Arsenal ni timu kubwa, kumbuka hilo siku zote. Mwaka huu ubingwa wetu.
Forest, Chelsea,Astonvilla,rangers Ni timu ndogo lkn Zina UCLNitajie timu kubwa ambayo haina Uefa
Kuna habari kwamba bodi imemwambia Arteta hakutakuwa na usajiri mwingine dirisha hili ni za kweli?
Kumbe Ars888 mmepitwa ukubwa mpk na N.forest.Forest, Chelsea,Astonvilla,rangers Ni timu ndogo lkn Zina UCL
Sawa ni nitajie timu kubwa ambayo haina Uefa! Swali limekuwa gumu kwako?Forest, Chelsea,Astonvilla,rangers Ni timu ndogo lkn Zina UCL
Gabriel ni defender mzuri sana but ana weakness kubwa akikutana na mafoward wanaotumia nguvu kubwa sipati picha akikutana na Halaand itakuwaje?Huyu kila mwaka lazima afanye makosa kama hayo ya kujirudia, ataenda game 10 kafanya poa ila ndan ya game 20 lazima atafanya ujinga tena huyu habadiliki miaka yote
Problem aliyonayo ni kuwa na makosa yanayojirudia rudia kwani tukio la jana kwa Gabriel ni jambo jipya?why Saliba alivyojifunga hakusemwa?awe makini zaidi ni defender mzuri but concentration yake sometimes inapoteaMagalhaes akimjibu hater
View attachment 2337193
mmmmh mzee mbna mimi jana nmeona accuracy alikuwa vzur sanaPamoja na kwamba odegaard kafunga, pass accuracy yupo chini leo
City ana uefa ngapi kaka?Sawa ni nitajie timu kubwa ambayo haina Uefa! Swali limekuwa gumu kwako?
Haya basi nitajie Elite Clubs pale epl.
Hawa kenge wa darajan tuwapuuze ,tujadilini timu yetuCity ana uefa ngapi kaka?
Kwani Partey tangu aje Arsenal,Timu haijawahi kufungwa na yeye akiwepo uwanjani?mbona mnamkweza kana kwamba bila yeye Timu haiendi!!kimsingi Elneny alifanya kazi nzuri tu na hilo pengo kubwa la Partey labda uliliona wewe!!!hebu acha kumfanya Partey kama Mungu wa Arsenal,huo ni ushabiki maandaziJana niliandika tukipata points 3 tushukuru sana
Nadhani pengo la partey limeoneka vizuri sana
Sasa ili swala tumuachie mwenyewe arteta maana ameona tofauti akiwepo partey na asipowepo
Kuna uwezekano jtano game na villa wakawepo?Daktari wa klabu ya Arsenal Gary Driscoll amesema Zinchenko na Partey walizuiliwa kucheza kama tahadhari watarejea mapema.