Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal ilipogoma kusajili mid na nikasemea hii ishu itatugharimu nilibadilishwa mawazo na matokeo chanya tuliyoyapata.

Apparently it shows
Nilipoona kwenye kikosi hakuna partey nikaona mambo yanakuwa magumu mnoo
 
Nketiah in, arteta hii game anaionaje
haoni matatiza yapo dimba la kat?
 
Lile jini limerudi Emirate. Wa kutubu mkatubu, wa kutambika haya
 
Leo kikosi kimetugharimu nahs arteta aliichukulia poa hii game
 
@Mervin nasubiria wachambuzi die hard fans wa Arteta waje humu Jukwaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…