Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1-0, ngoma inaanza kuwa nzito, tumekuwa kama ngoma ya kijiji. Watu wanakuja wanajipigia wanaondoka zao
 
Arsenal tunachukiwa na kila timu, Arsenal ni lijitu flani hivi likubwaaaa sleeping giant wanaogopa likiamka itakuaje, anachukiwa Mikel Arteta sababu anataka kuliamsha hili dude
dah
 
Kulia kupokezana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…