Arsenal (The Gunners) | Special Thread


How about pepe sio Winger asilia?
 
Kwahzo takwimu anatutosha kwa sasa
 
Tielemans na mashaka Kama atakuja lakin n wamuhimu sana, ataongeza nguvu sana pale kati
 
🚨 Leeds have valued Raphinha at £65m but they do not wish to stand in his way should they receive a fair offer. Arsenal had a £30m + £10m in add-ons bid rejected. Their second bid will be close to £50m. Arsenal are hopeful. Reports, Simon Jones for

@MailSport.

 
Jesus kaja hapo sababu ya arteta Wala sio arsenal...!
Jesus aja Arsenal kwa sababu kubwa mbili, kwanza kuwa mshambuliaji wa kwanza yaani first choice striker.

Hiyo ni kuzingatia pia nafasi yake kwenye timu ya Brazil kwenye WC mwezi November.

Pili ni kwasababu ya maelewano mazuri na Arteta maana pale City Arteta akimsaidia Pep alikuwa akishughulika na baadhi ya wachezaji ambao walikuwa na wakati mgumu na Jesus ni mmoja wao.
 
Leeds wameshauriwa waongeze hizo 10M kwa sababu wamemuachia Calvin Phillips hivyo hawana pressure ya kuuza.

Raphinha bado ana miaka miwili imebakia.

Hata hivyo Arsenal wamtaka Raphinha ili acheze upande wa kulia na Saka aende kushoto.

Saka amekuwa akipata tabu kushambulia upande huu wa kulia na kuchezewa rafu sana lakini Raphinha ana uwezo huo zaidi kwa sababu pia hutumia miguu yote miwili kuchanganya mabeki na kutia mipira eneo la hatari au kufunga pia.
 
aiseee how can you analyse that
' eti anachezewa rafu sana'
 
Nowadays, 4-3-3 set-up wanatumia two #8s, tuongee kuhusu RCM & LCM sio AM, so Fabio Vieira kwa namna anavyocheza FC porto anatumika kwenye right hand side, huyu ni RCM.
Mkuu, ngoja niongee kama mzee Tambwe Leya, umewahi kumsikia huyu mwamba?

Tafuta kitabu chake ukisome khasa hizi nafasi za kiungo.

RCM na LCM ni terminologies za kwenye FIFA Pro.

Mtu kama Gareth Bale au Angel Di'Maria waweza kuwaita RCM.

Vieira ni Attacking Midfielder kama walivyokuwa Mesut Ozil au Denis Bergkamp.

Hiyo ni nafasi alokuwa akiicheza pale Porto.

Pia huweza kucheza namba 10
 
Sikweli kamsikilize Charles watts Arsenal correspondant,

Saka Kama RW ndio ana hatari sana na ndipo ana namba nzuri za kufunga na kuassist,

RW Saka atakupa assist TU, Arteta ndiye aliyegundua Saka Ni hatari akitokea kulia, amemkuta Kama Beki

Uzuri Ni kuwa Raphina anacheza LW vizuri tu , tofaut na Saka
 
Mkuu, tusubiri usajili ukamilike.
 
aiseee how can you analyse that
' eti anachezewa rafu sana'
Nimeshangaa hapo anaposema Saka eti atahamishwa Kushoto , wakati huko Hana makali kama akitokea kulia ambapo sasa ndio imekuwa kama MAIN POSITION YAKE
 
Leeds Wana presha ya kumuuza Raphina ,sababu ameshaomba kuondoka na kuthibitisha Hilo wanakaribia kumpata Mbadala wake

Soma hapa

🚨 || Leeds are increasing their efforts in pursuit of highly-rated Belgian forward Charles De Ketelaere [Via - @PhilHay_ / @TheAthleticUK].


Dili la Philips lilitegemea Dili la Jesus kwenda Arsenal, jana ijumaa Arsenal mapema walimalizana na city ,masaa mawili mbele City akapeleka proposal kwa Leeds ya kumtaka Philips .Jion TAARIFA zikatoka Arsenal na city wamekubaliana Dili la Jesus


Ofa ya mwisho na inaenda kukubaliana na Leeds kwa Raphina inawasili next week ni package ya £65m

Ndio maana Kama unafatilia habari za Leeds muda wowote wanamalizana na kumpata Mbadala wa Raphina
 
🇫🇷 William Saliba is in contract negotiations with Arsenal, and the talks are going positively. Saliba is set to return for pre-season training soon.

Saliba is staying - confirmed by Arteta & Edu.

[@ChrisWheatley_] https://t.co/CEHScUfd8A
 

Attachments

  • IMG_20220625_231000.jpg
    74.3 KB · Views: 15
Arteta kamkuta Saka beki?
 
We ni nyumbu,
 
Arteta kamkuta Saka beki?
Yah alikuwa LB ,had anapoke timu kutoka kwa ljumberg bado Saka alikuwa anatumika LB Sana,huku akiwa na assist nyingi , Emery na ljumberg walikuwa wanamjaribujaribu mara chache Kama winger LW, Lakini mwisho wanamrudisha Kama Beki , na timu ya taifa vijana alikuwa anacheza Kama Beki, ,

Arteta yeye ndiye akaanza kumchezesha LCM, LW ,mech na Liverpool ngao ya jamii akamchezesha RW ,Saka akatoa assist kwa auba , kuanzia hapo taratibu akawa anampa nafas Sana RW , the rest is history
 
Mh labda kama kuna mechi zilinipita.

Mimi nimemuona Saka akicheza LB kwa Arsenal haizidi mara mbili, nikamuona chini ya Emery akicheza RW tukiwa Europa akascore nje ya box kwa curve.

Baada ya hapo sikuona mechi aliyocheza nje ya RW isipokua alikua anapishana na Pepe na kumbukumbu zangu zinaniambia Arteta kamkuta RW akahisi anahitaji kukomaa na akaona Pepe siyo mzuri sana ndiyo akaletwa Willian.

Pepe na Willian wakaunderperform na Saka akabaki huko.
 
Hapana labda kumbukumbu zako hazipo sawa

Hizi Ni data zake ilikuwa 31 /8/2020

Arteta akiwa na miez 6 tu Toka apewe ukocha Arsenal

Bukayo Saka’s stats per position:

•Left wing: 18 games, 2 goals, 5 assists.

•Left back: 16 games, 1 goal, 4 assists, 7 clean sheets.

•Right wing: 5 games, 1 goal, 2 assists.

•Central midfield: 1 game, 1 assist.

Na hizo Central MD, na Right wing ,Arteta ndio alianza kumjaribu, hizo nafas za LW Arteta pia ndio kampa nafas nyingi ,emery na ljumberg wamemchezesha Sana LB

Saka mwenyewe alisema

“I always say that my best position is in the attacking line, whether that’s on the line or attacking midfield,” Saka said. “That’s my favourite position to play and also my best position to play in.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…