Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal are in pole position to sign PSV Eindhoven forward Cody Gakpo. PSV are hoping to smash their record fee received for a player, which is currently the €40 million they got for Hirving Lozano. (VI)
Kwa hiyo Martinelli atakuwa developed kuwa no.9 acheze kama laca? naona gabigol ataiweza hiyo maana anaweza kupress na kutrack. anaweza kuchenga. yuko vizuri kwa vichwa kwa cross na atafaa kama poacher na kwa kujitengenezea chances pia ikibidi.
 
No Wilfried Zaha for Ivory Coast against England. He didn’t train yesterday either. Could miss the game against Arsenal on Monday along with Michael Olise who has a foot injury
 
.
@FabrizioRomano
: “I can tell you that Arsenal asked for information about Raphinha of Leeds. Barcelona are leading the race for Raphinha, but they’re looking for that kind of player, so Gakpo is a player they’re following, also Raphinha is a player they like.”
1648502309495.png
 
Arsenal beat Brentford in a friendly match by four (Lacazette hat-trick + Hodling).

lineup: Leno.. Swanson.. Hodling.. Ojungpo.. Tavares.. Miguel Aziz.. Patino.. Sago Jr... Nketiah. Lacazette.. Bradley Ibrahim
 
Arsenal beat Brentford B 4-1 today in a friendly.

Lacazette hat-trick and Rob Holding scored a goal.

Leno; Swanson, Holding, Ogungb; Tavares; Azeez, Patino, Sagoe Jr-Ibrahim; Nketiah, Lacazette.

Subs: A. Okonkwo, Sousa, Dinzeyi, Bandeira, Butler-Oyedeji, Ideho, Biereth.

1648588768430.png
 
Arsenal beat Brentford B 4-1 today in a friendly.

Lacazette hat-trick and Rob Holding scored a goal.

Leno; Swanson, Holding, Ogungb; Tavares; Azeez, Patino, Sagoe Jr-Ibrahim; Nketiah, Lacazette.

Subs: A. Okonkwo, Sousa, Dinzeyi, Bandeira, Butler-Oyedeji, Ideho, Biereth.

View attachment 2169811
huyu nketiah hamna mchezaji humo.jamaa angefanya vizur saana enz za wenger maana there was no terrific pressure from the boss
 
Gabi spin vs Bolivia

Huyu dogo anazidi kuwa matata sana. Hii spin kidogo tu angefunga na ingekuwa habari ya mjini. Anazidi kupata confidence na it's only good for us. Akiongeza end product atakuwa hashikiki huyu kijana.

Mpaka nahisi tuachane na kina Gakpo tutafute Martinelli wengine wawili huko Brazilian 4th Division kama tulivyompata Gabigol
 
Cody Gapko / Darwin Nunez pia kuna taarifa za Raphinha, so we keep tabs on them, Mikel Arteta anaibadili Arsenal kuwa kama Man city, kila namba wachezaji wawili, tukisajili winger tutakuwa na Saka/ Pepe/ Martinelli / New Winger mimi namwita Raphinha coz I love Raphinha.
Naona tukifuzu UCL, kitakua kivutio kikubwa saana kwa nyota wengi zaid, yan hatutatumia nguvu kubwa zaid kuwashawishi
 
Cody Gapko / Darwin Nunez pia kuna taarifa za Raphinha, so we keep tabs on them, Mikel Arteta anaibadili Arsenal kuwa kama Man city, kila namba wachezaji wawili, tukisajili winger tutakuwa na Saka/ Pepe/ Martinelli / New Winger mimi namwita Raphinha coz I love Raphinha.
Mnajifariji Wana Gunnerz na matamanio yenu ingali timu yenu falsafa yake mnaijua kuhusu sajiri za wachezaji.

Huyo Raphina kasha sajiriwa barca siyo muda.

Gakpo Van nestory ambae ni kocha mpya psv kasema atapiga juu chini abaki.

Huyo nunez hata msimuwazie maana uhakika wa 100% wa top four bado japo muna % kubwa ya kuwa top four kuliko wapinzani,Na wachezaji wengi Wana penda kucheza uefa kama Dusan mlivyo mjadili Sana mwishowe Juventus wakajinyakulia striker.Timu yenye % kubwa kumchukua ni Liverpool ambao watacheza nao QF uefa ko Nunez atakuwa kama ana ji bland Kwa majogoo.

Dyabala kasema mwenyewe kwa mdomo wake kuwa angependa kuicheza A.Madrid msimu ujao kuliko club nyingine ulaya.

ARTETA HUYU AMBAE ANA WIN MECHI SITA MFULULIZO ZISIZO NA UMUHIMU NA KUPOTEZA POINTI MECHI MBILI AU TATU MECHI ZA MUST WIN? ARTETA HUYU BIG TEAMS YOYOTE HATA IWE HOI KIASI GANI HAFUI DAFU ndo unasema anaitengeneza Arsenal kuwa kama Man city ya Pep?
 
Mnajifariji Wana Gunnerz na matamanio yenu ingali timu yenu falsafa yake mnaijua kuhusu sajiri za wachezaji.

Huyo Raphina kasha sajiriwa barca siyo muda.

Gakpo Van nestory ambae ni kocha mpya psv kasema atapiga juu chini abaki.

