mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,592
- 19,232
Muhimiliwa wa kiungo chetu kwa sasa ni partey
Kuhusu majerui ndio ilitufanya tuikose top 4, hasa kuumia kwa partey
Tomiyasu na Tierney kidogo kulikua kuna unafuu
Kuumia kwa partey kumlifa arteta aanze na sambi lokongo, akaja kugundua he is too young at the moment, hapo game 3 tushapoteza
Elneny kidogo ikawa nafuu, lakin mtu wa mpira unajua jinsi gani elneny bado hatoshi
As things stand pale kati ni Xhaka na Partey. Hii combo ata city walipoteana. Kadi nyekundu ya partey katika hiyo game na penalty waliyopewa city ndio ikawa mwisho wetu
Swali langu ni kwamba Partey akiumia au xhaka akila umeme, who gonna replace the position?
Am talking about defensive midfielder
Like ngolo but he is too old!
Kuna hawa watu; tielemans, Savic, Onana
I don't know where arteta will throw his card
But we must get tough as midfielder as casimiro to do all dirty so as to see how odegard is beast
How smith Rowe is pass killer
How good Vieira
How star boy saka will do his things
The Jesus upcoming phenomenon
Tofaut na hapo, itatulazimu as team wote tuwe defensive
Kitu ambacho kinapunguza ubora wa players wetu wengi
Kama kuna pesa imebaki ya kununua wachezaji wawili, bora hiyo pesa yote tuwekeze kupata kiungo mkabaji as tough as Patrick viera
Am done
Kuhusu majerui ndio ilitufanya tuikose top 4, hasa kuumia kwa partey
Tomiyasu na Tierney kidogo kulikua kuna unafuu
Kuumia kwa partey kumlifa arteta aanze na sambi lokongo, akaja kugundua he is too young at the moment, hapo game 3 tushapoteza
Elneny kidogo ikawa nafuu, lakin mtu wa mpira unajua jinsi gani elneny bado hatoshi
As things stand pale kati ni Xhaka na Partey. Hii combo ata city walipoteana. Kadi nyekundu ya partey katika hiyo game na penalty waliyopewa city ndio ikawa mwisho wetu
Swali langu ni kwamba Partey akiumia au xhaka akila umeme, who gonna replace the position?
Am talking about defensive midfielder
Like ngolo but he is too old!
Kuna hawa watu; tielemans, Savic, Onana
I don't know where arteta will throw his card
But we must get tough as midfielder as casimiro to do all dirty so as to see how odegard is beast
How smith Rowe is pass killer
How good Vieira
How star boy saka will do his things
The Jesus upcoming phenomenon
Tofaut na hapo, itatulazimu as team wote tuwe defensive
Kitu ambacho kinapunguza ubora wa players wetu wengi
Kama kuna pesa imebaki ya kununua wachezaji wawili, bora hiyo pesa yote tuwekeze kupata kiungo mkabaji as tough as Patrick viera
Am done