naona city ndiyo timu ya kufanya nao biashara. Tuwacheki pia kuhusu mahrez kumpa competition saka. Labda pia na ball-playing keeper wao na kdb watuuzie pia.
SO nyie kocha wenu ndo anayo iyo mentality ya ubingwa ?Ligi ikianza ndio mtatambua kua tatizo lenu sio wachezaji bali mna kocha legelege mno.
Hata mkipewa kikosi kizima cha wachezaji wa Mancity bado kwenye top4 mtaingia kwa kusuasua.
Jesus na Zinchenko mliokua mnawaona City chini ya Arteta mtawaona ni wachezaji wa kawaida mno.
Usajili bora mtakaofanya ni kutafuta kocha mwenye mentality ya Ubingwa ila sio huyo Mateka wenu ambae achievement yake kubwa anayoifurahia ni kuwepo kwenye top4.
si unajua tena hawa jamb kila mchezaji wao tunaemfuata wanatupa tu. Sasa kwa nini tusiende kuchukua wengine?Ha haaaaaaaaa wamuuze kdb
Ha haaaaa watupe cancelo wengne wabaki naosi unajua tena hawa jamb kila mchezaji wao tunaemfuata wanatupa tu. Sasa kwa nini tusiende kuchukua wengine?
Unaumia sana?Arsenal = man city B
mkuu katika watu wana haiba isiyo ya kimichezo ni wewe,its all about insanity all the day.badilika mkuu,tazama maudhui ya wanajamvi wengine humu kama yanafanana na yako.Kafilane huko, tafuta bwana akukaze fala ww.