Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Oleksandr Zinchenko has taken the number 35.

Lucas Torreira has been removed from the Arsenal website. #afc
 
Kipindi kile Carzola alikua ana tugharimu sana akiumia tu Msimu unaishia hapohapo

Sahiv upepo umeamia kwa Partey so tunahitaj mbadala wake incase yakitokea yasitukute

ila itakua poa Kama ata stay fit whole season, tutatisha..
 
Kipindi kile Carzola alikua ana tugharimu sana akiumia tu Msimu unaishia hapohapo

Sahiv upepo umeamia kwa Partey so tunahitaj mbadala wake incase yakitokea yasitukute

ila itakua poa Kama ata stay fit whole season, tutatisha..
Naona PARTEY na Tierney na kwa mbali Tomiyasu wanakuja na lile gundu la kina Wishere, Rosicky, Ramsey, Van Persie, Diaby na Cazorla la kuandamwa na majeruhi ya Mara kwa Mara
 
Tielemans anacheza LCM mkuu. Mbadala wa Partey nakubaliana nawe coz nimeona Lokonga akichezeshwa LCM in preseason, labda akishift pale itaachia nafasi kwa mchezaji mpya kusaidiana majukumu na Partey. All in all, Tielemans ni muhimu kuwa naye haijalishi nafasi yake yupo Odegaard au nani, Youri Tielemans huu utakuwa usajili wa karne.
Ok. Nilidhani anacheza RCM. Vipi kuhusu ukabaji wake? Nasikia yuko vizuri katika chenga na kupika nafasi za magoli ila je atasaidia kupress, kukaba na kutrack back? Naona uzoefu wa zincheko left back utamsaidia akishindania nafasi na xhaka ambae pia anauzoefu left back. Tielemans sijui kama atatupa hiko ila kwa timu za kupaki basi atasaidia
 
Ok. Nilidhani anacheza RCM. Vipi kuhusu ukabaji wake? Nasikia yuko vizuri katika chenga na kupika nafasi za magoli ila je atasaidia kupress, kukaba na kutrack back? Naona uzoefu wa zincheko left back utamsaidia akishindania nafasi na xhaka ambae pia anauzoefu left back. Tielemans sijui kama atatupa hiko ila kwa timu za kupaki basi atasaidia
Arsenal tuna midfielders wengi ila kwa LCM tunakosa mtu mwenye uwezo wa kucheza between the lines, Xhaka amekosa hiyo sifa, pia inaonekana sio press resistant so hata kwa build up hakupi 100%, kama tusipomsajili Tielemans naona in time, Ø atashift to LCM, Fabio vieira atachukua RCM.
 
Nuno #Tavares is very close to joining Atalanta in 1-year loan deal from Arsenal, only doubts if there will be a buy option clause in the deal. 🇵🇹🇮🇹 #Atalanta
 
nimejipa mtihani, ku-code hamis77, huyu ni nani? kwa uandishi wake sijampata, atakuwa amebadili ID? mbona nyuma hatukuwa naye huyu die-hard,
Huwezi kuwa mkereketwa kihivyo so suddenly.
 
Kipindi kile Carzola alikua ana tugharimu sana akiumia tu Msimu unaishia hapohapo

Sahiv upepo umeamia kwa Partey so tunahitaj mbadala wake incase yakitokea yasitukute

ila itakua poa Kama ata stay fit whole season, tutatisha..
Ni ngumu arteta kumleta mbadala ya partey mwenye kukaribiana na uwezo wake na kumpata sio rahis, Elneny yupo japokua mfumo ua una switch
 
Mwaka jana chelsea walimuumiza partey kwenye pre season aisee leo acheze dakika chache maana jamaa watam target
 
Back
Top Bottom