Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilisema inabidi tuwapige Wolves wapandwe na hasira wakamzuie hammers kama tulivyofanya kwa spurs.

Object yetu finished bado wao Wolves
Watoke sare tu hawa. Asipate point 3 yeyote.
 
Gabriel played a really poor back-pass to Ramsdale, it was intercepted, Hwang picked it up and rolled it home from a tight angle. 0-1.

It could have been worse just a couple of minutes later when Jimenez found himself behind Gabriel with just the keeper to beat, but he dragged his shot well wide. Saka created a chance for Odegaard which was blocked in the Wolves box, Odegaard found Lacazette but he couldn’t get a shot away, and the visitors were openly time-wasting in the 24th minute but Martin Atkinson didn’t care.

Arseblognews.com
 
credit to AMBANGILE

CAPTAIN LACA .! 🔥

✍Arsenal wamepiga comeback kikubwa sana dhidi ya Wolves , waliwa search kweli kweli kwa dakika nyingi sana uwanjani na hatimaye kupata zawadi yao

✍Arteta alitumia mfumo ule ule aliotumia mechi ya kwanza dhidi ya Wolves 4-2-3-1 lakini inayobadilika kuwa 4-3-3 wakiwa na mpira ambapo Granit Xhaka anasogea juu kidogo lakini sio katika mstari mmoja na Odegaard ( yani Xhaka anakuwa namba 8 wa chini = deeper 8 , huku Odegaard anakuwa namba 8 wa juu = advanced 8 ) nini nia yake ??

✍Kwasababu Wolves nao wanatumia mfumo ule ule wa 3-4-3 maana yake ndani katikati wana viungo wawili tu Neves na Moutinho kwahiyo watakuwa wanakabiliana na viungo watatu Partey Xhaka na Odegaard lakini kwasababu ya Xhaka kusogea juu maana yake Neves na Moutinho hawawezi kumfanyia Pressing Partey ambaye anakuwa " SPARE MAN " kwenye kiungo ( mchezaji wa ziada ) , inawasaidia Arsenal kutawala mpira

✍Kitu ambacho Bruno Lage alikuwa anatafuta ni kuwavizia Arsenal kwenye counter attacks kwa kuwasubiri fullbacks wawili kusogea juu ( Cedric na Tierney ) ili namba 10 wake wawili Hwang na Podence kushambulia space iliyoachwa wazi .

✍Hii mechi kwa muda mrefu ilikosa ufanisi mbele ya goli , Arsenal walitengeneza nafasi nyingi sana lakini walikosa ufanisi ( Lacazette , Odegaard, Martinelli na Saka ) huku Wolves ( Jimenez, Hwang na Neto ) walipata nafasi nzuri za kuweka kambani lakini walikosa ufanisi

NOTE

1: Combination ya Neves na Moutinho inampa Bruno Lage nafasi ya kumaliza nafasi 7 za juu kwa uwezo wao kutawala mechi

2: Martin Odegaard , anafanya mambo magumu kuwa rahisi na vipasi vyake vya hapa na hapa ambavyo huvitarajii

3: Super Sub Pepe , turn and finish , lakini pongezi pia kwa Nketiah

4: Arsenal wanaonekana Fresh, sharp , fast , pressing sana, hawakati tamaa ...hivi vitu wakiongeza tena na ukatili mbele ya goli wataleta shida katika mechi zilizobaki.

5: PISHA NJIA HAPO KWENYE NAFASI ZA WATU , TOFAUTI POINTI MOJA KUTOKA NAFASI YA 4 NA MICHEZO MIWILI MKONONI....

Kafungwa Wolves wananuna wengine 😀😀😀

Full Time : Arsenal 2-1 Wolves
 
credit to AMBANGILE

CAPTAIN LACA .! 🔥

✍Arsenal wamepiga comeback kikubwa sana dhidi ya Wolves , waliwa search kweli kweli kwa dakika nyingi sana uwanjani na hatimaye kupata zawadi yao

✍Arteta alitumia mfumo ule ule aliotumia mechi ya kwanza dhidi ya Wolves 4-2-3-1 lakini inayobadilika kuwa 4-3-3 wakiwa na mpira ambapo Granit Xhaka anasogea juu kidogo lakini sio katika mstari mmoja na Odegaard ( yani Xhaka anakuwa namba 8 wa chini = deeper 8 , huku Odegaard anakuwa namba 8 wa juu = advanced 8 ) nini nia yake ??

