Saliba hakufurahia kuwepo Arsenal maana alikuwa hachezi. Sijui kama atataka kurudi nadhani atapendelea kutafutiwa transfer. Pia nafikiri Arteta hajui atamtumiaje au sio aina ya beki anayemtaka. Nasubiri kuona hili litaishaje.So William Saliba in, Top CM in, Top CF in and we become giant again. Arsenal are back
,Kiungo unatakiwa uwe vile yaaani 'Muongo muongo'.Mkuu, Saliba atarudi na atachukua namba, Arteta hanaga rafiki wa kudumu kama humpi anachotaka, walikuwa wanasema hampendi Martinelli sijui amemuua kiwango, wako wapi sasa!Saliba hakufurahia kuwepo Arsenal maana alikuwa hachezi. Sijui kama atataka kurudi nadhani atapendelea kutafutiwa transfer. Pia nafikiri Arteta hajui atamtumiaje au sio aina ya beki anayemtaka. Nasubiri kuona hili litaishaje.
GX anajaribu his level best lakini bado kufit kwenye hiyo role mpya, jana ameExcel sababu muda mwingi amepata an increased time/space, shida ya seniors wetu hivi vitu hawafanyi Reliably, no consistency kama ilivyo kwa City/Liverpool,Sometimes Granit Xhaka akishavutaga bangi zake chooni kuna maamuzi ya kijinga sana huwa anayafanya na always yanatu cost.
Ila huyu mwanaume akiamua kukichafua kweli sidhani kama kuna mtu atatamani aondoke.
Jana yeye na mishikaji wake TP5 walikichafua sana pale kati.
Kuna wakati alikua ana switch uwanja kwa kupiga long balls kwa pepe kule juu..
TP5 jana alinikumbusha enzi zangu wakati nasakata kabumbumbu,kuna muda alikua anatema mate kulia alafu anafukia kushoto,Kiungo unatakiwa uwe vile yaaani 'Muongo muongo'.
Saka Jana alikua na siku mbaya kazini,,nafikiri angekua katika 'peak' yake game mapema ingeisha ile.
MØ huyu dogo ana v pass fulani hiviiii amazing,,Ila changamoto kwake ni strength maana battle za 1 v 1 nyingi amekua akizishindwa,Ila his brain is like computer,,,ana akili mno.
Japokua kuna baadhi ya watu humu mnasema dogo Nketiah mvivu ila naona jana alikua Sharp kidogo.
Pepe ana kipaji kikubwa mno ila kinachomponza huyu dogo sio mtulivu na hataki kujifunza, kwasababu kila siku anafanya makosa yale yale..
Lacazette is not a clinical finisher,ila kinachompa credits tu ni kua akiwa pale mbele mabeki huwa hawatuliii,jamaa anajua kusumbua sana mabeki..
Let's hope for the best.Mkuu, Saliba atarudi na atachukua namba, Arteta hanaga rafiki wa kudumu kama humpi anachotaka, walikuwa wanasema hampendi Martinelli sijui amemuua kiwango, wako wapi sasa!
Saliba atarudi kujaribu his chance na kitu kizuri ana kipaji kikubwa yaani tukizingua sisi huyu anaenda Madrid / Barcelona.
Anatakiwa aoneshe kitu sasaMkuu, Saliba atarudi na atachukua namba, Arteta hanaga rafiki wa kudumu kama humpi anachotaka, walikuwa wanasema hampendi Martinelli sijui amemuua kiwango, wako wapi sasa!
Saliba atarudi kujaribu his chance na kitu kizuri ana kipaji kikubwa yaani tukizingua sisi huyu anaenda Madrid / Barcelona.
Aoneshe mara ngapi mzee? labda kama hufatilii.Anatakiwa aoneshe kitu sasa
mim nadhani gabriel bado yuko vzur zaid y salibaAoneshe mara ngapi mzee? labda kama hufatilii.
Haaaaha! Kivipi?mim nadhani gabriel bado yuko vzur zaid y saliba
Umemwona akicheza!?mim nadhani gabriel bado yuko vzur zaid y saliba
Wawepo wote watatu plus Holding ili kufanya competition kuwa kubwa, we need competitive players.Umemwona akicheza!?
Gabby sio mbaya lkn sina hakika kama anamzidi Saliba kwa all around game. Nadhani hadi akipewa nafasi ya Kucheza na White au Na Gabby tutajua who is better kwa sasa tuhifadhi maoni yetu.
And a depth in kur squadWawepo wote watatu plus Holding ili kufanya competition kuwa kubwa, we need competitive players.
Mkuu Fabian Luiz simfatilii kwakua Seria A siifatilii kivile.GX anajaribu his level best lakini bado kufit kwenye hiyo role mpya, jana ameExcel sababu muda mwingi amepata an increased time/space, shida ya seniors wetu hivi vitu hawafanyi Reliably, no consistency kama ilivyo kwa City/Liverpool,
We need a more suitable LCM mwenye profile ya kuexploit the left half space between the lines, a player who can attack from deep areas mwenye profile ya Ikay Guendogan. Nadhani ni sababu Arteta anamtaka Fabian Ruiz to upgrade this team and bring qualitative difference.
yaaap ni bora wawepo wte saliba anaweza kushine uko bt akilud epl unashangaa mamb yanagomaWawepo wote watatu plus Holding ili kufanya competition kuwa kubwa, we need competitive players.
2 losses for Wolves in their last 10.
Both against Arsenal.
No wonder they hate us.
Hii hapana, Gabriel n mchezaj wetu muhimu sana, ametu sahaulisha koscienly mapema. Siri ya ubora wetu kule nyuma n yeye, hayo makosa mengi labda unikumbushe, lakn navyojua mm makosa anafanya lakin sio ya kumsondea kidole, kwa sababu hakuna mchezaj asiye fanya makosa.Gabriel analack technical security inapelekea anashindwa kuhold high line press kwenye baadhi ya mechi, specially against aggressive teams which press high, he is so passive mentally to the point that the team is forced to sit off because of him hivyo at times structure nzima ya Arteta inafia kwake. Ametucost points nyingi mno.