Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inasikitisha sana Arsenal leo wakuzungumzia lokonga wakati kipindi Cha nyuma mlikuwa mnawatu wamaana sana Watu kama diaby, song, Nasri, Arshavini, Thomas Rosisky, Carzola na wato hawa mliwasajili kwa pesa za madafu
Haya masikitiko kwa Arsenal hayana makazi ya kudumu.

Yapeleke united
 












We are GOONERS

Nyie mafala angie mnaolalamikalalamika nendeni Tottenham tutoleeni ungese wenu hapa.

Negative mozafvkers!🖕🖕
 
Wenyewe AsaniWali wanamshukuru sana Arteta, wanadai amewavusha salama kutoka nafasi ya 8 msimu uliopita mpaka nafasi ya 5
So mwanangu we ndo kitoabu, we computerarsenal, we ndo ARV, we ndo milango mitatu.
 
Vipi Makwinyoz ameshaanza mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya hapo Emirates?
Cheki litimu letu next season dogo


Martinelli-Jesus-Saka
Tielemans-Partey-Odegaard
Tierney-Saliba-White-Tomi
Ramsdale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…