Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sub zetu

CM mpya

RW mpya

Smith Rowe

Fabio vieira

Tierney

Tomi

Elneny
Subiri wanaume tuanze ligi tuwaonyeshe mpira wa kisayansi unavyopigwa. Leo saa 1 dk ya 20 uwe kwenye tv yako update burudani. DStv 223
 
Tutatawanya magoli ,uzuri Jesus anacheza namba zote za mbele ,Jana ilikuwa atoe assist kutokea pemben

Unawadharau palace Sana, waulize man u na mancity

Kuna mkubwa ataacha point pale ,sio poa wale jamaa

Walianza kutumia nguvu sana
Sisi hao tunawabugizaga 3 au nne fuatilia H2H vs Chelsea
 
Subiri wanaume tuanze ligi tuwaonyeshe mpira wa kisayansi unavyopigwa. Leo saa 1 dk ya 20 uwe kwenye tv yako update burudani. DStv 223
Angalia msivutwe shati ,shauri yenu , everton imebomolewa lkn sitashangaa wakiondoka na point moja
 
Utakuta anaye ongea huvi ni shabiki wa Man Utd, hawajiamini n timu yao, endelea kupiga ramli.
 
Sisi hao tunawabugizaga 3 au nne fuatilia H2H vs Chelsea
Nafatiliaga , ile game ya fa , mliwazidi padogo ,wakapotea ,ila palace ya vieira wanabishana

Kuna mkubwa ataacha point pale
 
Yule Jack grealish atawakaba Sana msimu huu ,

Malengo msimu huu nikubeba point kwa namna yotote kwa hizi timu za kat
 
Kiwango cha timu husika pia ni mhimu kijadiliwe hata kama imeshinda mkuu na si kutanguliza ushabiki mbele hapa, hilo gori la 2 ni makosa ya wazi ya beki.
Utakuwa umeanza kuangilia mpira Jana bro, sio kila mechi utashinda huku umetawala mchezo, Kuna zingine hautatawala mchezo ila utashinda hizo ndio dalili za timu nzuri,like arsenal vs city mwaka jana
 
Subiri wanaume tuanze ligi tuwaonyeshe mpira wa kisayansi unavyopigwa. Leo saa 1 dk ya 20 uwe kwenye tv yako update burudani. DStv 223
Lembu kwa EPL ninavyoiona ,waambien ukweli manure
 
Piga kimya basi maneno mengi kama mganga wa kienyeji, hiyo ndio arsenal yetu hata ikishuka daraja tunayo
 
Selhurst park has never been a friendly place for whosoever's been there (guardiola) can tell.

We saw what the team could look like in the upcoming months during the 1st 30mins... Could've won by 3/4 goals, but could've conceded atleast 2.

Special mention to the likes of Ramsdale, White, Jesus, Martinelli and Zinchenko. Very impressive for a first game... Now, you've got some colossal performance from this 21Yo lad who's got everything to be the best at that position for the upcoming years...

Massive achievement from Willo Saliba. Showing he's already our #1 right center back. 3points, clean sheet, we're in.
#COYG
 
Arsenal ni EPL winner
 
Nataka niwahakikishie wana gunners na mamluki wengine mnaoingia humu.. huu msimu ni wetu! Mtake msitake!

Na kama tukiwa nao Saliba na Partey kwa mechi 37 zilizobaki kwenye PL basi tutegemee makubwa zaidi.

Time will tell.
 
Tuache muda uzungumze, hivi unadhani selhurst park ni kwepesi, msimu uliopita pale tulikufa nyingi tu, kisha tukaambulia sare Emirates, hivyo kumfunga huyu mpinzani ni jambo jema saana.

Wakati nabeti, game za ijumaa kwa timu kubwa, jumamosi mchana (game ya mapema) Jumatatu usiku ni ngumu saana, huwa na matokeo ya ajabu, na mtu kushinda ni kwa mbinde.
 
Our Man of the Match tonight?


100% take-ons completed
100% aerial duels won
94% pass accuracy
7 ball recoveries
6 clearances

Debutant William Saliba


View attachment 2315843
Huyu Jembe ndie aliyecheza vizuri Muda wote Jana. William Saliba is a real CB baada ya miaka 7 ndio Sasa mnamuweka kwenye first team. Mngezubaa tu tungemchukua huyo
 
Hivi nyie nyumbu, cheltako na manshit mnaanzaje kumsema G. Jesus? Hivi mnajua kazi anayoifanya?

Hawa wa mashabiki wa manshit wanaongea kwa kuwa washamtoa kwetu, niwaambie tu Guardiola alimhitaji zaidi G. Jesus msimu huu kuliko Haaland. Take my words. Time will tell!

Nyie mashabiki wa nyumbu fc mnaomuongelea G. Jesus mpaka sasa hamna straika kama G. Jesus kwenye timu yao. Time will tell!

Nyie cheltako ndo mnamtegemea Kai Havertz.. mmekuja nanyi kumuongelea G. Jesus.. Hivi mnaijua kazi anayoifanya nyie takataka?

Nawaheshimu mashabiki wa Liverpool, wao wanaelewa soka ndo maana sijawaona wakileta midomo yao humu.

Shida ni hizi timu nyengine zinazojifananisha na kutaka ushindani na sisi.. nawaambia mwaka huu mtapata tabu sana!
 
Tutolee upupu apa ..uyo Gabriel atawafikisha wapi huu msimu, uyo ataruka ruka tu ndani ya game sita Saba ..atapoteana subiri muone, kule Man shitye alikuwa bench woma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…