Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapa eddie akionesha ishara tunashift mfumo na tutumie Mwingine

Alipoingia Eddie tukishift kwenda 3-5-2

Mbele GJesus na Eddie

Pemben Saka na Martinell
Kati Kati Odegaard XHAKA na Elneny

Nyuma White saliba magalhaes

IMG_20220828_111745.jpg
IMG_20220828_111742.jpg
IMG_20220828_111738.jpg
 
Hawa kenge wa darajan tuwapuuze ,tujadilini timu yetu

Kuna usajiri

Tunavyocheza

N.k

Hawa kenge wametoka darajani baada ya kupata ahuen jana
Wanaweza kuwepo ila naomba wawaache had jpili dhid ya nyumbu
 
Problem aliyonayo ni kuwa na makosa yanayojirudia rudia kwani tukio la jana kwa Gabriel ni jambo jipya?why Saliba alivyojifunga hakusemwa?awe makini zaidi ni defender mzuri but concentration yake sometimes inapotea

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Tuweke record sawa toka amefika arsenal kafanya makosa Kama hayo mangapi?katika mechi ngapi

Je beki gan hakosei? Dias pale city amefanya makosa Kama hayo Sana ,beki gan hajawahi kuchoma? Nataka kujua Magalhaes kakosea makosa Kama hayo mangapi ?ili tujue Ni kawaida, Kama beki anacheza game 10 ,anakosea mechi 1 ,sio tatizo ,Kuna mabeki Kama mustafi, magwaya, n.k hao mech after mech wanakuchoma

Magalhaes alifanya vzr France aliingia Hadi kikos Bora Cha msimu,

Saliba ndio msimu wakwanza huu akiwa arsenal
 
Nahodha wetu alikuwa kila mahali jana ⚡⚡⚡

💬 "Ana ushawishi na katika nyakati ngumu, anachukua mpira na kufanya mambo yatokee."

Arteta kuhusu Martin Odegaard ❤️

IMG_20220828_114650.jpg
 
2021/22: Arsenal lose first 3 games. Rival fans: “HAHAHA! Gonna get relegated 😂”.

2022/23: Arsenal only team to be 4/4, 100% record so far. Rival fans: “Nah too early to tell yet innit?”

Muppets the lot of ya 🤣
IMG_20220828_091452.jpg
 
Tuweke record sawa toka amefika arsenal kafanya makosa Kama hayo mangapi?katika mechi ngapi

Je beki gan hakosei? Dias pale city amefanya makosa Kama hayo Sana ,beki gan hajawahi kuchoma? Nataka kujua Magalhaes kakosea makosa Kama hayo mangapi ?ili tujue Ni kawaida, Kama beki anacheza game 10 ,anakosea mechi 1 ,sio tatizo ,Kuna mabeki Kama mustafi, magwaya, n.k hao mech after mech wanakuchoma

Magalhaes alifanya vzr France aliingia Hadi kikos Bora Cha msimu,

Saliba ndio msimu wakwanza huu akiwa arsenal

Tatizo hamis77 unaweka ushabiki zaidi ni kweli mpira ni mchezo wa kimakosa that's the truth.

Gabriel ni defender mzuri sana na hata kuscore yupo vizuri sana ila Gabriel kwa kosa la jana wewe limekushangaza?nimekuuliza why yeye asemwe na sio saliba alivyojifunga? kwenye baadhi ya games zake blunder lazima afanye.

Mistake nyingine huwa zinaokolewa na wenzie kama sio kutoa pasi mbovu au lolote lile ambalo Mungu huwa anasaidia mambo yanakaa sawa ana tatizo la concentration sometimes ukimcheki Saliba unaona kabisa muda wote concentration ipo juu kwa upande wake licha ni mgeni na pia games 34 zimebakia ntakuja kukumbusha

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Eti Nyie matakataka ..eti wananzengo wanasema nanyi muna Jambo lenu msimu huu ..Ni kweli nyie arse8 wazee wa kupakuana muna Jambo leenu huu msimu?? Mimi nawahakikishia musimu huu mukifaiti Sana mutabeba karabao na kupata at least nafasi ya nne.
 
Eti Nyie matakataka ..eti wananzengo wanasema nanyi muna Jambo lenu msimu huu ..Ni kweli nyie arse8 wazee wa kupakuana muna Jambo leenu huu msimu?? Mimi nawahakikishia musimu huu mukifaiti Sana mutabeba karabao na kupata at least nafasi ya nne.
Muna
Mutabeba


bwiga Fulani hivi yupo huko chaka ndani ndani. TUMZOEE TU
 
Tatizo hamis77 unaweka ushabiki zaidi ni kweli mpira ni mchezo wa kimakosa that's the truth ,Gabriel ni defender mzuri sana na hata kuscore yupo vizuri sana ila Gabriel kwa kosa la jana wewe limekushangaza ?nimekuuliza why yeye asemwe na sio saliba alivyojifunga? kwenye baadhi ya games zake blunder lazima afanye ,mistake nyingine huwa zinaokolewa na wenzie kama sio kutoa pasi mbovu au lolote lile ambalo Mungu huwa anasaidia mambo yanakaa sawa ana tatizo la concentration sometimes ukimcheki Saliba unaona kabisa muda wote concentration ipo juu kwa upande wake licha ni mgeni na pia games 34 zimebakia ntakuja kukumbusha

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sijakataa Magalhaes Kuna Muda huwa anajisahau hata Jana alikuwa free akzingua, lkn tunaponda sana,hivi tumesahau tulikuwa na. Kina mustafi kila baada ya mech 2 anatuuza

Magalhaes kazidiwa umakini na Saliba ,

Hata white mwenyewe hamkuti Saliba


But Magalhaes sio mbovu kihivyo, ana mazuri mengi kuliko mabaya , ndio maana pale Emirates mashabiki wamekuwa wanatia moyo wachezaji hata wanapokosea ,sababu wale sio mashine ,angekuwa anafanya makosa kila baada ya mech 2 Kama enz za kina mustafi ,Kwanza Arteta asingekubali aendelee kucheza pale

Tuwasapot wachezaji wetu hata nyakati ngumu ,

Kakosea ,kaenda kufunga goli , tuangalie mazuri pia

Now tofocus mech ijayo na Astonvilla jtano

Utaratibu Ni 3 points
 
Back
Top Bottom