Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,396
Marquee names referred to above are the likes of Gabriel Jesus, Tony nk sio Mpabe, Neymar, Ronaldo na Halaand. Hawa (former) ndio marquee. Currently we are not in a position to attract marquee names. Baadae labdaKwa Mahojihano yake akiyofanya wewe unayaelewaje?
Arsenal technical director Edu has confirmed that he is 'excited' for the club's plans in the summer transfer window. The Gunners spent £150million on six new signings last summer as they became Europe's biggest spenders.
football.london understands that Manchester City forward Gabriel Jesus and Roma frontman Tammy Abraham are among the shortlisted profiles who could arrive at Emirates Stadium this summer. Jesus in particular remains open to leaving the current Premier League champions, with his representative holding talks with Edu throughout the past few months.
Former Chelsea forward Abraham has scored 15 goals in Italy this season and was previously the subject of enquiries from Arsenal in January. It's expected that the Gunners will focus on bringing in two marquee names this summer, although football.london understands that Edu has not ruled out bringing additional players in.
"The budget we used last summer, we prefer to use it to rebalance the squad, there was no point in hiring one or two players [in January], the squad was not prepared to absorb two players, we needed to rebalance the squad," Edu told ESPN Brasil. "Maybe next season we can go to one or two players.
"Today we find a much more balanced squad. Our planning has already been done, it has already reached the owners.
Kwa nilivyomuelewa hizo Marquee names ni hao kina Nunez,Osmhen ambao price tag zao bila 70-80 Ngumu kuwapataMarquee names referred to above are the likes of Gabriel Jesus, Tony nk sio Mpabe, Neymar, Ronaldo na Halaand. Hawa (former) ndio marquee. Currently we are not in a position to attract marquee names. Baadae labda
So kama Jesus angekua na delivery ya Aguero ilibidi yeye ndiyo akamate usukani. Ila Pep akamtaka Kane, Aguero akawa anatafuta pa kumaliza soka akaenda Barca. Aguero alidrop pengine umri au ndiyo akili inataka mwili hautaki ila akaondoka.Msimu uliopoita Aguero hakuwa regular alicheza mech 12 za ligi
Kwahiyo Aguero alikua anakaa benchi?Hata mm nimeshangaa maana kwa pep ni wachezaji wawili tu ndio naonaga wana uhakika wa namba ederson na rodri ,kwa mbali anafatia KDB wengine wote ni rotation tu, Tena hiyo false 9 ya pep , wanacheza wachezaji si chini ya watano , KDB, Foden, Sterling,Jesus, Silva
Hivo ni Ngumu kusema fulani ni First choice katika ST kwa pep ,
Hata Sasa bado Hakuna mwenye uhakika wa namba eneo la ST kwa citySo kama Jesus angekua na delivery ya Aguero ilibidi yeye ndiyo akamate usukani. Ila Pep akamtaka Kane, Aguero akawa anatafuta pa kumaliza soka akaenda Barca. Aguero alidrop pengine umri au ndiyo akili inataka mwili hautaki ila akaondoka.
Leo City inamtaka Haaland, akija na Jesu akiwepo mambo yatakua kama kipindi Aguero yupo.
Atabaki kua wa pili kwa City.
kwenye sajili kuna kupatia na kukosea ,vzuri tunap onglea wachezaji tusi anglie names bali tuitizame zaid profile y mchezaji ,namna gn anav cheza na je itaendna na namna arteta anaeza mtumia kwnye structure y timu yake!
kocha nd anaejua nin anataka ,tuhifadh manen ,kama n hukumu aje kuipata baadae kw sajil atazofanya.
Baada ya kuondoka Aguero nan ni first choice , ndio hoja ya jamaa nilivyomuelewa , Jesus ana traits za kucheza namba zote pale mbele ,Kwahiyo Aguero alikua anakaa benchi?
Kwa misimu zaidi ya mitatu minne. Kikosi cha City ilikua Sterling humtoi pembeni, Aguero humtoi kati.Hata mm nimeshangaa maana kwa pep ni wachezaji wawili tu ndio naonaga wana uhakika wa namba ederson na rodri ,kwa mbali anafatia KDB wengine wote ni rotation tu, Tena hiyo false 9 ya pep , wanacheza wachezaji si chini ya watano , KDB, Foden, Sterling,Jesus, Silva
Hivo ni Ngumu kusema fulani ni First choice katika ST kwa pep ,
Of coz hakuna kwakua Jesus hadeliver.Hata Sasa bado Hakuna mwenye uhakika wa namba eneo la ST kwa city
Kufa[emoji16]Wanangu nina njaa si kipole pole
Hivi kama mfano Gabriel ni second choice bas hatakiwi kusajiriwa Arsenal?Leo City inamtaka Haaland, akija na Jesu akiwepo mambo yatakua kama kipindi Aguero yupo.
Atabaki kua wa pili kwa City.
Mbona mnafanya spinning? Mwenye namba aliondoka na amestaafu.Baada ya kuondoka Aguero nan ni first choice , ndio hoja ya jamaa nilivyomuelewa , Jesus ana traits za kucheza namba zote pale mbele ,
Pep anaangalia matokeo sio takwimu , Jesus sio Kariba ya Aguero ,Of coz hakuna kwakua Jesus hadeliver.
Kwahiyo kwa hoja hizo hafai kusajiriwa Arsenal ?Mbona mnafanya spinning? Mwenye namba aliondoka na amestaafu.
Wakati yupo Jesus alikua analamba benchi.
Na kwakua output ya Jesus bado ni ndogo ndiyo maana City inataka ST, ilimtaka Kane ikamkosa na sasa inamtaka Haaland.
Haaland akija na Jesus bado yupo anaweza jikuta anaendelea kua second choice kama kipindi cha Aguero.
Wapi hamuelewi?
Nasikia Roma wanataka kuipandisha ,ila Arsenal wapo tyr kutoa 50 ,So Arsenal wanawataka Tammy na Jesus wote au mimi ndo sielewi? Tammy ni mchezaji mzuri ila bei yake imechangamka kidogo, €80m si mchezo.
Umeanza na spinning.Hivi kama mfano Gabriel ni second choice bas hatakiwi kusajiriwa Arsenal?
Mm kwangu Gabriel anatufaa maana kama nafas tunatengeneza sana , tofaut na kipind Cha nyuma, pia atatusaidia hata nafas za pembeni , michuano inapokuwa mingi ,
Arteta anataka washambuliaji wawiliSo Arsenal wanawataka Tammy na Jesus wote au mimi ndo sielewi? Tammy ni mchezaji mzuri ila bei yake imechangamka kidogo, €80m si mchezo.
Sasa €30-35m kwa Jesus ,umri miaka 25 ,anacheza nafas 3 pale mbeleUmeanza na spinning.
Hapa tunaongelea kusajiliwa au yeye kua second choice?
Ukiniuliza mimi kama Jesus anafaa jibu ni ndiyo. Ukiniuliza kama tunatakiwa kutoa pesa nyingi jibu ni hapana.
Odegaard hakua na namba Madrid. Amezunguka sana kwa mikopo ingekua hoja ya second choice ni kigezo cha mimi kusema mchezaji hatakiwi ilibidi awemo na Odegaard. Lakini hiyo siyo hoja ya kuhalalisha kumkataa mchezaji
Hebu nielewe.Pep anaangalia matokeo sio takwimu , Jesus sio Kariba ya Aguero ,
City haina ST wa kudumu ,karibu mwaka wa pili huu Sasa,