✍Kwasababu Wolves nao wanatumia mfumo ule ule wa 3-4-3 maana yake ndani katikati wana viungo wawili tu Neves na Moutinho kwahiyo watakuwa wanakabiliana na viungo watatu Partey Xhaka na Odegaard lakini kwasababu ya Xhaka kusogea juu maana yake Neves na Moutinho hawawezi kumfanyia Pressing Partey ambaye anakuwa " SPARE MAN " kwenye kiungo ( mchezaji wa ziada ) , inawasaidia Arsenal kutawala mpira

✍Kitu ambacho Bruno Lage alikuwa anatafuta ni kuwavizia Arsenal kwenye counter attacks kwa kuwasubiri fullbacks wawili kusogea juu ( Cedric na Tierney ) ili namba 10 wake wawili Hwang na Podence kushambulia space iliyoachwa wazi .

✍Hii mechi kwa muda mrefu ilikosa ufanisi mbele ya goli , Arsenal walitengeneza nafasi nyingi sana lakini walikosa ufanisi ( Lacazette , Odegaard, Martinelli na Saka ) huku Wolves ( Jimenez, Hwang na Neto ) walipata nafasi nzuri za kuweka kambani lakini walikosa ufanisi

NOTE

1: Combination ya Neves na Moutinho inampa Bruno Lage nafasi ya kumaliza nafasi 7 za juu kwa uwezo wao kutawala mechi

2: Martin Odegaard , anafanya mambo magumu kuwa rahisi na vipasi vyake vya hapa na hapa ambavyo huvitarajii

3: Super Sub Pepe , turn and finish , lakini pongezi pia kwa Nketiah

4: Arsenal wanaonekana Fresh, sharp , fast , pressing sana, hawakati tamaa ...hivi vitu wakiongeza tena na ukatili mbele ya goli wataleta shida katika mechi zilizobaki.

5: PISHA NJIA HAPO KWENYE NAFASI ZA WATU , TOFAUTI POINTI MOJA KUTOKA NAFASI YA 4 NA MICHEZO MIWILI MKONONI....

Kafungwa Wolves wananuna wengine 😀😀😀

Full Time : Arsenal 2-1 Wolves
PISHA NJIA HAPO KWENYE NAFASI ZÀ WATU.
 
Sielewi mechi tumeshindaje

Tabia ya kutiana presha kabla ya ushindi naona Arsenal haijaachwa bado.
mechi ilikuwa ngumu, ila ule msako waliopigwa hawatausahau, arteta aliwa overload sana ,ndio maana chances nyingi tumepata, wolves huwa kupata chance hata 2 tu mtihani
 
Xhaka hana speed ndiyo maana recovery zinamshinda, Busquet pia hana pace tena kazidiwa na Xhaka ila ni mnyumbulifu na ana confidence kiasi kwamba pace kwake siyo deal kubwa.

Partey alikua ananikera na mashuti yake lakini jinsi alivyokua anageuka hapa hapa mbele ya watu, pasi, one two na kumpa option kila aliye na mpira naweza sema ilikua game poa sana kwake. Jana niliacha anajadiliwa kama MOTM.

Saka amepata chances lakini hana skills na ndiyo kimetucost, amepewa mpira na Ben, anaenda anaangaliana na kipa ila kushoto kwake kuna beki anakuja na akafika kabla hajapata angle ya kushuti, mi nilifikiri angemfinya, akafosi kushuti kwa mguu wa kulia.

Kikosi kimeonyesha spirit kubwa, it was lovely. Magalhaes kabla ya pasi ya boko alishatoa boko la kwanza halikuleta madhara, sijajua kuna shida wapi ila tuassume ni siku mbaya tu coz usually a guy is good.

Kilichonishangaza ni Atkinson kutoa yellow mbili tu tena kwa timu zote mbili kupata moja moja. Odegaard haoni shida ku-L1+∆ nafikiri forwards wamzoee na wajiandae kwa runs.

Arteta is good ile morali iliyopotezwa sasa unaiona kwa wachezaji imekua poa sana, jinsi ameirudisha ni siri Management impe kila msaada anaohitaji haswa kwenye usajili.

Watford amekua nyanya tusitarajie atamzuia united hivyo tufocus na kushinda mechi zetu.
 
'I said to them at half-time, if you want to be in the top at the end of May we are going to have to overturn results maybe two, three or four times and today was an opportunity.
I'm especially happy when a player makes an individual error that costs a goal and the team can put that aside and win the match and everybody is talking about it.' Arteta



Lacazette is out of contract in the summer but is still captaining Arsenal and Arteta felt his performance was not that of a man looking to leave the Emirates Stadium any time soon.
He said: 'When I see our striker in the 85th minute, chasing a full-back in the corner flag, winning the ball back, playing, going, fighting, missing one chance, missing two chances, going again. What can I do?'I can only praise him and try to help him as much as possible and give him support.
At the end he got the reward. For me, it's Lacazette's goal.'We don't know what is going to happen at the end of the season. What he needs to do is put aside that future.'It is part of our game, we don't have contracts that run for 20 years. That's part of our job and we have to be conscious of that.'There's nothing to tell him but to praise him, because every single day he behaves like someone that wants to stay with us.'
 
