Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Oya we computerarsenal ndio unasemaga Arsenal haina uwezo wa kuattract big players, This is Arsenal, umbwaaaaa.
I'm not trying to offend anyone lakini tuongee ukweli tu kuja kwake Arsenal sio kwamba Arsenal ameweza attract big stars kuja kwa kipindi hiki.

Ni kwa sababu Jesus hana sababu ya kubaki City ambapo anakula mkeka. Guardiola anaona bora acheze na Foden (false 9) kuliko kucheza nae. So jamaa hana option nyengine ukiangalia ndo kwanza ana miaka 25.
Hili deal halina tofauti sana na deal la Willian na David Luiz from Chelsea. Was very easy!

Ni ushawishi wa Edu kwa wabrazili, uhusiano wake hapo nyuma na Arteta bila ya kusahau hana other option ndio mambo yatakayomfanya aje.

Lakini hakuna star mkubwa ambae hataki kucheza UEFA. Kama kweli Arsenal walikuwa na uwezo na ku attract big stars katika hiki kipindi kigumu, basi wasingeshindwa kumsajili Vlahovic, Aouar, n.k.
 
Gabriel Jesus = Quality player. Super technical level, versatile, top attitude/work ethic. Doesn’t always finish well, but still has great feel for space in the box, scores with both feet/head and creates chances. Just turned 25 this month and is entering his prime. YES PLEASE.
Has worked with pep and arteta and has epl experience. Replacement poa kwa laca. Nketiah tutamreplace? Au martinelli anatosha?
 
Wewe ni box I repeat ni bichwa box

1)Pep Guardiola alikuwa coach wa Barcelona B na achievements zake unazijua?ok nenda Google utaona I don't want to waste my time kukuonyesha achievements zake

2)Wewe ni bichwa box Klopp na Pochettino kwenye Champions league unaweza ukalinganisha mafanikio yao?ok for exampe ndogo Klopp amefika Champions league na wachezaji wengi wa bure na Academy tofauti na Pochettino ambaye wengi wao walikuwa wamenunuliwa kwa paund za kutosha bro are you out of your mind?tena na nusu na robo fainali za kutosha na cheap players tena unasema Pochettino alikuwa na uzoefu kuliko Klopp bro are u gentle?Pochettino achievement yake kubwa kwenye UCL ni 2019 huo uzoefu kautoa wapi?

3)Pochettino ana mafanikio gani PSG?sijajua achievements zake sababu hata kombe la ligi hana sasa ana achievements gani?tena PSG ana Messi Mbappe na Neymar so hata akibeba ligi kwenye ligi dhaifu haishangazi

Bro wewe ni bichwa box I repeat umeijua Liverpool 2018 wewe ndio maana unaandika shit kama hizi bro Fuc***

Nilichokuuliza hujajibu hata kimoja Bali umeamua kutumia Matusi na Kejeli kama Kinga Yako ya Kujihami.

Kiufupi umeonesha Inferiority complex.

Endelea kupayuka
 
I'm not trying to offend anyone lakini tuongee ukweli tu kuja kwake Arsenal sio kwamba Arsenal ameweza attract big stars kuja kwa kipindi hiki.

Ni kwa sababu Jesus hana sababu ya kubaki City ambapo anakula mkeka. Guardiola anaona bora acheze na Phoden (false 9) kuliko kucheza nae. So jamaa hana option nyengine ukiangalia ndo kwanza ana miaka 25.
Hili deal halina tofauti sana na deal la Willian na David Luiz from Chelsea. Was very easy!

Ni ushawishi wa Edu kwa wabrazili, uhusiano wake hapo nyuma na Arteta bila ya kusahau hana other option ndio mambo yatakayomfanya aje.

Lakini hakuna star mkubwa ambae hataki kucheza UEFA. Kama kweli Arsenal walikuwa na uwezo na ku attract big stars katika hiki kipindi kigumu, basi wasingeshindwa kumsajili Vlahovic, Aouar, n.k.

Ukweli ni kwamba anamkimbia Halaand
 
I'm not trying to offend anyone lakini tuongee ukweli tu kuja kwake Arsenal sio kwamba Arsenal ameweza attract big stars kuja kwa kipindi hiki.

Ni kwa sababu Jesus hana sababu ya kubaki City ambapo anakula mkeka. Guardiola anaona bora acheze na Phoden (false 9) kuliko kucheza nae. So jamaa hana option nyengine ukiangalia ndo kwanza ana miaka 25.
Hili deal halina tofauti sana na deal la Willian na David Luiz from Chelsea. Was very easy!

