Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,836
- 57,470
Kwa kweli, yaani pamoja na matokeo mabaya ya Enzi za Unai Emery lakini sikuweza kuacha kushabikia hii timuDaaaah kuiacha hii timu ni ktu ambacho hakiwezekani kbsa
Kwa kweli, yaani pamoja na matokeo mabaya ya Enzi za Unai Emery lakini sikuweza kuacha kushabikia hii timuDaaaah kuiacha hii timu ni ktu ambacho hakiwezekani kbsa
Wakubwa woote wameshinda, hii game itakuwa ngumu kwetu, kwa zile imani zangu za kubetia.
That's not the point, najua Moh'd can do the job. Shida ni kama huyu jamaa keshaanza pancha mechi ya nne tu.Too early to be pessimistic, I have faith in Elneny
Ndio asajiliwe mtu mapemaThat's not the point, najua Moh'd can do the job. Shida ni kama huyu jamaa keshaanza pancha mechi ya nne tu.
That's not the point, najua Moh'd can do the job. Shida ni kama huyu jamaa keshaanza pancha mechi ya nne tu.
Skizeni nyie matakataka ..tunawaesabia mechi. Kumi amfikishi mutaanza poteana humu.
Could be a disciplinary issue, because he is not on the injury list
Bila defensive midfielder kariba ya partey, tutakuja kushikana uchawi humu
Leo naona game ishakua ngum
Hatuta cheza mpira mzuri kama game iliyopita
Tukipata point 3 tushukuru sana



AsaniWali tayari washaanza kuweweseka. Ingawa nimesikia mtangazaji anasema Amepata majeraha Jana Ijumaa wakati wa training sessionCould be a disciplinary issue, because he is not on the injury list
Arsenyeto tunaongoza ngapi