Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna mmiliki mwenye akili timamu unaamua kumuacha beast striker kama Aubameyang aondoke unabaki na mfuga ndevu mpumbavu kama lakazete,hii timu ikipata mmiliki mwenye kuelewa maana ya uwekezaji kwenye soka kwa, wote pale hakuna anayestahili kubaki,wanapaswa wafurumushwe isibaki hata chupi kwenye kabati!.

Kuna muda ukiwaangalia wachezaji namna wanavyocheza unaweza kusema hawajala mwaka mzima au hawajalipwa misimu 6 mfululizo.
Bunley,Astonvilla,Brighton,watford n.k unakuta wanacheza kwa spirit ya hali ya juu japo huwa wanapoteza lakini kuna muda unaona kabisa wamepiga mpira,ukija kwa Arsenal unakuta wachezaji ni kuruka ruka tu uwanjani utadhani wanamizigo ya mabusha kwenye bukta zao,yaani wachezaji hawana uchu na uchungu wa kupigania matokeo.

Serikali ya Uingereza isipofanya fitna kama ambazo tunaziona kwa chelsea sasa hivi kuhusu mmiliki wake,basi Arsenal bado tunasafari ndefu sana ya mafanikio.
Miaka 2 ijayo Arsenal itabaki kuwa historia tu kama Nottingham forest.

Huu ndiyo Ukweli.


BILA STAN KROÈNKE NA MAPUMBAVU WENZIE KUIACHA TIMU KWA HIARI YAO WANAPASWA WASHINIKIZWE
 
Nahis wengi wangekua wanaongelea mapungufu ya Arsenal kwa tactical kama anavyofanya @willJr nahis ingekua ni bora
 
FACT Umemaliza kila kitu!
 
Nahis wengi wangekua wanaongelea mapungufu ya Arsenal kwa tactical kama anavyofanya @willJr nahis ingekua ni bora
Daily Arsenal ndio iwe na mapungufu?mapungufu ya Arsenal yapo kwa kocha mwenyewe hana experience yoyote 4 games in hand leo tumekuwa watu wa out of top 4 then Owner ambaye ni Kroenke na baadhi ya players almost robo 3 ya squad hawastahili kuchezea Arsenal that's it hayo ndiyo mapungufu
 
Akitokea PSG

Sasa hivi team yake ipo nafasi ya 3, robo final uefa na nusu fainali fa.

Nimejibu swali lako ndugu?
Unless tunaongelea pesa haya mambo mengine ikipita saa 24 nakua nimesahau tumetoka wapi mpaka kufikia hapo
 
Hizi XG mi siziongelei.

Nafikiri Holding yupo kwenye selection. Angegewa namba ya White, halafu White akacheza kama DM na Emile.

LB anakua Xhaka. Xhaka atakua anacover weakness ya Emile katika kudefend. White atafanya kazi ya Partey katikati.

Nafikiri hii ni stable na balanced kuliko kikosi cha leo
 
Nahis wengi wangekua wanaongelea mapungufu ya Arsenal kwa tactical kama anavyofanya @willJr nahis ingekua ni bora
Unataka wote tuwe na tactical-know-how, sio rahisi na ikiwa hivyo hatutaenjoy mjadala. Wengine ni tuna critisize wakizingua, mimi nimeangalia sana hizi mechi za mwisho nikaona kabisa we're not doing shyte.
 
Sasa hivi hatulose kwaajili ya mbinu za kocha. Tunalose kwaajili ya kikosi na maamuzi yao ya kutosajili viungo wa kutushikilia kumaliza msimu
 
Bora uwambie ukweli ndugu zako maana hawajielewi kabisa wanakwambia malengo yao ni kumaliza top 3
 
Kuna watu hawapendi ukweli,wao ni kujifariji tu sijui tatizo ni nini!! Bora wewe umeongea ukweli.
 
sisi mashabiki hatuna cha kukusaidia na zaidi ni kwamba 70% tunaimani na Arteta.
 
Conte anaenda Champions
league na atapata Big players ambao wataleta competition kwenye league na Arteta atabakia na kina Lokonga ambao atashindana na middle teams in EPL kila season we trust the process Lokonga
Kwa timu za spurs na Arsenal kwenda CL wala siyo kigezo cha kuletewa wachezaji wakubwa. Wote tuna wamiliki miyeyusho kwahiyo ulichosema hakina usahihi wa 100%

Hata Arsenal kutosajili CM dirisha la January ilikua ni huu ubahili pia umechangia.

Mi nilidhani red za Xhaka na injuries za Partey ndiyo zitatuharibia injury tayari bado kuona Xhaka atamaintain for how long
 
Wamiliki miyeyusho
naishia hapa bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…