Arsenal (The Gunners) | Special Thread

.@FabrizioRomano on Arsenal midfield targets:

• Appreciate & interested in Tielemans if conditions are favourable (€30m-€35m).
• Neves is on the list but the price could be too expensive.
• Arthur is no longer a priority.
• No negotiation in progress yet for Douglas Luiz
 
Watu waache kuangalia wachezaji baada ya kuwajua, hata humu kuna watu walisema tunamhitaji Maddison lakini Maddison is not a finished article kwa ile price halafu afike muanze tena kufundishana cha kufanya ni ujuha unaofanywa na united na chelsea tu
 
Watu waache kuangalia wachezaji baada ya kuwajua, hata humu kuna watu walisema tunamhitaji Maddison lakini Maddison is not a finished article kwa ile price halafu afike muanze tena kufundishana cha kufanya ni ujuha unaofanywa na united na chelsea tu
Madder mtu sana sema ile Bei hapana aisee

Mm naona bado tunamuhitaji madder,

Sema wachambuz wa bongo wapo too negative sana, Mtu Kama Tomiyasu alipondwa sana
 
Madder mtu sana sema ile Bei hapana aisee

Mm naona bado tunamuhitaji madder,

Sema wachambuz wa bongo wapo too negative sana, Mtu Kama Tomiyasu alipondwa sana
Kama Tielemans atakuja hakutakua na haja ya Maddison
 
Conspiracy theory
ARV and Flano the same idiot
 
I doubt it mkuu. MO zao ziko tofauti saaaana unless anajitahidi. Mmoja ana maneno mengiiii, mwingine anapost mapicha na maemoji tu.
vumilieni tu ila hata hivyo msimu huu mmejitahidi mmepata kombe hongera zenu.
Picha chini Aterta amebeba kombe la ligi kuu ya Uingereza.
 
We jamaa. Maneno yako yamesababisha tuamue kumpiga Man Utd home na away next season. Si chini ya goli 3 kila game.
Sio goli 3 mnatakiwa mpige goli 4 kama Brighton nyie Vipi?
Man Utd kwa sasa tunajivunia kua ni wazee wa 4G.
 
Mathematically, we need 6 points out of 9 to secure 4th place, if Tottenham win all their 3 remaining games.
We need 9 points out of 9 to secure 3rd place, if Chelsea lose or draw 1 of their 3 remaining games.
 
Mathematically, we need 6 points out of 9 to secure 4th place, if Tottenham win all their 3 remaining games.
We need 9 points out of 9 to secure 3rd place, if Chelsea lose or draw 1 of their 3 remaining games.
Hiyo mechi ya Alhamis dhidi ya spurs tukishinda basi kila kitu kinakua kimeisha, hakuna atakayeshinda kutufikia hapo kwa walio chini.

Its the reason wanasema Arsenal tutaenda kujitangazia nafasi ya cl kwa mtani wa jadi spurs ikiwa tutamfunga
 
Ngoja tuone Hata Odegaard tulikuwa na hofu nae sana

Ila naona Arteta anataka ile 4-3-3 ikamilike yenye kucheza flowing football

Partey Kama kiungo wa chini

Juu Tieleman na Odegaard hapo wote Ni watu wa mipira ya mbele kwa 90%

Vipi nafasi ya xhaka
 
❗️Talks are underway regarding the transfer of Gabriel Jesus to Arsenal. The player will leave City after Halland's arrival. [@andrehernan]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…