Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dusan na Locatelli wangeweza kua miongoni mwa wapambanaji wa Arsenal muda huu tupo top four ila wakaamua kwenda Juve ambako walikua na uhakika wa kunyanyua makombe.

Well, Juve yuko nafasi ya nne pia. So tupo hapa saa hii.
Dusan sijui mara ya mwisho kafunga lini ,
 
Dusan na Locatelli wangeweza kua miongoni mwa wapambanaji wa Arsenal muda huu tupo top four ila wakaamua kwenda Juve ambako walikua na uhakika wa kunyanyua makombe.

Well, Juve yuko nafasi ya nne pia. So tupo hapa saa hii.
Zingekua sajili babkubwa sana kwetu sisi kwa uwezo wa arteta najua wote wange klik tu
 
Liverpool Ndoo Timu Inayoongoza Ufungaji Wa Magoli Ya Kona Msimu Huu.


Arsenal Ndoo Timu Ambayo Haijaruhusu Goli Lolote La Kona Mpaka Sasa.

Arsenal Wamepigiwa Kona Zaid Ya 156 Na Hawajaruhusu Goli Lolote.
👇🙌

IMG_20220502_120727.jpg
 
Eddie Nketiah anazidi kuwa bora, Eddie Jana Eddie alionesha uwezo mkubwa sana na anajenga kujiamini now, nilipenda anavyodrop kwenye build up phases analink na kuhold play vizuri ila problem anakosa technical security akicheza pass zake na anakosa ball striking nzuri, physically yupo vizuri sana coz unamuona anapress reliably na anawin duels mbele ya Zuma, the boy deserves new contract.
 
Unpopular opinion; Interview aliyofanya Lacazette imemuharibia mahusiano yake na Technical bench, kwa hali ilivyo sasa hakutakiwa kukaa bench, No matter what!
 
Eddie Nketiah anazidi kuwa bora, Eddie Jana Eddie alionesha uwezo mkubwa sana na anajenga kujiamini now, nilipenda anavyodrop kwenye build up phases analink na kuhold play vizuri ila problem anakosa technical security akicheza pass zake na anakosa ball striking nzuri, physically yupo vizuri sana coz unamuona anapress reliably na anawin duels mbele ya Zuma, the boy deserves new contract.
Kama tunahitaji ku move on , Eddie aende tu, zile nafas anabak na zuma , mtu Kama Gabriel Jesus hakuachi

Naiman Arteta hawez kuendelea naee msimu ujao ,
 
Unpopular opinion; Interview aliyofanya Lacazette imemuharibia mahusiano yake na Technical bench, kwa hali ilivyo sasa hakutakiwa kukaa bench, No matter what!
Nikweli ndio kinachomuweka bench ,Aliongea na media , Arteta akamwambia anashindwa kufocus na team analeta maneno ,

Ila Pep ana misimamo , ila naanza kuona Arteta kazid , hajali atapoteza mech au vipi , ukizingua unakula mkeka wa maana

Ujue hata gemu na Chelsea Laca alikuwa fit ila Arteta hakujali akaanza na nketiah ,

Arteta ana roho Ngumu sana huyu mtu,
 
Kama tunahitaji ku move on , Eddie aende tu, zile nafas anabak na zuma , mtu Kama Gabriel Jesus hakuachi

Naiman Arteta hawez kuendelea naee msimu ujao ,
Nakubali, baadhi ya wachezaji wapo nyuma ya project. Eddie akienda Palace/ Brighton anaweza kuwa mkubwa coz kuna makocha wazuri kwenye hizi timu.
 
