mkuu katika watu wana haiba isiyo ya kimichezo ni wewe,its all about insanity all the day.badilika mkuu,tazama maudhui ya wanajamvi wengine humu kama yanafanana na yako.
unakeraa inshort way.humu kuna watu tuna umri ambao huwezi anza hata kuufikiria,kuna vijana,watu wazima,wazee,kina mama,kina baba,mashehe,mapadri,wachungaji nk.hawa wote wanatofauti zao kulingana na nature zao au profesheno zao lakini mchezo wa soka unawaleta pamoja bila kujali tofauti zao.
tafadhali jiheshimu na maudhui ya mchango wako peleka majukwaa husika au changia kistaarabu.
sorry if its too personal