Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuhusu kumla nyumbu kwao haitakuwa Jambo Jipya
IMG_20220904_005846.jpg
 
But liverpool na Chelsea wamefanya panic buys ila kwa mkopo. Ili hata ikifeli hakuna obligation ya kumnunua.

Sisi tumeshindwa hata kumchukua kwa mkopo mtu yoyote wa kucheza CM/DM?

Hii itatu cost na lawama zitaanza jumatatu pale lokonga akidhalilishwa na kina Casemiro na Eriksen!! Tutarudi humu kulalama tena.
Arsenal haikabi kwa kumtegemea Lokonga , Arsenal inakaba kwa structure maalumu either 4-4-2 au 4-4-1-1

Ndio maana hata mech na Astonvilla Lokonga kapiga pass accuracy 93%

Huyo man u mechi mbili zilizopita anamuingiza Casemiro bado anapelekewa Moto na kina Leicester na soton

Kwann? Ni sababu man u bado wanakaba individual , wakimtumia Casemiro au Mactominay pekee , mbele wanamuweka Eriksen ,na Bruno plus winga zao hazi track back

,Arsenal ilishatoka huko

No.6 ya Arsenal hata wewe ukiwa unajua kupiga pass ,unajua kufanya turnover , una x-stics za kuwa presser resistant , unaicheza vzr

Swala la kukaba Arsenal ikiwa off the ball fatilia utakuta saka , Martinell ,Jesus ,Xhaka ,wapo kwenye shape gan

Huenda Jesus ana ball recoveries nyingi kuliko hata No.6 ya Arsenal


Lokonga dhid ya Villa kafanya vzr

Elneny dhid ya Fulham kakamata Dimba zimepigwa pass 500+
 
Arteta Kuhusu kumtumia Zinny nafasi ya Partey


: "It's one of the options.

"We can use him in midfield, as an attacking midfielder, even as a holding midfielder.

"Of course, it's an option. He's played there as well, so it's great to have players who can give us that versatility."
 
Man u wanacheza pale Kati na Eriksen na Kiungo mmoja mkabaji either Mactominay au Casemiro , na juu wanakuwa na Bruno Kama namba 10, winga zao huwa sio nzuri ku track back


Maana yake Hawa jamaa Ni rahisi Sana kuwatawala Kiungo na kuwafunga , Kama tutatumia nafasi mapema na kuwavuruga

Silaha yao kuu Ni counter attack

Man u mbele ya Arsenal yenye Martinell , Jesus na Saka kamwe hawez kuanzia mpira nyuma tutamuua

Arsenal tayari tuna system ya kupress zipo mbili ipo ya wanaenda wote watatu wale wa mbele kuwafata mabeki ipo ya pili anaenda mmoja ambaye huwa Ni Jesus huku Saka na Martinell wakiziba njia za mabeki kupiga pass

Hivo Man u lazima atatumia mipira mingi ya kupiga kugombania ,hapa tunatakiwa tuwe vzr kwenye 50/50 za Second ball kuziwin


Hakuna raha kucheza na man u inayomtumia Eriksen ,Bruno na winga zao ambazo hazikabi ,ndio maana game 2 zilizopita pamoja na kucheza na timu za kawaida ,man u amekuwa akikaa nyuma

Kwasababu Kuna watu wao sio wakimbiaji wanapopoteza mpira

Hii naiona Ni advantage kwetu kuitumia

Man u Bado wanakaba kwa individual ndio maana pamoja na kumleta Casemiro Bado wanajikuta wapo kwenye presha hata anapoingia

Arsenal tunakaba kwa structure nzima

MWISHO MAN U SILAHA YAKE KUU NI COUNTER ATTACK HANA KINGINE
Unaisema Manure Ile ya mwaka Jana na mechi mbili za ligi za msimu huu.
Mechi tatu wamepress sana japo sio Kwa pace kubwa

Arsenal mmeshinda mechi moja tu za away dhidi ya Manure katika mechi 15 mlizocheza Oldtraford.

Arsenal mmefungwa goli nyingi za away dhidi ya timu 17 zote za EPL isipokuwa Anfield mmefungwa 69 na Oldtraford 49.

Kwa takwimu hizo na form nzuri ya Manure kuanzia game la Liverpool msitambe sana Wala msijipe mahopes mtaadhirika

Mkishinda mechi ya kesho mtakuwa timu ya tano kushinda mechi sita mfululizo za kuanzia EPL
Newcastle x1 (1994/5 Chelsea x2 (204/5 na 2009/10 Mancity x1 ( 2016/17 na Liverpool x2 (2018/19 na 2019/20
 
Mikel Arteta kuhusu umuhimu wa kwenda kushinda Old Trafford:

"Sio jambo jipya. Tumelifanya, lazima tulifanye tena.”
One out 15
Kesho mnashindiliwa
Timu zote mlizozifunga ni ordinary, bado hamjakutana na miamba ya soka
 
(per Transfermarkt):

🤏 Smallest squads:

Man City - 23
Arsenal - 23
Palace - 24
Brentford - 24

🫂 Largest squads:

Man Utd - 31
Forest - 30

👴 Oldest squads:

West Ham - 27.7
Fulham - 27.5
Newcastle - 27.3

👦 Youngest squads:

Arsenal - 24.3
Southampton - 24.9
Wolves - 25.3

ℹ️@Footballfactly
 
Unaisema Manure Ile ya mwaka Jana na mechi mbili za ligi za msimu huu.
Mechi tatu wamepress sana japo sio Kwa pace kubwa

Arsenal mmeshinda mechi moja tu za away dhidi ya Manure katika mechi 15 mlizocheza Oldtraford.