Ni ushawishi wa Edu kwa wabrazili, uhusiano wake hapo nyuma na Arteta bila ya kusahau hana other option ndio mambo yatakayomfanya aje.

Lakini hakuna star mkubwa ambae hataki kucheza UEFA. Kama kweli Arsenal walikuwa na uwezo na ku attract big stars katika hiki kipindi kigumu, basi wasingeshindwa kumsajili Vlahovic, Aouar, n.k.
kumbuka Gabriel anacheza namba zote tatu mbele, sio #9 pekee. Bado ni muhimu ndani ya man city, imetokea kwa Ferran Torres na Leroy Sane, wakati mwingine mtu anavutiwa na project & uwezo wa kocha. Miaka mitatu nyuma sidhani kama kuna mchezaji angefikiria kutoka Man city kuja Arsenal whatever the case.
 
Hiv kwel kushinda mech ya juz na Chelsea ndio unaona umemaliza upo top 4?

Kumbuka umetoka kubamizwa mech 3 consecutively nilidhan utasubir walau mech 3 zpite ufanye tathmin?

Kesho una man u unaweza kupigwa au kuokota point moja TU

KUWA NA AKIBA YA MANENO MKUU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tunaongea mpira kwa kuangalia fundamentals bro, wewe wa kusubiri timu ishinde ndio uongee au uone ubora wa timu kupitia matokeo mimi sio wa namna hiyo.

Hivi vitu ndio vinatupa confidence ya kuongea, hizo mechi tatu unazosema tulifungwa zipo humu kwenye hizo namba, angalia Xg inasemaje, tunaangalia mpira thru project over results

Over the last five matches:

Arsenal (6.91) 2-8 (4.46) Opponents
 
big four ya nini sasa nyie
Screenshot_20220319-183838.jpg
 
Xg lengo lake ni kutupa insight of the overall team's performance, na timu nyingi siku hizi zina data company, Expected Goals don’t show the ‘true’ result. But they provide a clearer view ofthe game. Kwa average fan, timu iliyoshinda ndio bora kuliko iliyofungwa, total B.S

In football Analysis Wengi wanaangalia Xg kutrack ubora wa timu in every aspect of the game,so there is no need to panic if results doesn't show up while the team’s Expected Goals pointed tomuch better performances than the true results suggested coz in time things will fall alright

kumbuka Dortmund 2014/15, hivi klopp system ilikuwa worse kiasi icho? au Dortmund walikosa wachezaji wazuri? Je Liverpool walikuwa wajinga kuhire kocha aliyetaka kuishusha timu daraja? Ipo wazi Liverpool reseach's team waliangalia xg over results, Klopp japo alikuwa na worse results ila Xg number zilimbeba kupata kazi.

So Xg is about calculatingprobabilities with the help of mathematical models.

Kwa professional gamblers kuna kitu wanaita signal’ and ‘noise’. signal ni zile useful information(Xg number).
Noise ni kinyume cha signal, data that doesn’t tell you anything (results). So hatuwezi kuignore matokee ya mwisho wa mchezo ila ukiangalia kiundani they are just noise, coz binafsi kwenye mpira naamini kuna bad lucky / good lucky. Mfano kufunga goli thru individual silly mistakes / last time winner thru set pices..

So Arteta's Arsenal kuna watu wanajudge kwa kuangalia results wengine wanaangalia project, unakuta mtu anasema kuwa na akiba ya maneno, akiba ya nini wakati vitu underground vipo wazi.
 
Xg lengo lake ni kutupa insight of the overall team's performance, na timu nyingi siku hizi zina data company, Expected Goals don’t show the ‘true’ result. But they provide a clearer view ofthe game. Kwa average fan, timu iliyoshinda ndio bora kuliko iliyofungwa, total B.S

In football Analysis Wengi wanaangalia Xg kutrack ubora wa timu in every aspect of the game,so there is no need to panic if results doesn't show up while the team’s Expected Goals pointed tomuch better performances than the true results suggested coz in time things will fall alright

kumbuka Dortmund 2014/15, hivi klopp system ilikuwa worse kiasi icho? au Dortmund walikosa wachezaji wazuri? Je Liverpool walikuwa wajinga kuhire kocha aliyetaka kuishusha timu daraja? Ipo wazi Liverpool reseach's team waliangalia xg over results, Klopp japo alikuwa na worse results ila Xg number zilimbeba kupata kazi.

So Xg is about calculatingprobabilities with the help of mathematical models.

