walai mtagongeshwa sana hamna timu hapo yaani kwa jinsi navyoifuatilia hii game mmezidiwa sana na palace sema hawako makini katika Ku score tu mngekuwa mshakula hata 3 .
Kiwango cha timu husika pia ni mhimu kijadiliwe hata kama imeshinda mkuu na si kutanguliza ushabiki mbele hapa, hilo gori la 2 ni makosa ya wazi ya beki.
Kiwango cha timu husika pia ni mhimu kijadiliwe hata kama imeshinda mkuu na si kutanguliza ushabiki mbele hapa, hilo gori la 2 ni makosa ya wazi ya beki.
Kiwango cha timu husika pia ni mhimu kijadiliwe hata kama imeshinda mkuu na si kutanguliza ushabiki mbele hapa, hilo gori la 2 ni makosa ya wazi ya beki.