon, asubuhi akiwa ofisini akaletewa mkataba asaini

Tupo nae miaka mingi ,alianzaga project yake akiwa na wachache tunaomuamini

As late as Friday 26 August, less than a week before the transfer deadline, Arsenal were not planning on signing a central midfielder & believed they had sufficient depth to see them through the winter months. The focus was instead on recruiting a wide player. [@gunnerblog] #afc


Mikel Arteta on if Arsenal have enough depth: “It is the team that we have & for me, it’s the best squad & the best players that I have available. We have an academy as well that we have to use & we’ll try to utilise the players in the best possible way.”


Arsenal have tried to take a more strategic approach to their transfer business across recent windows, which includes avoiding ‘panic buys’ & overpaying. It has meant missing out on some targets, but they believe it benefits the health of the club in the long run. [@gunnerblog]


Mikel Arteta on not signing a player on deadline day after midfield injuries: “We had to react in the market. We tried, but at the end of the day, we have to bring the player that we feel is the right player for the team. We didn’t manage to do that.” #afc
 
Hivi academy zetu zinautaratibu tofauti naona Manager ni Per lakin Kuna makocha wawili Jack na Helmer Sasa wanasimama touchline nifanunulieni apo alafu pia tunaongoza ligi baada ya mechi tano tumeanza vizur aseee
 
Labda wameona Marquinhos Anaweza provide cover mambo yakiwa Tete.
Arsenal Ina wide players wengi TU

Vieira ,Jesus, wanaweza kucheza wide

Labda Kama hujuia , Vieira anacheza AM Kwa ode ,anacheza RW kwa saka na Arteta kamtumia alipotumika kwa U21 juz Kati ,

Hapo hata kocha hajaamua kumtumia Marquinho
 
Nuno Tavares makes the @WhoScored Top5 leagues Team of the month for August 2022
IMG_20220903_163443.png
 
Back
Top Bottom