Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunaendelea kusuka timu nzuri, yenye kiwango, angalia wastani wa Umri wa Wachezaji wetu tulionao. We have bright future with those kids Infront.

Pamoja na Walimu wengi waliopita pale, ila Mzee Wenger alitu inspire wengi kushabikia hii timu. Nimeacha kutumia Ulabu enzi za Ujana but sio hii timu.

Kuna wakati nimewahi kujaribu kuiacha lakini mara zote nimeshindwa, Nahisi mpaka kifo kitutenganishe 🤗
Daaaah kuiacha hii timu ni ktu ambacho hakiwezekani kbsa
 
Arsenyeto vipiiii....mshaosha vizuri pussy kwa ajili ya mitrovic??
Mitrovic unaambiwa leo ana fullhamu ya kubonyeza button.
computerarsenal leo remote inaenda kutiwa vidole.
Screenshot_20220827_134237.jpg
 
Fulham ameyakanyaga

Ata kuwa kama mfano ulio hai kwamba Emirates sio sehem ya kusogeza pia

Arsenal 4 Fulham 0
 
Back
Top Bottom