Huyo nunez hata msimuwazie maana uhakika wa 100% wa top four bado japo muna % kubwa ya kuwa top four kuliko wapinzani,Na wachezaji wengi Wana penda kucheza uefa kama Dusan mlivyo mjadili Sana mwishowe Juventus wakajinyakulia striker.Timu yenye % kubwa kumchukua ni Liverpool ambao watacheza nao QF uefa ko Nunez atakuwa kama ana ji bland Kwa majogoo.

Dyabala kasema mwenyewe kwa mdomo wake kuwa angependa kuicheza A.Madrid msimu ujao kuliko club nyingine ulaya.

ARTETA HUYU AMBAE ANA WIN MECHI SITA MFULULIZO ZISIZO NA UMUHIMU NA KUPOTEZA POINTI MECHI MBILI AU TATU MECHI ZA MUST WIN? ARTETA HUYU BIG TEAMS YOYOTE HATA IWE HOI KIASI GANI HAFUI DAFU ndo unasema anaitengeneza Arsenal kuwa kama Man city ya Pep?
so jicho lako bado ata alijaona km arsenal inabadilika
 
Mnajifariji Wana Gunnerz na matamanio yenu ingali timu yenu falsafa yake mnaijua kuhusu sajiri za wachezaji.

Huyo Raphina kasha sajiriwa barca siyo muda.

Gakpo Van nestory ambae ni kocha mpya psv kasema atapiga juu chini abaki.

Huyo nunez hata msimuwazie maana uhakika wa 100% wa top four bado japo muna % kubwa ya kuwa top four kuliko wapinzani,Na wachezaji wengi Wana penda kucheza uefa kama Dusan mlivyo mjadili Sana mwishowe Juventus wakajinyakulia striker.Timu yenye % kubwa kumchukua ni Liverpool ambao watacheza nao QF uefa ko Nunez atakuwa kama ana ji bland Kwa majogoo.

Dyabala kasema mwenyewe kwa mdomo wake kuwa angependa kuicheza A.Madrid msimu ujao kuliko club nyingine ulaya.

ARTETA HUYU AMBAE ANA WIN MECHI SITA MFULULIZO ZISIZO NA UMUHIMU NA KUPOTEZA POINTI MECHI MBILI AU TATU MECHI ZA MUST WIN? ARTETA HUYU BIG TEAMS YOYOTE HATA IWE HOI KIASI GANI HAFUI DAFU ndo unasema anaitengeneza Arsenal kuwa kama Man city ya Pep?
Kwahiyo kwako wewe ni bora kuwin mechi mbili au tatu za muhimu alafu upoteze mechi 6 zisizo za muhimu. Mkuu kwahiyo ni bora point 6 au 9 kuliko point 18??

Duh! Kweli kuna kuongea na kutamka
 
Mnajifariji Wana Gunnerz na matamanio yenu ingali timu yenu falsafa yake mnaijua kuhusu sajiri za wachezaji.

Huyo Raphina kasha sajiriwa barca siyo muda.

Gakpo Van nestory ambae ni kocha mpya psv kasema atapiga juu chini abaki.

Huyo nunez hata msimuwazie maana uhakika wa 100% wa top four bado japo muna % kubwa ya kuwa top four kuliko wapinzani,Na wachezaji wengi Wana penda kucheza uefa kama Dusan mlivyo mjadili Sana mwishowe Juventus wakajinyakulia striker.Timu yenye % kubwa kumchukua ni Liverpool ambao watacheza nao QF uefa ko Nunez atakuwa kama ana ji bland Kwa majogoo.

Dyabala kasema mwenyewe kwa mdomo wake kuwa angependa kuicheza A.Madrid msimu ujao kuliko club nyingine ulaya.

ARTETA HUYU AMBAE ANA WIN MECHI SITA MFULULIZO ZISIZO NA UMUHIMU NA KUPOTEZA POINTI MECHI MBILI AU TATU MECHI ZA MUST WIN? ARTETA HUYU BIG TEAMS YOYOTE HATA IWE HOI KIASI GANI HAFUI DAFU ndo unasema anaitengeneza Arsenal kuwa kama Man city ya Pep?
rubbish
 
Sawa.Mchaka mchaka wa Ligi unarudi kuanzia kesho. Visingizio havitakosekana matokeo yakitokea yasiyo tarajiwa.

Lacazate hatakiwi kumaliza dk 90,Ile faulo ya Xhaka angeacha TU,Leno haijiamini baada ya kupoteza Rasmdale,Partey na odergard Wana over work baada ya international break ndo maana kiwango hakikuwa kizuri,Martinnel ana udhi ana Kaa na mpira Sana badala ya kutengeneza nafasi au kufunga,Rowe na Saka mechi mbili wana perfom mechi mbili hawaperfom, Huyu refa ana ionea Arsenal, Uingereza Hawataki Arsenal acheza uefa Kuna watu watasema hivi . Yes it's Rubbish

Injury na Corona Kwa wachezaji kumefanya kuonesha gape. Si muwe na kikosi kipana chenye rate Sawa Kwa wachezaji. Liverpool akikosekana Fabinho Jones anakiwasha, Akikosea TAA James anakinukisha, Thiago akikosekana chambalen product yenu Inakipiga Mane na Salah Kuna minamino na jota na mcolombia.Partey,Saka,Martinelli ,Ramsdale kilio
 
Back
Top Bottom