Tunatofautiana mtazamo na hiyo pia sio dhambi
Gabriel analack technical security inapelekea anashindwa kuhold high line press kwenye baadhi ya mechi, specially against aggressive teams which press high, he is so passive mentally to the point that the team is forced to sit off because of him hivyo at times structure nzima ya Arteta inafia kwake. Ametucost points nyingi mno.
 
Wolverhampton jana walitupa time/ space kubwa ya kubuild our attacks na ni sababu hawafanyi high line press, ndio maana tukawa na patience kubwa sana kubuild play which led to so many waves of attacks.

Tumecontrol mchezo na tumedominate sio kuwa Wolves wabovu ila kocha anatupa elite structure, imagine Arsenal inacheza this way ikiwa na Lacazette upfront not even a transitional threat, pamoja na Xhaka at 8!
 
Xhaka hana speed ndiyo maana recovery zinamshinda, Busquet pia hana pace tena kazidiwa na Xhaka ila ni mnyumbulifu na ana confidence kiasi kwamba pace kwake siyo deal kubwa.

Partey alikua ananikera na mashuti yake lakini jinsi alivyokua anageuka hapa hapa mbele ya watu, pasi, one two na kumpa option kila aliye na mpira naweza sema ilikua game poa sana kwake. Jana niliacha anajadiliwa kama MOTM.

Saka amepata chances lakini hana skills na ndiyo kimetucost, amepewa mpira na Ben, anaenda anaangaliana na kipa ila kushoto kwake kuna beki anakuja na akafika kabla hajapata angle ya kushuti, mi nilifikiri angemfinya, akafosi kushuti kwa mguu wa kulia.

Kikosi kimeonyesha spirit kubwa, it was lovely. Magalhaes kabla ya pasi ya boko alishatoa boko la kwanza halikuleta madhara, sijajua kuna shida wapi ila tuassume ni siku mbaya tu coz usually a guy is good.

Kilichonishangaza ni Atkinson kutoa yellow mbili tu tena kwa timu zote mbili kupata moja moja. Odegaard haoni shida ku-L1+∆ nafikiri forwards wamzoee na wajiandae kwa runs.

Arteta is good ile morali iliyopotezwa sasa unaiona kwa wachezaji imekua poa sana, jinsi ameirudisha ni siri Management impe kila msaada anaohitaji haswa kwenye usajili.

Watford amekua nyanya tusitarajie atamzuia united hivyo tufocus na kushinda mechi zetu.
Muache United amaalizie utelezi wake na Watford halafu city waje wamfumue.

Mimi fikra zangu ni game ya Liver tu
 
'I said to them at half-time, if you want to be in the top at the end of May we are going to have to overturn results maybe two, three or four times and today was an opportunity.
I'm especially happy when a player makes an individual error that costs a goal and the team can put that aside and win the match and everybody is talking about it.' Arteta



Lacazette is out of contract in the summer but is still captaining Arsenal and Arteta felt his performance was not that of a man looking to leave the Emirates Stadium any time soon.
He said: 'When I see our striker in the 85th minute, chasing a full-back in the corner flag, winning the ball back, playing, going, fighting, missing one chance, missing two chances, going again. What can I do?'I can only praise him and try to help him as much as possible and give him support.
At the end he got the reward. For me, it's Lacazette's goal.'We don't know what is going to happen at the end of the season. What he needs to do is put aside that future.'It is part of our game, we don't have contracts that run for 20 years. That's part of our job and we have to be conscious of that.'There's nothing to tell him but to praise him, because every single day he behaves like someone that wants to stay with us.'
I wish Laca stays and be given a two years contract
 
GM6 amepoteza kujiamini lakini sio centre back mbaya ;ana uwez w ku improve na kuw centre back mzur zaid endap akipat mchezaj mwenza ambae yuko more experienced and more matured.
Nadhani anahitaji coaching nzuri zaidi tu kwenye mambo hayo. Ben White ni bonge la player, sidhani kama anahitaji au atapata partner bora zaidi yake kwa sasa.
 
GM6 amepoteza kujiamini lakini sio centre back mbaya ;ana uwez w ku improve na kuw centre back mzur zaid endap akipat mchezaj mwenza ambae yuko more experienced and more matured.
Hiyo kazi apewe William Saliba naamini ataifanya so effective, Saliba anacheza vizuri as LCB and he is so good with the ball, na kitu kizuri he is so talented kuliko mabeki wote tulionao, Saliba anafananisha na tier 3 defenders in Van dijk & Koulibaly, kwenye umri mdogo amekamilika kwenye kila angle sio kama Gabriel .
 
Back
Top Bottom