Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Marquee names referred to above are the likes of Gabriel Jesus, Tony nk sio Mpabe, Neymar, Ronaldo na Halaand. Hawa (former) ndio marquee. Currently we are not in a position to attract marquee names. Baadae labda
 
Marquee names referred to above are the likes of Gabriel Jesus, Tony nk sio Mpabe, Neymar, Ronaldo na Halaand. Hawa (former) ndio marquee. Currently we are not in a position to attract marquee names. Baadae labda
Kwa nilivyomuelewa hizo Marquee names ni hao kina Nunez,Osmhen ambao price tag zao bila 70-80 Ngumu kuwapata
 
Msimu uliopoita Aguero hakuwa regular alicheza mech 12 za ligi
So kama Jesus angekua na delivery ya Aguero ilibidi yeye ndiyo akamate usukani. Ila Pep akamtaka Kane, Aguero akawa anatafuta pa kumaliza soka akaenda Barca. Aguero alidrop pengine umri au ndiyo akili inataka mwili hautaki ila akaondoka.

Leo City inamtaka Haaland, akija na Jesu akiwepo mambo yatakua kama kipindi Aguero yupo.

Atabaki kua wa pili kwa City.
 
Kwahiyo Aguero alikua anakaa benchi?
 
Hata Sasa bado Hakuna mwenye uhakika wa namba eneo la ST kwa city
 

With all due respect mkuu naimani wewe ni Mwanaume....! Hebu andika kama mwanaume mkuu, Mambo gani haya unatuletea au ndio una haraka sana
Gani=gn
Ya=y
Ndio=nd
Maneno=manen
Ni=n

Unaandika kama vile mwanamke bana na sio mwanamke Tu bali msichana asiejitambua, au unaandika kama vile tupo enzi zile mitandao ya simu inakata vocha kulingana na wingi wa maneno utakayoandika

Najua nimetoka nje ya mada na kusema ukweli hayanihusu ila kama mwanaume mwenzio nimeona sio sawa kuacha hili Jambo
 
Kwa misimu zaidi ya mitatu minne. Kikosi cha City ilikua Sterling humtoi pembeni, Aguero humtoi kati.

Mahrez na Silva watapokezana kulia.

Kevin na Rodri huwaachi nje. Sehemu ambayo kabadilisha sana mimi naona ni back line kuliko huko forward.

Forward zimeanza rotation baada ya Aguero kudrop na uwepo wa kina ferran na foden ila kabla hawa wengine ilikua ni kukutana nao Carabao.
 
Leo City inamtaka Haaland, akija na Jesu akiwepo mambo yatakua kama kipindi Aguero yupo.

Atabaki kua wa pili kwa City.
Hivi kama mfano Gabriel ni second choice bas hatakiwi kusajiriwa Arsenal?

Mm kwangu Gabriel anatufaa maana kama nafas tunatengeneza sana , tofaut na kipind Cha nyuma, pia atatusaidia hata nafas za pembeni , michuano inapokuwa mingi ,
 
Baada ya kuondoka Aguero nan ni first choice , ndio hoja ya jamaa nilivyomuelewa , Jesus ana traits za kucheza namba zote pale mbele ,
Mbona mnafanya spinning? Mwenye namba aliondoka na amestaafu.

Wakati yupo Jesus alikua analamba benchi.

Na kwakua output ya Jesus bado ni ndogo ndiyo maana City inataka ST, ilimtaka Kane ikamkosa na sasa inamtaka Haaland.

Haaland akija na Jesus bado yupo anaweza jikuta anaendelea kua second choice kama kipindi cha Aguero.

Wapi hamuelewi?
 
So Arsenal wanawataka Tammy na Jesus wote au mimi ndo sielewi? Tammy ni mchezaji mzuri ila bei yake imechangamka kidogo, €80m si mchezo.
 
Kwahiyo kwa hoja hizo hafai kusajiriwa Arsenal ?
 
So Arsenal wanawataka Tammy na Jesus wote au mimi ndo sielewi? Tammy ni mchezaji mzuri ila bei yake imechangamka kidogo, €80m si mchezo.
Nasikia Roma wanataka kuipandisha ,ila Arsenal wapo tyr kutoa 50 ,
 
Hivi kama mfano Gabriel ni second choice bas hatakiwi kusajiriwa Arsenal?

Mm kwangu Gabriel anatufaa maana kama nafas tunatengeneza sana , tofaut na kipind Cha nyuma, pia atatusaidia hata nafas za pembeni , michuano inapokuwa mingi ,
Umeanza na spinning.

Hapa tunaongelea kusajiliwa au yeye kua second choice?

Ukiniuliza mimi kama Jesus anafaa jibu ni ndiyo. Ukiniuliza kama tunatakiwa kutoa pesa nyingi jibu ni hapana.

Odegaard hakua na namba Madrid. Amezunguka sana kwa mikopo ingekua hoja ya second choice ni kigezo cha mimi kusema mchezaji hatakiwi ilibidi awemo na Odegaard. Lakini hiyo siyo hoja ya kuhalalisha kumkataa mchezaji
 
So Arsenal wanawataka Tammy na Jesus wote au mimi ndo sielewi? Tammy ni mchezaji mzuri ila bei yake imechangamka kidogo, €80m si mchezo.
Arteta anataka washambuliaji wawili

Anaondoka Laca ,Nketiah , auba tyr

Washambuliaji wawili lazima waje
 
Sasa €30-35m kwa Jesus ,umri miaka 25 ,anacheza nafas 3 pale mbele

Ni pesa nyingi?
 
Pep anaangalia matokeo sio takwimu , Jesus sio Kariba ya Aguero ,

City haina ST wa kudumu ,karibu mwaka wa pili huu Sasa,
Hebu nielewe.

Nimekuambia City ina Jesus ila hana output wanayoitaka ndiyo akatakiwa Kane.

Wakamkosa.

Sasa hivi wanamtaka Haaland.

Ther reason wanamtaka Haaland ni kwakua Jesus anaonekana hana output kubwa.

Hivyo kutokana na hilo ndiyo maana inafanyika sana rotation ya forward.

Mbona naandika lugha nyepesi. Wapi nakuchanganya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…