paundi milioni sabini hapa. Bado hujaweka gabriel. Ukiweka na zinchenko, backline ya zaidi ya paundi milioni mia. Kazi kwake kocha
tutamuuza gabriel ili aje huyo beki?🚨 Arsenal wapo katika mipango ya kusajili beki mpya wa kati wa kushoto(LCB), kiungo (CM)na winga(RW) na wachezaji wengi wataondoka katika klabu hivi karibuni. [@MailSport] 🔴⚪️
🔴| NI JUU YA ARSENAL KWA TIELEMANS..
Kwa mujibu wa taarifa, Kiungo wa Leicester City Youri Tielemans kipaumbele chake ni Arsenal na angependelea kujiunga na klabu hiyo ya Emirates.
Leicester City wameripotiwa kutaka kiasi cha Pauni milioni 25-30 kwa kiungo huyo wa kimataifa wa Ubelgiji🇧🇪, lakini bado hawajapokea ofa yoyote mpaka sasa.
Sasa ni juu ya Arsenal kuwasilisha pendekezo kwa ajili yake (Tielemans), kwa sababu anaisubiri Arsenal tangu Aprili.
Na amekuwa akihitaji kucheza Arsenal


Sababu gani inakufanya uone City hatoendelea kushine over the next three years?Baada ya miaka tatu tunarud kwenye EPL ya zamani ambapo timu kubwa england ilikuw ni man u, arsenal, chelsea na liver na city watagombia huko.....NATABIRI enzi za WENGER na FERG timu zao zinarud
Erik Ten alisema kuhusu live na city yy haogopi na anawaheshimu but main word "ERA COMES TO AN END" Erik Ten Hag
Tielemans anacheza LCM mkuu. Mbadala wa Partey nakubaliana nawe coz nimeona Lokonga akichezeshwa LCM in preseason, labda akishift pale itaachia nafasi kwa mchezaji mpya kusaidiana majukumu na Partey. All in all, Tielemans ni muhimu kuwa naye haijalishi nafasi yake yupo Odegaard au nani, Youri Tielemans huu utakuwa usajili wa karne.Je atakuja kupambania namba na xhaka pembeni ya partey? Huyu si anapendelea namba 8 ya upande wa kulia zaidi kwa timu zinazocheza na namba 8 wawili na 6 mmoja? Na hapo tuna ode na fabio tayari? Zinchenko anaweza kucheza namba 8 wa kushoto akimtoa xhaka kama tierney akiwa fit. Swali ni je tunamhitaji tielemans au ni kujaza team na quality players huku tukipunguza akina nelson na niles? Maana naona mbadala wa partey ndio nafasi ya muhimu kutafuta. Na right wing pia akiondoka pepe ila martinelli anafaa kwa hilo
Mishabiki ya Nyumbu unaziona zinaakili?Weiterleitungshinweis
www.google.com
au arteta hana uitaji nae since april aseeee tunaweza kunyanganywa tonge mdomoni🔴| NI JUU YA ARSENAL KWA TIELEMANS..
Kwa mujibu wa taarifa, Kiungo wa Leicester City Youri Tielemans kipaumbele chake ni Arsenal na angependelea kujiunga na klabu hiyo ya Emirates.
Leicester City wameripotiwa kutaka kiasi cha Pauni milioni 25-30 kwa kiungo huyo wa kimataifa wa Ubelgiji🇧🇪, lakini bado hawajapokea ofa yoyote mpaka sasa.
Sasa ni juu ya Arsenal kuwasilisha pendekezo kwa ajili yake (Tielemans), kwa sababu anaisubiri Arsenal tangu Aprili.
Na amekuwa akihitaji kucheza Arsenal