Utakuaje secret agent kwenye team ya makombe? huyu kaja kwaajili ya kushinda matajiAuba na cr7 kwa kipindi hiki wametofautiana rangi tu
Ila hao wote ni virus.
Nikukumbushe tu
Auba ni secret agent wa arsenal katika kuibomoa chelshit
Mbona kama umepanic Huu mchezo hauhitaji hasiraTuogope nini sasa sterling yuko hapo mnakojozwa tu sembuse Auba
Mkuu kesho ndio tunaanza ligi rasmiWanaojitambua dub him a reject, subiri muone mtakavyopelekeshwa na westham kesho, pamoja uwekezaji wenu wote £255m
Mkuu kuwa mpole Huu mchezo hauhitaji hasiraPongezi ziwaendee Brighton. Wana positive net income kubwa na wanafanya vizuri kwenye ligi siyo hayo mavi ya darajani
Mbona mapema yote hii mshaanza kulalamikaNashindwa elewa Aaron Arsenal anawaza nini anavyosema ni sahihi hatujasajili.
Partey anaumia tunapoteza games.
Tushajua tunahitaji kiungo.
Dirisha limefika. Hatujasajili.
Na Aaron anaona ni sahihi simply kwakua wao wanajua wanachofanya?
Kocha ilibidi ajue target ni nani na akifeli option B ni nani. Hii ndiyo logic. Tumeingia kwenye dirisha hatujaaddress sehemu ya msingi lakini Aaron anaona sahihi?
Mkuu inabidi upewe doctor ya heshimaNdio nimewaambia hapa ,wanasema nafurahia kutosajiri mbadala wa Partey
Arsenal haisajiri kwa pupa
Wachezaji waliopo 70% Ni versatility
Tunaweza kucheza hata 4-4-2 man u akafa vzr kabisa
Winga saka marinell
Viungo xhaka ZINNY
Forward Jesus nketiah
Beki sitakiwi kutaja inajulikana
Huko mbele movement za Martinell saka nketiah alivyo improve ,na Jesus
Man u anaponaje ?
Jumapili tunakuja na 4-3-3 hybrid ya 4-2-3-1
Mid xhaka Sambi au XHAKA ZINNY
Kwingine kunajulikana,timu yetu ina structure ,hatuchez oya oya
Basi huyu tutamchukua bure, mwishoni mwa msimu mkataba wake ukiishaDanilo ndo priority kwa sasa mazungumzo yanaendelea, na huenda akasajiliwa January.
Wakirudi kwa Luiz Aston Villa January hawawezi kukataa lakini Arsernal itawabidi walipe zaidi kwa sababu pana clause Man City waliweka, ya kupata 15 milioni kwenye mauzo yoyote ya Luiz.
David Luiz alifundishwa na Aterta alipokuwa msaidizi wa Guadiola.
Hiyo ndo sababu kubwa ya Arsenal kushindwa kumsajili jana.
Walipojulishwa hiyo 15M clause ndo wakaamua kuachana na proceedings.
Otherwise, twaanza rasmi msimu kesho kwa mechi zote muhimu pamoja na ligi ya Europa, na tuna 15 points kibindoni.
Hadi tareh 1 October. Game na spursArsenal next 5 Crucial Premier League games:
4 Sept vs Manchester United (a) PL
8 Sept Vs Zurich (a) Europa
11 Sept vs Everton (h) PL
15 Sept Vs PSV (h) Europa
18 Sept Vs Brentford (a) PL
1 Oct vs Tottenham (h) PL
6 Oct Vs Bodo/Glimt Europa (h)
9 Oct Vs Liverpool (h) PL
COYGs!!
Hadi game na Tot Partey anaweza akawa ashapona na kaumia tena kwa mara ya piliHadi tareh 1 October. Game na spurs
Partey atakua kwenye fitness nzuri, zinchenko
Olashoga utapigwa wewe na mabwana zako nyumbu wanaokutumaManjestaa nipigieni hizi takataka ..vidomo domo fc .. arse8 Hawa wanaongea Sana ..kuongoza ligi kwa siku chache tu hizi washajiona wao mabingwa hahaha amaa kweli masikini akipata matako hilia mbwata.
Nani aje kununua matakatakaFrom next summer, if you’re coming for any Arsenal player, be ready to pay good money. We’ve cleared the “deadwoods”. If you want Saliba, £150M. If you want Gabriel, £100M. If you want Saka, £200M. If you want Ødegaard, £170M. If you want Ramsdale, £100M. We ain’t joking anymore.
AaronShoga tulia bidada kesho unakatwa utepe😂😂😂😂🤣Olashoga utapigwa wewe na mabwana zako nyumbu wanaokutuma
Timu lako limejaza wazee subiri leo linapigwa na westham
Halafu Tuone utapata wap nguvu yakuja humu
Eti Saka £200M Hawa magaygooners wameanza kuchanganyikiwa😂😂😂🤣🤣Nani aje kununua matakataka
Ollashoga Oc timu lako Leo linafungwa TenaAaronShoga tulia bidada kesho unakatwa utepe😂😂😂😂🤣
Baba mzima una nywele had makalioni ,unashabikia mancity ,Kuna namna watu waku ignore ,Kuna fyuzi hazipo sawaNyie matakataka Leo mnakaribishwa kushuhudia namna bingwa anavyotakiwa kuwa mnamo majira ya 19:30....na nasikitika kuwaambia kuwa Leo ndio Siku yenu ya mwisho kuongoza ligi maana baba mwenye nyumba anarejea kwaiyo wapangaji mkae kwa kutulia
Sio heshima kumfananisha Lokonga na Partey kwenye uwezo.Basi tu majeruhi ila Lokobga sio mbadala wa partey.Mbadala wa Partey Ni Elneny Ndio maana aliongezewa mkataba ,Ni nyie Ndio mlitaka asajiriwe mbadala Mwingine ,kitu ambacho Arteta hakuwa na mawazo hayo
Unfortunately Kuumia kwa Elneny Ndio kumesababisha hata kwenda kwa Luiz na Danilo
Binafs na iman na Lokonga na Ndio itakuwa turning point ya kumsahau Partey
Hata kina saka ,Smith Rowe,martinel,nketiah walipata nafas baada ya pepe ,willian,auba,laca kuharibu na tukaamin bila wao Hawa madogo hawatatusaidia kitu
The rest is History
Lokonga uzuri coaching staff wanamuamin Sana na atafanya vzr TU
Mechi na astonvilla kafanya vzr
Kwasasa Arsenal ina structure Ndio maana hata Elneny alicheza juz na Fulham tukatawala mpira kwa 70+%
Juz na Villa bado lokonga kafanya vzr
Why? Kuna structure IPO na wachezaj wanajua kuitafsiri,
Mwisho Partey nje wiki 2 ,