Arsenal (The Gunners) | Special Thread

AsaniWali mnapenda sana kujifariji na tetesi za michongo.
Nyie dirisha lenu lilishafungwa baada tu ya kumsajili Zinny.
Kroenke hana pesa za kuchezea chezea hovyo, tena bahati yenu sana kumpata Jesus na Zinny maana msimu huu alikua ametenga bajeti ya kumsajili Makwinyoz peke yake.
 
Hawa Aston villa ndo wametukazia kias hiki. Wakati kwa martinez tuliwalegezea
 
tuna saa moja tu,naona ishu ya yuri .......
douglas luiz naye ni ........
hadi preahaa
 
Hakuna usajili wowote hapa, RW hakuna mbadala kabisa kule bora eneo hilo lokonga atajizoazoa had partey akirud ila upande ule wa Saka. Daaah ndo hatari
 
Nilihisi tunaweza tusisajili yoyote, sasa kazi tunayo
 
Daaaah!!!
Villa wametupiga na kitu kizito sanaaaaaa, usoni.
 
Kuondoka kwa deadwoods kwangu mimi ni bora zaidi

Game ya nyumbu hapo kesho kutwa, kwa upande wetu haina pressure kubwa. Coz atapigwa tu


Partey hachukui muda mrefu atarudi kikosin

Tutavutana hivyo hivyo, hadi January ndio tutajua mashimo gani tuyajazilizie

By the way, nipo pamoja na Edu & Arteta

Trust the process

#Coyg
 
Granit Xhaka na Sambi wanatosha sana ku dominate katika eneo la middfield endapo Sambi ata maintain Kama mechi ya juzi.

Sioni Nyumbu akitoka kabisa
..

Yule bladifakeni lazima afe pale pale kwenye matofali ya kuchoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…