makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,747
- 103,675
Timu inahitaji striker mmoja mwenye njaa, midfielder mnyumbulifu, timu inabidi arteta awaongeze wachezaji morali ya kusaka matokeo, sijui ni sababu ya utoto, naona kuna kitu kinakosekana hapa uwanjani
