Mzima mimi, za siku? Kombe limekwenda, nilitumia wiki mbili za break kwenda loliondo nikajua mambo yatakuwa safi kuanzia leo lakini wapi.
Wanakera sana wachezaji wetu na AW. Sisi washabiki ndio tuna hamu ya kombe kuliko wao. AW anawadekeza hata kujituma hawataki wapo wapo tu wanapigiana pasi zao mpaka wanasahu kwamba magoli ndio yanatoa point 3.