Kwa professional gamblers kuna kitu wanaita signal’ and ‘noise’. signal ni zile useful information(Xg number).
Noise ni kinyume cha signal, data that doesn’t tell you anything (results). So hatuwezi kuignore matokee ya mwisho wa mchezo ila ukiangalia kiundani they are just noise, coz binafsi kwenye mpira naamini kuna bad lucky / good lucky. Mfano kufunga goli thru individual silly mistakes / last time winner thru set pices..

So Arteta's Arsenal kuna watu wanajudge kwa kuangalia results wengine wanaangalia project, unakuta mtu anasema kuwa na akiba ya maneno, akiba ya nini wakati vitu underground vipo wazi.
project has to yield results in a foreseeable future (not more than 2 years), not to be kept waiting indefinitely, inundated with nude promises. What startles many is lack of consistency eg where we are expecting to pick points - we give them away ( Brighton, Southampton, Crystal palace). Thruthful, UCL and Europa is still 50/50

Data is not everything, sometimes they lie, that is why gamblers are fixed often times.
Let's pray - we get results today,
 
Mikel time has just began!
You & your # Arteta out brigade can throw yourselves into Themes river, you won't be missed!!

Keep it up Gooners! I have complete trust, the manager will turn things around...win or lose please support the team..It doesn't help when the fans ranting too much... Support the team or else don't be a fan...
Do you think Arteta ataondoka?the Answer is No because Kroenke hana muda na Football yeye ana deal na Superbowl huko USA na mambo ya Farasi as long as anapata profit kupitia Arsenal kwake hilo sio tatizo so Arsenal ina more than 18 years hana EPL Arsenal ana more than 66 years hana Champions league unahisi atajali?Angalia Big teams zikifanya vibaya owners wanavyohangaika kutaka positive results sasa ulivyo mjinga unaona its OK kwa Arsenal kuwa middle team instead of big team huu ndio ujinga ulionao na baadhi ya fans kama wewe hutaki achievements unataka kumuona Arteta ambaye hana mbele wala nyuma stupid
 
I'm not trying to offend anyone lakini tuongee ukweli tu kuja kwake Arsenal sio kwamba Arsenal ameweza attract big stars kuja kwa kipindi hiki.

Ni kwa sababu Jesus hana sababu ya kubaki City ambapo anakula mkeka. Guardiola anaona bora acheze na Phoden (false 9) kuliko kucheza nae. So jamaa hana option nyengine ukiangalia ndo kwanza ana miaka 25.
Hili deal halina tofauti sana na deal la Willian na David Luiz from Chelsea. Was very easy!

Ni ushawishi wa Edu kwa wabrazili, uhusiano wake hapo nyuma na Arteta bila ya kusahau hana other option ndio mambo yatakayomfanya aje.

Lakini hakuna star mkubwa ambae hataki kucheza UEFA. Kama kweli Arsenal walikuwa na uwezo na ku attract big stars katika hiki kipindi kigumu, basi wasingeshindwa kumsajili Vlahovic, Aouar, n.k.
FACT BRO
 
project has to yield results in a foreseeable future (not more than 2 years), not to be kept waiting indefinitely, inundated with nude promises. What startles many is lack of consistency eg where we are expecting to pick points - we give them away ( Brighton, Southampton, Crystal palace). Thruthful, UCL and Europa is still 50/50

Data is not everything, sometimes they lie, that is why gamblers are fixed often times.
Let's pray - we get results today,
akili kubwa(Big IQ)
 
Do you think Arteta ataondoka?the Answer is No because Kroenke hana muda na Football yeye ana deal na Superbowl huko USA na mambo ya Farasi as long as anapata profit kupitia Arsenal kwake hilo sio tatizo so Arsenal ina more than 18 years hana EPL Arsenal ana more than 66 years hana Champions league unahisi atajali?Angalia Big teams zikifanya vibaya owners wanavyohangaika kutaka positive results sasa ulivyo mjinga unaona its OK kwa Arsenal kuwa middle team instead of big team huu ndio ujinga ulionao na baadhi ya fans kama wewe hutaki achievements unataka kumuona Arteta ambaye hana mbele wala nyuma stupid
"Trust the process" If not,find somewhere else.Just simple
 
@Aaron Arsenal sometimes unatakiwa uwe serious bro hivi Jesus ana miaka mingapi EPL?ameshawahi fikisha 10 goals per season?Jesus hana utofauti mkubwa na kina Lukaku Arsenal inahitaji forward wa uhakika wa kuscore 20 goals per season kama Auba Van Persie hivi nani ana deal na Recruitment team pale Arsenal?hao watu watakuwa ni VILAZA sijawahi kuona
 
Back
Top Bottom