






Wewe jamaa ulikuwa unatia huruma hadi ukapotea kule daraja lilipovunjwa.. sasa hivi naona umeacha kutaka tt aondolewe..Wakulungwa wote tunaamia humu.
Tuishi humu.
Fulham piga hizi mbuzi.
Makoti ya kuzuia baridi bado tunayo, hatujayavua.Kwa hiyo bado mnataka kuendelea kukaa pale juu![]()
Yaani kama tungekuwa tumeshida Elneny alikuwa nafaaa sanaWill Jr
Mpira unaosema ku hold, kupunguza pressure. Ndio anaucheza elneny lakini ushambuliaji kumepoa sana
Leo hatuna pressure
Tumewadhibit vizuri
Lakini attacking force ni ndogo sana,
Leo tupambane tupate hizo point 3













