Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunakata rufaa, why MAGWAYA hayupo, halafu huyu ronaldo si bado ana msiba, Manchester msitutanie, hatutii timu uwanjani tu amtaka MAGWAYA.
 
Naona upo tayari kwenye screen
Hapa ninaomba tupate 3 points kwa udi na uvumba hata kama baadhi ya Fans ambao mmojawapo ni Mimi tupo against na Management na Owner kwa ujumla but kufungwa na Manchester United ni dhambi kubwa ,I am ready bro tuombe Mungu
 
Hapa ninaomba tupate 3 points kwa udi na uvumba hata kama baadhi ya Fans ambao mmojawapo ni Mimi tupo against na Management na Owner kwa ujumla but kufungwa na Manchester United ni dhambi kubwa ,I am ready bro tuombe Mungu
Shabiki la Man u likijipendeza arsenal, tulia upigwe ukuni we ARV.
 
Huyo Varane na hiyo miguu yake isiyo na balance hana tofauti hata kidogo na Maguire.
Lakini hawajeruhi wachezaji wenzake.
Tatizo kubwa la Magwaya wachezaji wenzake wanakua na hofu mno wakicheza nae kwa kuogopa kujeruhiwa, hivyo hujikuta hata performance inapungua.
 
Katika hyo hyo system wameamua kumnununua HAALAND na Jesus kaona hana nafasi sasa sijajua why Pep kaamua kumtaka HAALAND na last season KANE wakati ana JESUS I don't know why!na sitaki kuamini kama KANE or HALAAND watafanyiwa rotation wakiwa Manchester City sitaki kuamini hilo labda kwenye FA na Carabao Cups lakini sitaki kuamini kama watafanyiwa hvyo kwenye Champions league or EPL why Pep anahangaika kutoa Mamilioni ya Paund wakati JESUS yupo why?
Mkuu me najibu hoja yako ya kusema Jesus uwezo mdogo na hajawahi kuscore goal 10 per season, sikuwa na maana kwamba Jesus ni striker sahihi Kwa arsenal

Na kitu kingine ni kwamba mpira ni system/chemistry, ndomana Tottenham Wana Kane Kwa zaidi ya miaka 4 ila hakuna la maana wame achieve amebakia na ubora wake na sio ubora wa team ndomana Pep kafanya makubwa akiwa na huyo Jesus ata kabla ya kumtaka huyo Kane na Haaland Kwa sababu ata katika absence Yao bado Man city ni Bora

Me waga nakubaliana naww baadhi ya sehemu ila sehemu moja Tu ndio waga naona unazingua na kama Una chuki Tu na Arteta, huwezi kumkompare Arteta na Tuchel Kwa aina ya wachezaji wa Arsenal, tufanye anaondoka Arteta alafu wachezaji wabaki wale wale unadhani akija kocha gani atafanya ambayo wewe unahisi Arteta kashindwa na Hilo jopo na wachezaji

Unaongelea experience ya ukocha bila experience na ubora wa wachezaji we huoni Kama unazingua, Tunakubaliana wote Mourhino ni best coach duniani ila alishwindwa nini Tottenham? Unamfatilia huko series A? Unajua kapata points ngapi dhidi ya team za top 6? Je nayeye ni mbovu kama Arteta?

Ifkie hatua tuache personal attacks na tuongee uhalisia, Kwa Aina ya wachezaji ambao Arteta anao Leo hii yupo anapigani top four na Man u na Tottenham we unaona kuna usawa wa quality, Maturity na depth?
 
Back
Top Bottom