Bado hujaongelea game Control in General, ungegusia aspects kama Calmess, Composure, passing accuracy, passing selection, dictating the tempo of the game, intensity off the ball, winning duels etc.IQ intelligence Quotient
Football IQ = football intelligence
Includes
Accuracy
Passing
Vision
Ball control
Bal balance
Partey as a midfielder:
Anachezea timu
Yupo vizuri defensive
Winning mipira
Yupo vizuri man to man
Ana speed
Ana vision
That's all I know
Nakubaliana na wewe ila hoja yangu ni kwamba kwanini holding midfielder upige line breaking passes wakati muda mwingi unacheza kwenye 1st phase & 2nd phase na besides you kuna Ø/ Xhaka ambao wangefanya hiyo kazi vizuri zaidi cuz wapo karibu na final 3rd? Kazi ya partey with the ball ni kusaidia build up, na kuprogress mpira to the other areas.Nimekupata.
Ila unajua namna Palace walikua wanacheza ilikua ngumu timu kupiga pasi kwa usahihi mara zote?
Notice kwamba jana hata Saliba amekua na accuracy ya 100%. Mfano Eze kwenye game yetu atakua na accuracy kubwa ukilinganisha na dhidi ya Liva.
Am simply saying kuna makosa Partey anafanya kwakua timu nzima bado haina fluid movement kwenye kukaba na kushambulia ndiyo maana ubora wake (accuracy) unaonekana kwa baadhi ya timu. Jana pia Arsenal tulikua tunakaba wawili kwa mmoja tofauti na game na Palace.
Mchukue Partey mtupe Chelsea, mtupe United utapata picha
Una logic mkuu.Nakubaliana na wewe ila hoja yangu ni kwamba kwanini holding midfielder upige line breaking passes wakati muda mwingi unacheza kwenye 1st phase & 2nd phase na besides you kuna Ø/ Xhaka ambao wangefanya hiyo kazi vizuri zaidi cuz wapo karibu na final 3rd? Kazi ya partey with the ball ni kusaidia build up, na kuprogress mpira to the other areas.
often times Unafanya line-breaking passes against compact midblock defense ya Patrick Viera hapo lazima passing accuracy ije 69%. Tukisema huna IQ ni vibaya?.
Wapo vizuri sana
Nawataka hawa walitunyima top 4 naona pia wameimarika mno itakuwa kipimo sahihi hapo kwaoMpaka January nadhani, si mchezo ligi inakuwa ngumu
Mambo magumuMan City asipoangalia anakufa kwa Newcastle.
Na hapo hajawahi kuitwa kabisa timu ya taifa ya FranceSaint Maximin akipata kocha mzuri na timu nzuri, anaweza kuchukua ballon'or
Mpaka January moto wao utakuwa umekataNawataka hawa walitunyima top 4 naona pia wameimarika mno itakuwa kipimo sahihi hapo kwao
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Huwezi kukotroo game 90mins hata ufanyeje, hata nyakati barca wakiwa kwenye prime hawakuwa wakikontroo mchezo 90mins.Kuna jamaa humu alisema tuwaige city ku manage game kwa dakika tisini nadhani naye leo kajifunza hii ni premier league
Kuna muda Newcastle 96% city 4%