Arsenal mmefungwa goli nyingi za away dhidi ya timu 17 zote za EPL isipokuwa Anfield mmefungwa 69 na Oldtraford 49.

Kwa takwimu hizo na form nzuri ya Manure kuanzia game la Liverpool msitambe sana Wala msijipe mahopes mtaadhirika

Mkishinda mechi ya kesho mtakuwa timu ya tano kushinda mechi sita mfululizo za kuanzia EPL
Newcastle x1 (1994/5 Chelsea x2 (204/5 na 2009/10 Mancity x1 ( 2016/17 na Liverpool x2 (2018/19 na 2019/20
Man u ya msimu huu na msimu uliopita tofauti yao Ni maingizo ya wachezaji wapya

Man u bado anaogopa kuanzia mpira nyuma kwa game nilizowaona
 
One out 15
Kesho mnashindiliwa
Timu zote mlizozifunga ni ordinary, bado hamjakutana na miamba ya soka
Wewe lembu bhana unachekesha Sana

Wewe umefungwa na timu kubwa?

Eti timu zote ordinary , Sisi tumeanza kutoa vipigo toka preseason mkasema it's just a preseason Tena akiwapo Chelsea huyu huyu anayecheza hivi hivi akila chuma 4

Kwenye Ligi ya epl hakuna kibonde

Ndio maana Astonvilla tuliyempiga wiki iliyopita kwa mpira mkubwa Jana kambana city, na refa angekuwa Makin city asingepata hata point 1

Kwanini hampendi kuheshimu wapinzani?

Kocha wa man u anapenda kupress lkn mfumo haujakubali ,hata kuanzia mpira nyuma mech 2 za mwanzo alipoteza sababu ikiwa hiyo ,Hana kipa wakufanya hivo ,
 
Kosa ilikuwa 100% ni la refa. Kwenye movement ya goli hakutakiwa kumuangalia lisemen. Iliudhi sana jana
Hapakuwa na haja hata ya kuaangalia var kwa sababu referee kashasimamisha mchezo na wachezaji wakarelax ,wakisubili maelekezo , kumbe hapakuwa na kosa lolote ,ile ni referee mistake ....!
 
One out 15
Kesho mnashindiliwa
Timu zote mlizozifunga ni ordinary, bado hamjakutana na miamba ya soka
Kama Villa ordinary bas muulize city
Kama crystal palace ordinary muulize liver

Southampton kakufanya nini,?
Leeds kakufanya nini?

Hizo ni timu kubwa???



Au chelshit uko alipo, kakutana na timu kubwa ipi?

Ndio maana wanakuita LEMBUA
 
Kama Villa ordinary bas muulize city
Kama crystal palace ordinary muulize liver

Southampton kakufanya nini,?
Leeds kakufanya nini?

Hizo ni timu kubwa???



Au chelshit uko alipo, kakutana na timu kubwa ipi?

Ndio maana wanakuita LEMBUA
Just give youself false hopes!
 
Anapopita saka ndio yupo huyo malacia

Anapopita martinel ndio yupo dalot

Nyumbu leo kazi anayo,

Sancho, rashgord na elanga wanaenda kukutana na vyuma hivi: Gabriel, Saliba, White/Tomiyasu

Alafu sijui kwanini huwa de gea hataki kabisa kudaka mashuti ya XHAKA
 
🗣Mikel Arteta on #Arsenal's recent record at Old Trafford:


“I wouldn’t like any of our players feeling that way because they’re good enough to go there and win the match and I think we have the belief that can happen. If not, it’s better to stay at home.” 💯 🔴
 
Jana City alikuwa ameisha kama sio ujinga wa refa na linesman

Jana Liverpool alifungwa goli halali kabisa alikuwa amekufa kama sio wizi wa marefa.(Hii mara ya pili liver anapona kwa mgongo huu huu) imewezekanaje VVD ametoka bila red Jana?

Chelsea Jana alikuwa ameshona kijola nae kama sio VAR.that was not a foul aisee 🙌

Spurs angesare vizuri tu Jana nae ,Kane kafunga goli la offside kama alilofunga Richardson Ila limekataliwa la Richardson likaruhusiwa la Kane.

🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Hizi sumu wanazotengeneza Kuna muda watu uvumilivu utawashinda watawaonyesha marefa sura zao za ukweli.
 
Back
Top Bottom