Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Don’t underrate teams in the relagation territory, with reference to what happened yesterday to chelsea.
Tough games ahead of us are; man United, chelsea, Spurs and westham
Cha kusikitisha zaidi games zote hizo 4 mnaukalia halafu hasira zenu zote mtahamishia kwa Arteta.
 
Cha kusikitisha zaidi games zote hizo 4 mnaukalia halafu hasira zenu zote mtahamishia kwa Arteta.
Tukihamishia hasira kwa arteta itakua sawa tu ila nyinyi mnabakwa day in day out na mnachekelea profesa atawafikisha mbali
 
Kwa hizi fixtures, mmmh!
Screenshot_20220404-070335~2.jpg
 
computerarsenal mi nilishakwambia siku nyingi kwa ukubwa wa IQ yako wewe sio wa kuishabikia Arsenal, mashabiki wa arsenal wengi akili zao ziko below average lazima tu watakuona wewe kua sio wao.
Haya hawa hapo tayari wameshaanza kukutoa kwenye chama kisa kuwaeleza ukweli ya kwamba hakuna timu kubwa yoyote duniani isiyokua na malengo ya kubeba makombe.
Hebu jitafakari upya hapo ulipo sio sehemu sahihi kwa kiwango kikubwa cha akili ulichojaaliwa.

Mpaka member wenzako wanakuambia hivi :-

"computerarsenal nimegundua hii sio timu special kwa ajili yako,unajiumiuza tu mkuu"

Tafakari mkuu
Chukua hatua, achana na hao jamaa wenye mtindio wa ubongo.
Tena ajidhihiriishe tu kwamba yeye ni Manchester United wala asipate tabu. Hana haja ya kujifanya arsenal huku mafanikio ya arsenal yanamuumiza
 
Tena ajidhihiriishe tu kwamba yeye ni Manchester United wala asipate tabu. Hana haja ya kujifanya arsenal huku mafanikio ya arsenal yanamuumiza
Eti mafanikio ya Arsenal yanamuumiza
Hivi arsenal inamafanikio gani???
 
Kuwa juu ya Man UTD kwenye table nayo ni mafanikio ya Arsenal.Kwani hujui?
hongera zao kama tafsiri ya mafanikio kwao ni kua juu ya Man United kwenye msimamo wa ligi.
Ila wasubiri mpaka ligi ifike mwisho ndio washerehekee ubingwa wao.
Wanaweza kusherehekea muda huu halafu Man United akapindua meza kibabe.
 
Back
Top Bottom