Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We jamaa lazima CPA/ACCA....
 
Mkuu naona leo unanikumbusha Advanced public sector accounting and reporting standards.

Hii shule unayoipiga hapa ni hatari.

By the way nakupata unachomaanisha.
 
Ligi ya msimu huu ni ya moto Sanaa timu zilizo zoeleka kua n vibonde sasa wanakaza adi sio vizuri,

Newcastle nimeanza kuwa ogopa,
mapungufu yao wanamtegemea sana max, yule ukimpiga pini kuna uwezekano mkubwa wakapoa
atakutana na mnyama white mbna atatulia tu
 
kwani tyari ameshatua ?
 
Arsenal are looking to hire an analyst for the first team to study set pieces by opposition teams.
 
Arsenal issues around the Youri Tielemans deal are Leicester's asking price (More than £50m with just a year left) and his wage demands are huge compared to what #AFC willing to pay.
 
The Telegraph |

•Ndani ya Arsenal wanasema kwamba wanafuata sheria za Financial Fair Play na wanasisitiza kwamba akaunti zao zingine (ambazo EU haijaona) pia hazina matatizo.

•Arsenal haijapokea mawasiliano yoyote kutoka UEFA kuhusu masuala yoyote ya FFP.

Hii ni baada ya kutoka taarifa kwamba Arsenal wanaweza kuwa miongoni mwa timu ambazo zimekiuka sheria za FFP.
 
Nicolas Pépé kwenda OGC Nice, makubaliano ya mdomo yalikamilishwa na Arsenal mchana. Sehemu kuu ya mshahara kulipwa na kilabu cha Ufaransa. 🚨🔴 #AFC #OGCNzuri

Hati zitatayarishwa hivi karibuni - ni mkataba wa mkopo usio na kipengele cha chaguo la kununua kama inavyotarajiwa. ⤵️
 
Southampton are pushing to sign Ainsley Maitland-Niles. Talks now in progress with Arsenal on loan with buy option, as current AFC deal also included an option to extend until 2024. 🚨⚪️🔴 #SaintsFC

Saints, insisting to beat competition from two more clubs. #AFC https://t.co/iaCYW7XYi4
 
Mkuu sasa kwani tchouameni ni mchezaji wa kiafrika, huyu si kazaliwa huko huko france na kakulia huko france kaanza academy huko huko, kacheza ufaransa ngazi zoote mpaka sasa yupo national team.

Au mimi sijakuelewa!?
 
OFFICIAL: Carabao Cup Third Round Draw:

Leicester City vs. Newport County.

West Ham vs. Blackburn Rovers.

Wolves vs. Leeds United.

Nottingham Forest vs. Spurs.

Man Utd vs. Aston Villa.

Bournemouth vs. Everton.

Liverpool vs. Derby County.

Burnley vs. Crawley.

Bristol City vs. Lincoln City.

Man City vs. Chelsea.

Stevenage vs. Charlton.

MK Dons vs. Morecambe.

Newcastle vs. Crystal Palace.

Arsenal vs. Brighton.

Brentford vs. Gillingham.

Southampton vs. Sheffield Wednesday.



#CarabaoCup
 
Yani sijui kwanini sijawai kuiona arsenal kama ni timu ya ushindani pale EPL mkimaliza round 1 hata na point 35 ndajua kidogo mpo serious huu mwaka.
Fulham have won one and drew 2 of their games so far this season. Liverpool even forced them to a draw on the opening day. If Arsenal manages to beat them on Saturday, you will start seeing like


Arsenal are just winning because they haven’t played any top side”. 🤭💀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…