Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kufurahi ni kama kawa maana nilishakukabidhi kadi ya uanachama wa GUNNERS na ukaipokea kwa mikono miwili. Tutashinda tu leo usiwe na wasiwasi labda kama hao WB wawe wamekunywa maji ya uzima maana naona dalili za kuanza kuchanganyikiwa katika defence yao tukiendelea kuwapa pressure basi tutashinda tu.

Hata mimi naamini ushindi upo...ninawaamini the gunners... ili angalau wanifurahishe kwa kuwa nimekuwa upande wao...🙂
 
Huyu wa ngapi?
Kloro kumbe na wewe ni mshabiki wa mpira?? dah, Hebu tabiri score line?
mkuu wewe ukipangiwa na ze goonerz kuanzia februari onward basi una asilimia 80 ya kuondoka na tatu mkobani au at least moja. acha wes brom wakusibitishie hili leo
 
Nasikia Peasant wameanza kuruka ruka kwa matumaini ... .... .... ....
 
Siri yangu hiyo....sasa sijui utanirudisha nikija na usichokipenda??!!!!


Mhhhhh! haya kama ukivaa baibui na kuacha macho tu basi naweza wala nisikushtukie kama yule pale ni KH. Sitakwazika lakini ukiona sijakutambua nishtue 🙂
 
Tumeshabandikwa jingine uzembe wa golikipa kama la kwanza 🙁
 
Almunia .... .... .... angekaa bench bora Lehman angeanza kazi kweli kweli ..... ... 2 goals down .... ... shambolic defending ....
 
Back
Top Bottom