Nikweli ndio kinachomuweka bench ,Aliongea na media , Arteta akamwambia anashindwa kufocus na team analeta maneno ,

Ila Pep ana misimamo , ila naanza kuona Arteta kazid , hajali atapoteza mech au vipi , ukizingua unakula mkeka wa maana

Ujue hata gemu na Chelsea Laca alikuwa fit ila Arteta hakujali akaanza na nketiah ,

Arteta ana roho Ngumu sana huyu mtu,
Arteta mjanja, kuna wachezaji kawaondoa sababu ni toxic, wengine sababu za kiufundi, ila kuna watu kawaondoa sababu walikuwa na nguvu kuliko yeye hapa namuweka Auba. kocha ili ufanikiwe unahitaji kusikilizwa kuliko mtu yoyote, kama Barcelona kumuondoa Messi baadae wakamleta Xavi ili awafundishe Pedri, Gavi & Puig.
 
Haya ndo mambo sasa asenali habari ya mujini. Sasa zile mechi 3 aisee dah, si tungekuwa tunaongea habari nyingine sasa? Anyway twende kazi
 
Arteta mjanja, kuna wachezaji kawaondoa sababu ni toxic, wengine sababu za kiufundi, ila kuna watu kawaondoa sababu walikuwa na nguvu kuliko yeye hapa namuweka Auba. kocha ili ufanikiwe unahitaji kusikilizwa kuliko mtu yoyote, kama Barcelona kumuondoa Messi baadae wakamleta Xavi ili awafundishe Pedri, Gavi & Puig.
Ila jamaa jasiri sana , huwa hajari kapoteza , hataki kwenye timu wewe ndio uwe na nguvu kuliko wewe, anataka respect ,na kujitoa asilimia zote
 
HUYU JAMAA HUWA NAMKUBALI SANA

MAN U WANAMFUKUZIA SANA ,

Frenkie De Jong to Voetbal International in 2019:


“I actually thought Arsenal was pretty beautiful in the past. In my mind, I have had the following list for a long time - Ajax, Arsenal, Barcelona. Call it the Marc Overmars route.”

IMG_20220502_144502.jpg
 
Eddie Nketiah anazidi kuwa bora, Eddie Jana Eddie alionesha uwezo mkubwa sana na anajenga kujiamini now, nilipenda anavyodrop kwenye build up phases analink na kuhold play vizuri ila problem anakosa technical security akicheza pass zake na anakosa ball striking nzuri, physically yupo vizuri sana coz unamuona anapress reliably na anawin duels mbele ya Zuma, the boy deserves new contract.Hap

🚨 || Arsenal and United are both heavily interested in signing Monaco Midfielder, Aurélien Tchouaméni. The player would be interested in playing in the Premier League [Via - @DiMarzio].
Huyu jukwaa la liverpool wanadai anakwenda anfield
 
Eddie Nketiah anazidi kuwa bora, Eddie Jana Eddie alionesha uwezo mkubwa sana na anajenga kujiamini now, nilipenda anavyodrop kwenye build up phases analink na kuhold play vizuri ila problem anakosa technical security akicheza pass zake na anakosa ball striking nzuri, physically yupo vizuri sana coz unamuona anapress reliably na anawin duels mbele ya Zuma, the boy deserves new contract.
Huyu dogo hapana mkuu. Acha aende tu
 
Huyu dogo hapana mkuu. Acha aende tu
Huyo aende tu kwakweli, mm bado naona hatoshi , Jana angekuwa na akili ya kucut in au skills angemlaza na viatu yule Zuma,

Hapa ndipo ninapoona tunahitaji upgrade ya Nketiah na Lacazette
 
kwa hiyo tuachane nae maana hatuwezi kushindana na hawa kuku kwenye usajili kwa sasa. Tutafute cazorla flani south america huko
Hapana inategemea na vitu ving kwenye usajiri, Kuna kuhakikishiwa nafas, mshahara , n.k

Mm namkubali sana Ruben nevess,

Tieleman wa Leicester bila mpira hakabi , Amekuwa na tatizo Hilo ,

Kwasasa tukipata kiungo mwenye work rate kubwa ,anaye drive timu mbele , basi tutapiga hatua ,
 
Back
Top Bottom