Leo tena tunatupa karata nyingine bila baadhi ya wachezaji wetu muhimu Partey, Tierney na Tomiyasu na kwa taarifa ya jana Lacazette hakuwepo mazoezini kwasababu ya mambo binafsi na hakukua na uhakika kama leo atakuwepo kikosini au la.
Arteta alisema kwamba ukipoteza mechi basi mechi inayofuata inakuwa ngumu zaidi. Je tutegemee mechi ya leo kuwa ngumu kama mechi mbili zilizopita?
Naamini leo tunaweza kupata matokeo japo mechi inaweza kuwa ngumu. Ngoja tusubili selection ya kikosi cha leo